Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Taifa lolote lenye akili ni lazima lingefanya hivyo. Hivi utaamrishaje wanawake wajifunike kisa huwezi kuzuia tamaa zako unapoona wanawake? Kama huwezi kujizuia basi jitoboe macho kama yule jamaa wa kwenye hadithi aliyechoshwa kuona mambo ya dunia akaomba apofuke.
Ebu tuwe wakweli, hivi wanaume wanamtamani mwanamke kwa kuona nywele zake kweli? Mimi sijawahi kuvutiwa/kumtamani mwanamke kwa nywele.
 
Ebu tuwe wakweli, hivi wanaume wanamtamani mwanamke kwa kuona nywele zake kweli? Mimi sijawahi kuvutiwa/kumtamani mwanamke kwa nywele.
Waafrica wengi hawana nywele za kuvutia
Labda wa babati tu

Nywele ziko kwa watu weupe
Hasa Arabuni na Asia
Naturally black long silky hair sio blondes
Sijui y Mungu katunyima huku Africa daah
 
Mkuu tumesema kichwa wazi kwa mwanamke kuna madhara, si ndo nyie mnatunga sheria watu waache kubaka sasa mambo yanayochochea kubaka ni pamoja na hizo hijab kutovaliwa kwa wanawake ili kuepusha matamanio
Kwa hiyo nywele za mwanamke zikiwa wazi zinawafanya nyie mpate nyege na muwatamani?

Wewe ukiona nywele za mwanamke unashikwa na tamaa?
 
Unaweza jiona una fikra pevu kumbe mpuuzi tu,wale Malaya aliokua akizungumza nao yesu walikua wanavaa Kama mama yake yesu!?...waarabu hawakuwa wakivaa ushungi,ndiyo maana Qur'an inamtaka mtume awaambie wanawake wa kiislam wavae shungi...utamaduni wa waliostaarabika Leo ni ndoa za jinsia moja,mwenye upper reasoning capacity Hilo ni sawa!?
Hao wanawake wa kiislam kwa nini Mnawalazimisha kuvaa ushungi?

Hivi Mungu huwa Analazimisha mtu?

Kwa hiyo Mtume wenu aliwaambia Mlazimishe wanawake wa kiislam wavae ushungi?

Mungu wenu amewaambia MUWALAZIMISHE wanawake wavae ushungi?
 
Unaweza jiona una fikra pevu kumbe mpuuzi tu,wale Malaya aliokua akizungumza nao yesu walikua wanavaa Kama mama yake yesu!?...waarabu hawakuwa wakivaa ushungi,ndiyo maana Qur'an inamtaka mtume awaambie wanawake wa kiislam wavae shungi...utamaduni wa waliostaarabika Leo ni ndoa za jinsia moja,mwenye upper reasoning capacity Hilo ni sawa!?
Yule malaya alikuwa anavaaje?
Unaweza kuweka hapa reference yoyote inayoonyesha mavazi ambayo yule malaya alivaa?

Biblia inasema yule mwanamke alivaaje?
 
Hao wanawake wa kiislam kwa nini Mnawalazimisha kuvaa ushungi?

Hivi Mungu huwa Analazimisha mtu?

Kwa hiyo Mtume wenu aliwaambia Mlazimishe wanawake wa kiislam wavae ushungi?

Mungu wenu amewaambia MUWALAZIMISHE wanawake wavae ushungi?
Amri Kumi za mungu ni lazima au hiyari!?..unafikiri sawasawa wewe!?
 
Amri Kumi za mungu ni lazima au hiyari!?..unafikiri sawasawa wewe!?
Wapi kwenye amri 10 kuna amri inayohusu mavazi..mavazi ni suala la jamii husika na wala sio suala la kulazimishana.

Mambo ya kiimani yahukumiwe na muumba mwenyewe wanadamu tutaumizana na kutesana bure kama yaliyomkuta huyo binti.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hao wanawake wa kiislam kwa nini Mnawalazimisha kuvaa ushungi?

Hivi Mungu huwa Analazimisha mtu?

Kwa hiyo Mtume wenu aliwaambia Mlazimishe wanawake wa kiislam wavae ushungi?

Mungu wenu amewaambia MUWALAZIMISHE wanawake wavae ushungi?
Mwanzo24:65,1wakorinto 11:1-6
 
Wapi kwenye amri 10 kuna amri inayohusu mavazi..mavazi ni suala la jamii husika na wala sio suala la kulazimishana.

