Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Wewe kilaza ukiona nywele tu unapandwa na nyege??
Kwa hiyo tamaa kwenye pesa haipo ...Hadi pawekwe ulinzi!?...uislam unazuia chanzo Cha matatizo,hauzuwii matokeo japo una utatuzi kwa yote,zinaa mtu ahemkwi bila sababu ni mpaka aone,ndiyo maana ukaanza kukataza kuikaribia,Kisha stara,Kisha kitenganisha jinsia,Kuinamisha macho,adhabu kwa mtendaji...tamaa si kila mtu anaweza zuwia
 
Shida ni kulazimisha tamaduni za waarabu katika jamii zingine eti ni uislamu..ukristo ulishasema wazi kujipamba kwenu kusiwe kwa nje bali ndani...kumaanisha kwamba imani ya nje haiwezi leta ukombozi kamili bali imani ya kweli ya rohoni.

Kiukweli kwa ulimwengi wasasa dini zinakosa mashiko..ndio mana wafia dini wamebaki kukazi shingo n akuua watu ili kuwalazimiasha kufuata matakwa ya dini...za miaka 2000 iliyopita.

#MaendeleoHayanaChama
Sasa huko rohoni kuliko na imani yako, unapomuana huyo mwanamke ameachia nywele zake hiyo imani ya kweli itakuwa wapi?

Dini ndio mfumo wa maisha ya mwanadamu iwe mchana au usiku au karne zilizopita au za sasa ndivyo tulivyojifunza kwenye dini yetu ya kiislamu ndio mana tokea imeshuka Quran hadi leo na baadae itaendelea kubaki current na hakutakuwa na mtu yoyote atakayeweza kuichezea.

Lakini ndio mana tunasema dini nyengine tofauti na uislamu kuna walakini kwamba dini zao zilikuwa za muda tu kwamba wewe mtazamo wako unaona sasa huna haja ya kufuata dini kwa maisha yako ya sasa jua una weakness kubwa sana kwenye moyo wako,
 
Sasa huko rohoni kuliko na imani yako, unapomuana huyo mwanamke ameachia nywele zake hiyo imani ya kweli itakuwa wapi?

Dini ndio mfumo wa maisha ya mwanadamu iwe mchana au usiku au karne zilizopita au za sasa ndivyo tulivyojifunza kwenye dini yetu ya kiislamu ndio mana tokea imeshuka Quran hadi leo na baadae itaendelea kubaki current na hakutakuwa na mtu yoyote atakayeweza kuichezea.

Lakini ndio mana tunasema dini nyengine tofauti na uislamu kuna walakini kwamba dini zao zilikuwa za muda tu kwamba wewe mtazamo wako unaona sasa huna haja ya kufuata dini kwa maisha yako ya sasa jua una weakness kubwa sana kwenye moyo wako,
Mwambie alla ashushe kurani inayoendana na maisha ya sasa ya karne hii..kitabu kilichopo sasa hakiendani na jamii hii ya utandawazi ndio mana waumini wameanza kukipuuzia na kukataa hayo maandiko mana yamepitwa na wakati.

#MaendeleoHayanaChama
 
Una ushahidi wa Hilo?..pili hiyo ndoa yako unayotoa mahari na kuachana baada ya miaka mitano siyo biashara ya ukahaba!?..maana tofauti ni muda tu!!

Niambie mimi ukristo umeruhusu wapi zinaa ama ndoa ya kihuni.

Weka ushahidi ndoa gani ya kikristo inaruhusu kuachana baada ya miaka mitano uliyosema.

Mimi naweka ushahidi wa ndoa ya kizinzi ambayo quran imeruhusu

Fungua kitabu cha quran kisha soma Sura An-Nisa verse 24

Kama hutaelewa unaweza pata muongozo hapa chini na vielelezo nakuwekea.


Mut’ah ni neno ambalo lina majina mengine kama al-Mawqit (yaani muda) na Ndoa ya al-Munqatwi‘ (yaani kukatika).

“Mut’ah maana yake ni makubaliano ya kimatamshi baina ya mwanamume na mwanamke ambaye hana mume,
makubaliano ya kuishi kama mume na mke kwa muda uliokubaliwa kwa kiwango maalumu cha pesa kinacholipwa huyo mwanamke baada ya kuisha muda wa Mut’ah. Qaadhi wala mwakilishi au yeyote kuwa shahidi hakuhitajiki. Makubaliano haya hupangwa kibinafsi na kisiri baina ya watu wawili. Mwanamume halazimiki kisheria kutoa himaya, chakula na mavazi kwa mwanamke. Kitu muhimu anachokitoa ni kumpa huyo mwanamke kiwango kile cha pesa walichokubaliana. Baada ya kupewa hizo pesa mafungamano yao tayari huisha. Muda wa kubakia pamoja ndani ya Mut’ah kunaweza kuwa mchana mmoja na usiku wake au hata saa moja au masaa mawili.” [Tahrirul Wasiylah, uk. 292].


Quran imeruhusu ushenzi mwingi sana mtume alikuwa anaoa mpaka vitoto vya miaka 9.

Wewe unaweza ruhusu binti yako aolewe akiwa na miaka 9 na mwanaume wa miaka 50.

Yaani alikuwa mbakaji. anabaka vitoto kwa jina la ndoa.

Kwenye kitabu cha dini anafundisha waumini zinaa na biashara ya umalaya kwa jina la ndoa ya mutaa
 

Attachments

  • Screenshot_20220925-111357_Firefox.jpg
    Screenshot_20220925-111357_Firefox.jpg
    37.4 KB · Views: 4
Acha porojo, suala la kuvaa hijabu kwa muislamu ni jambo la kisharia kwa nchi yenye dola ya kiislamu hili sio jambo geni zaidi ya kutii sharia, ingawa sina hakika sana kwamba ukikataa kuvaa hijabu inabidi kuuliwa.

