Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Haya maandamano hayajafika level za kutishia utawala wa kimapinduzi wa Iran. Level yake bado ni mob tu za miji ya kawaida wala nguvu hazijatumika nyingi.

Iran ina uzoefu na maandamano, huwa wanamiminika barabarani na polisi wanajazwa kipigo kinatembea. Kama Iran hawajafa watu walau 1000 hapo serikali iko salama sana tu. Ili yafanye mabadiliko yanahitaji momentum kubwa zaidi ya sasa. Tofauti ni kwamba haya yameletwa na wanawake. Pia Wairan wana fujo wakiandamana na wana ushirikiano, kila siku wanawaotea polisi na kuwapiga
 
Haya maandamano hayajafika level za kutishia utawala wa kimapinduzi wa Iran. Level yake bado ni mob tu za miji ya kawaida wala nguvu hazijatumika nyingi.

Iran ina uzoefu na maandamano, huwa wanamiminika barabarani na polisi wanajazwa kipigo kinatembea. Kama Iran hawajafa watu walau 1000 hapo serikali iko salama sana tu. Ili yafanye mabadiliko yanahitaji momentum kubwa zaidi ya sasa. Tofauti ni kwamba haya yameletwa na wanawake. Pia Wairan wana fujo wakiandamana na wana ushirikiano, kila siku wanawaotea polisi na kuwapiga
Ikipinduliwa hiyo Serikali itakuwa poa sana

Na Iran ikianguka Saudi Arabia ajiandae
 
Ikipinduliwa hiyo Serikali itakuwa poa sana

Na Iran ikianguka Saudi Arabia ajiandae
Saudi Arabia haiipendi serikali ya Iran ila bado haitaki hostilities kwa jirani na uchochezi wa mageuzi. Familia ya kifalme haipendi wananchi wake wapewe somo kwamba kumbe inawezekana. Iliishi kwa shida sana kwenye Arab Spring hadi wakawa wanagawa hela
 
Saudi Arabia haiipendi serikali ya Iran ila bado haitaki hostilities kwa jirani na uchochezi wa mageuzi. Familia ya kifalme haipendi wananchi wake wapewe somo kwamba kumbe inawezekana. Iliishi kwa shida sana kwenye Arab Spring hadi wakawa wanagawa hela
Mi ningependa ipinduliwe ili tupate mwanzo mpya
 
Mwanamke kuuawa kisa kijisehemu cha nywele zake kilionekana wazi, imesababisha wa-Iran waseme imetosha, uzombi wa kidini hawautaki tena. Miji 80 ya Iran inatamalaki waandamaji.

Nilishangaa sana bibi mswahili FaizaFoxy anatetea huu ukatili kwa wanawake wenzake kisa mzuka wa kidini...

FdZHQCEWIAAxjAW


Large protests continued in Iran for the sixth day in a row on Saturday with protestors blocking streets in various cities across the country and reports claiming they had taken control of the city of Oshnavieh.

The protests against the government broke out both online and in the streets last week after Mahsa Amini died in police custody following her arrest by the modesty police who accused her of wearing her hijab wrong.

After news of Amini's death broke, Iranian women took to social media, posting videos of themselves cutting their hair and burning their hijabs, and other videos posted online showed women of all ages in the streets waving their hijabs in defiance.

The protestors, which were made up of both men and women, marched through the streets, shouting out slogans like "death to the dictator" and "live free or die," blocked roads and caused damage to the security forces that tried to stop them.

The Islamic Republic of Iran Broadcasting reported a total casualty count of 35, but the precise number is unclear amid the chaos of the protests.

MSN
Acha porojo, suala la kuvaa hijabu kwa muislamu ni jambo la kisharia kwa nchi yenye dola ya kiislamu hili sio jambo geni zaidi ya kutii sharia, ingawa sina hakika sana kwamba ukikataa kuvaa hijabu inabidi kuuliwa.