Mambo ya kiimani yahukumiwe na muumba mwenyewe wanadamu tutaumizana na kutesana bure kama yaliyomkuta huyo binti.

#MaendeleoHayanaChama
Unadandia tu bila kuelewa mantiki,kwa faida yako 1wakorinto 11:1-6,mwanzo 24:65
 
Amri Kumi za mungu ni lazima au hiyari!?..unafikiri sawasawa wewe!?
Amri kumi ni hiyari. Mungu hakulazimishi kuzifuata...

Wewe umewahi kumuona wapi Mungu akilazimisha mtu?

Mungu Amekupa Amri, na amekuambia usipozifuata ni nini kitakukuta. Ni wewe uamue uzifuate au usizifuate, mtakutana siku ya mwisho ya hukumu kwenye mahesabu.
 
Amri kumi ni hiyari. Mungu hakulazimishi kuzifuata...

Wewe umewahi kumuona wapi Mungu akilazimisha mtu?

Mungu Amekupa Amri, na amekuambia usipozifuata ni nini kitakukuta. Ni wewe uamue uzifuate au usizifuate, mtakutana siku ya mwisho ya hukumu kwenye mahesabu.
Unajua maana ya amri!?..Kama atakuadhibu usipofuata hiyo ni lazima au hiyari!?..ubongo wako mbele nyuma nyuma mbele!!?..au unatembea kichwa chini miguu juu kiasi unaelewa mambo tofauti!!?
 
Kwa hiyo nywele za mwanamke zikiwa wazi zinawafanya nyie mpate nyege na muwatamani?

Wewe ukiona nywele za mwanamke unashikwa na tamaa?
Kwa mujibu wa mafundisho ya Quran na hata biblia uchi wa mwanamke ni mwili mzima ukitoa viganja vya mikono na miguu na paji lake la uso,
 
Mwanamke kuuawa kisa kijisehemu cha nywele zake kilionekana wazi, imesababisha wa-Iran waseme imetosha, uzombi wa kidini hawautaki tena. Miji 80 ya Iran inatamalaki waandamaji.

Nilishangaa sana bibi mswahili FaizaFoxy anatetea huu ukatili kwa wanawake wenzake kisa mzuka wa kidini...

FdZHQCEWIAAxjAW


Large protests continued in Iran for the sixth day in a row on Saturday with protestors blocking streets in various cities across the country and reports claiming they had taken control of the city of Oshnavieh.

The protests against the government broke out both online and in the streets last week after Mahsa Amini died in police custody following her arrest by the modesty police who accused her of wearing her hijab wrong.

After news of Amini's death broke, Iranian women took to social media, posting videos of themselves cutting their hair and burning their hijabs, and other videos posted online showed women of all ages in the streets waving their hijabs in defiance.

The protestors, which were made up of both men and women, marched through the streets, shouting out slogans like "death to the dictator" and "live free or die," blocked roads and caused damage to the security forces that tried to stop them.

The Islamic Republic of Iran Broadcasting reported a total casualty count of 35, but the precise number is unclear amid the chaos of the protests.

MSN
FaizaFox haukubali huu ukweli. Anasema ni propaganda za wadhungu.
 
Mwanamke kuuawa kisa kijisehemu cha nywele zake kilionekana wazi, imesababisha wa-Iran waseme imetosha, uzombi wa kidini hawautaki tena. Miji 80 ya Iran inatamalaki waandamaji.

Nilishangaa sana bibi mswahili FaizaFoxy anatetea huu ukatili kwa wanawake wenzake kisa mzuka wa kidini...

FdZHQCEWIAAxjAW


Large protests continued in Iran for the sixth day in a row on Saturday with protestors blocking streets in various cities across the country and reports claiming they had taken control of the city of Oshnavieh.

The protests against the government broke out both online and in the streets last week after Mahsa Amini died in police custody following her arrest by the modesty police who accused her of wearing her hijab wrong.

After news of Amini's death broke, Iranian women took to social media, posting videos of themselves cutting their hair and burning their hijabs, and other videos posted online showed women of all ages in the streets waving their hijabs in defiance.

The protestors, which were made up of both men and women, marched through the streets, shouting out slogans like "death to the dictator" and "live free or die," blocked roads and caused damage to the security forces that tried to stop them.

The Islamic Republic of Iran Broadcasting reported a total casualty count of 35, but the precise number is unclear amid the chaos of the protests.

MSN
Kumekucha!
 
Back
Top Bottom