Dini zilizobaki ukitoa uislamu zimebaki kimya sana kwenye mambo kama haya ndio mana unakuja hapa na kudharau hijabu kwasababu ukiristo siku zote unakuwa umekaa kimya kwenye baadhi ya mambo mengi hayana fatwa katika kitabu chenu ndio mana tuna mashaka na ukiristo.

Mama maryam mama yake yesu alivaa hijab lakini wakiristo wameacha kufuata mila ya mama yake yesu mama maryam lakini pia hamutaki kujua kwa nini alivaa, ukiristo uko kimya sana, lakini cha kushangaza munatii sheria zinazotungwa makanisa makuu huko roma italy na marekani
Mtu hawezi kuvaa hijabu kisa Mariam alikuwa akivaa hijabu au huwezi kuvaa makobazi na kanzu kisa Bwana Yesu alikuwa akivaa makobazi na kanzu wakati maandiko hayajahusisha uvaaji wa hivyo vitu na kuingia mbinguni.

Tatizo linalosumbua sana kwenye haya mambo ya dini ni sisi watu weusi kuwa na uwezo finyu sana wa kung'amua mambo (Low IQ inayotufanya tusifahamu kwamba dini hizi ni vitu vya duniani tu hapa na kwamba haviwezi kumwingiza mtu mbinguni.
 
Mwambie alla ashushe kurani inayoendana na maisha ya sasa ya karne hii..kitabu kilichopo sasa hakiendani na jamii hii ya utandawazi ndio mana waumini wameanza kukipuuzia na kukataa hayo maandiko mana yamepitwa na wakati.

#MaendeleoHayanaChama
Quran ni ya sasa na baadae na itaendelea kubaki na kuakisi maisha ya mwadamu hapa ulimwenguni hii ni ahadi aliitoa mwenyewe Allah, Nadhan ni vile unajitoa fahamu kuona Magharibi wazungu ndio wanaokupangia wewe maisha ya kuishi, kwamba sasa ukienda chooni ufutie karatasi badala ya maji ikifika mchana jua kali kutu inanuka surualini na kukuwasha

Lakini sasa uanze kushikwa mkono mwanaume mwenzako eti muwe huru katika mapenzi yenu, Inasikitisha sana kwamba wazungu ndio wamekuchagulia wewe style ya maisha ya kuishi hapa duniani.
 
Kuna watu Iran na nchi zingine za kiislam Wana hamu na maisha ya kikafiri,ulale na hawara usiku kucha mchana kutwa,kuelewa,fasheni..hawajui madhara yake,kwamba huku tunalea watoto tusio na uhakika Kama ni wetu kweli
Dubai mbona wanaishi bila hayo mauaji?

Hawara wa nini na dini inakuruhusu kuoa wa4??
 
Kinachofuata ni mkong'oto jazz band,kila mtu atarudi Banda lake
Ni kweli ila mikongoto husababisha maafa zaidi...
Wairan hawajawahi shindwa maandamano kirahisi

Wananyongwa ila bado wanaendelea
 
Wanazo,lini ulitongozwa na mwanamke?...nani humfuata mwenziye!?
Mkuu Mimi hapa nilishawahi tongzwa na mwanamke, Tena akawa anasema kapenda kifua changu, mwisho wa siku tulikuwa field na tunaishi kambi ya wanachuo 10 tukawa tumepanga safari ya kwenda kutembelea sehemu moja, Mimi ilipofika jioni kwakuwa ilikuwa mbali na kambini kwetu nikasema wacha nichukue chumba nilale nitarudi kesho yake, na yeye akasema harudi, tulipofika G.House nilichukua chumba , chakustaajabisha nikashangaa binti ananifata kwa nyuma Hadi chumban kwangu akitaka tukalale wote !! Can you imagine!!?

Uhalisia Ni kuwa sikuwahi kumtamkia habari za mapenzi hapo kabla, na Wala sikuwaza Jambo Hilo.

Hivyo tambua kuwa hata wanawake wa hii dini ya mchongo wanazo tamaa Kama zenu ninyi waume wa dini ya mchongo.

Hiyo dini yenu ya mchongo inawapotosha sana jamani
 
Mkuu Mimi hapa nilishawahi tongzwa na mwanamke, Tena akawa anasema kapenda kifua changu, mwisho wa siku tulikuwa field na tunaishi kambi ya wanachuo 10 tukawa tumepanga safari ya kwenda kutembelea sehemu moja, Mimi ilipofika jioni kwakuwa ilikuwa mbali na kambini kwetu nikasema wacha nichukue chumba nilale nitarudi kesho yake, na yeye akasema harudi, tulipofika G.House nilichukua chumba , chakustaajabisha nikashangaa binti ananifata kwa nyuma Hadi chumban kwangu akitaka tukalale wote !! Can you imagine!!?

Uhalisia Ni kuwa sikuwahi kumtamkia habari za mapenzi hapo kabla, na Wala sikuwaza Jambo Hilo.

Hivyo tambua kuwa hata wanawake wa hii dini ya mchongo wanazo tamaa Kama zenu ninyi waume wa dini ya mchongo.

Hiyo dini yenu ya mchongo inawapotosha sana jamani
Kati ya uliowatongoza na waliokutongoza wepi wengi!?..na wanaume wangapi wanetongozwa na wanawake!?...dini ya mchongo kwa sababu ya hijabu!!?..mama yake yesu akivaaje!?..Nina hakika hakuvaa sketi na blauz,akivaaje?!
 
Back
Top Bottom