Dini zilizobaki ukitoa uislamu zimebaki kimya sana kwenye mambo kama haya ndio mana unakuja hapa na kudharau hijabu kwasababu ukiristo siku zote unakuwa umekaa kimya kwenye baadhi ya mambo mengi hayana fatwa katika kitabu chenu ndio mana tuna mashaka na ukiristo.

Mama maryam mama yake yesu alivaa hijab lakini wakiristo wameacha kufuata mila ya mama yake yesu mama maryam lakini pia hamutaki kujua kwa nini alivaa, ukiristo uko kimya sana, lakini cha kushangaza munatii sheria zinazotungwa makanisa makuu huko roma italy na marekani
 
Dini inayohatarisha maisha ya wengine hiyo si dini ni uzombi. Ifike muda dunia iseme hapana na ikatae itikadi hii hatari kwa ustawi wa dunia iliyostaarabika
 
Acha porojo, suala la kuvaa hijabu kwa muislamu ni jambo la kisharia kwa nchi yenye dola ya kiislamu hili sio jambo geni zaidi ya kutii sharia, ingawa sina hakika sana kwamba ukikataa kuvaa hijabu inabidi kuuliwa.

Dini zilizobaki ukitoa uislamu zimebaki kimya sana kwenye mambo kama haya ndio mana unakuja hapa na kudharau hijabu kwasababu ukiristo siku zote unakuwa umekaa kimya kwenye baadhi ya mambo mengi hayana fatwa katika kitabu chenu ndio mana tuna mashaka na ukiristo.

Mama maryam mama yake yesu alivaa hijab lakini wakiristo wameacha kufuata mila ya mama yake yesu mama maryam lakini pia hamutaki kujua kwa nini alivaa, ukiristo uko kimya sana, lakini cha kushangaza munatii sheria zinazotungwa makanisa makuu huko roma italy na marekani
Shida ni kulazimisha tamaduni za waarabu katika jamii zingine eti ni uislamu..ukristo ulishasema wazi kujipamba kwenu kusiwe kwa nje bali ndani...kumaanisha kwamba imani ya nje haiwezi leta ukombozi kamili bali imani ya kweli ya rohoni.

Kiukweli kwa ulimwengi wasasa dini zinakosa mashiko..ndio mana wafia dini wamebaki kukazi shingo n akuua watu ili kuwalazimiasha kufuata matakwa ya dini...za miaka 2000 iliyopita.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa hiyo tamaa kwenye pesa haipo ...Hadi pawekwe ulinzi!?...uislam unazuia chanzo Cha matatizo,hauzuwii matokeo japo una utatuzi kwa yote,zinaa mtu ahemkwi bila sababu ni mpaka aone,ndiyo maana ukaanza kukataza kuikaribia,Kisha stara,Kisha kitenganisha jinsia,Kuinamisha macho,adhabu kwa mtendaji...tamaa si kila mtu anaweza zuwia
Uonevu tu dhidi ya wanawake. Wamechoka sasa.
 
Acha porojo, suala la kuvaa hijabu kwa muislamu ni jambo la kisharia kwa nchi yenye dola ya kiislamu hili sio jambo geni zaidi ya kutii sharia, ingawa sina hakika sana kwamba ukikataa kuvaa hijabu inabidi kuuliwa.

Dini zilizobaki ukitoa uislamu zimebaki kimya sana kwenye mambo kama haya ndio mana unakuja hapa na kudharau hijabu kwasababu ukiristo siku zote unakuwa umekaa kimya kwenye baadhi ya mambo mengi hayana fatwa katika kitabu chenu ndio mana tuna mashaka na ukiristo.

Mama maryam mama yake yesu alivaa hijab lakini wakiristo wameacha kufuata mila ya mama yake yesu mama maryam lakini pia hamutaki kujua kwa nini alivaa, ukiristo uko kimya sana, lakini cha kushangaza munatii sheria zinazotungwa makanisa makuu huko roma italy na marekani

Kitabu cha dini ya Allah quran , Dini isio na mashaka kinaruhusu ndoa ya kihuni inaitwa Nikah muttah.. yaani mtu unakutana na mwanamke unamnunua kwa kufunga ndoa ya masaa tu .

Mnatongozana saa 2 na kufunga ndoa .Mnagongana saa 3 mkimaliza kugongana mnalipana hela ya kula papuchi kisha ndoa inakuwa imeisha..

Ndoa hiyo ina tofauti gani na biashara ya kimboka ama corner bar.

Why quran iruhusu umalaya huo

Kama kweli ni kitabu cha Allah asiyependa zinaa
 
Dini inayohatarisha maisha ya wengine hiyo si dini ni uzombi. Ifike muda dunia iseme hapana na ikatae itikadi hii hatari kwa ustawi wa dunia iliyostaarabika
Wao wenyewe wameanza kuzikataa..ndio mana wanatunga sheria kali ili kuendelea kutisha waumini wazifute...huu ushamba wa kizamani hauna nafasi katika dunia ya sasa siku.

#MaendeleoHayanaChama
 
Acha porojo, suala la kuvaa hijabu kwa muislamu ni jambo la kisharia kwa nchi yenye dola ya kiislamu hili sio jambo geni zaidi ya kutii sharia, ingawa sina hakika sana kwamba ukikataa kuvaa hijabu inabidi kuuliwa.

Dini zilizobaki ukitoa uislamu zimebaki kimya sana kwenye mambo kama haya ndio mana unakuja hapa na kudharau hijabu kwasababu ukiristo siku zote unakuwa umekaa kimya kwenye baadhi ya mambo mengi hayana fatwa katika kitabu chenu ndio mana tuna mashaka na ukiristo.

Mama maryam mama yake yesu alivaa hijab lakini wakiristo wameacha kufuata mila ya mama yake yesu mama maryam lakini pia hamutaki kujua kwa nini alivaa, ukiristo uko kimya sana, lakini cha kushangaza munatii sheria zinazotungwa makanisa makuu huko roma italy na marekani
Usilinganishe Ukristo na mambo ya hovyo hovyo.
 
Hapo Marekani na Israel lazima wapenyeze majasusi wao kuchochea vurugu
Nyie ebu mue mnaacha uongo, sasa hao Marekani na Israel watakuwa wapi ndani ya Iran hadi hata mamlaka zisiwaone.

Wananchi wakijitokeza kupinga unyama wowote unaofanywa na madikteta lazima tu mtasingizia Marekani kwamba ndio kachochea watu wapinge.

Yaani mnawachukulia wananchi kwamba siku zote hawana busara na hawawezi kuona ubaya hadi waambiwe na Marekani na kwamba Marekani tu ndio ana akili za kuona mambo mabaya..!! Bure kabisa.
 
Kitabu cha dini ya Allah quran , Dini isio na mashaka kinaruhusu ndoa ya kihuni inaitwa Nikah muttah.. yaani mtu unakutana na mwanamke unamnunua kwa kufunga ndoa ya masaa tu .

Mnatongozana saa 2 na kufunga ndoa .Mnagongana saa 3 mkimaliza kugongana mnalipana hela ya kula papuchi kisha ndoa inakuwa imeisha..

Ndoa hiyo ina tofauti gani na biashara ya kimboka ama corner bar.

Why quran iruhusu umalaya huo

Kama kweli ni kitabu cha Allah asiyependa zinaa
Una ushahidi wa Hilo?..pili hiyo ndoa yako unayotoa mahari na kuachana baada ya miaka mitano siyo biashara ya ukahaba!?..maana tofauti ni muda tu!!
 
Sasa kama huko kwenye mizizi ya hii dini wameanza kuikataa na huenda wakafanikiwa kufuta itikadi kali hizo kwenye mataifa yao, je afrika kusini mwa jangwa la sahara bado wanaona hii dini inawafaa wakati waliletewa enzi zile za utumwa na ukoloni? Waafrika waamke waachane na uzombi wa dini za kikatili
 
Back
Top Bottom