Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Mmh hawajaishia kupapasa naona wameanza kuingiza kidole kidogo kidogoTanzania kila siku tunapapaswa kalio na hawa mapapasi ila tunatulia tu malamamaeeee. Mwigulu Nchemba jiangalie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh hawajaishia kupapasa naona wameanza kuingiza kidole kidogo kidogoTanzania kila siku tunapapaswa kalio na hawa mapapasi ila tunatulia tu malamamaeeee. Mwigulu Nchemba jiangalie
Simmelegea baada ya kupapaswa mzee 😂😂Mmh hawajaishia kupapasa naona wameanza kuingiza kidole kidogo kidogo
Acha tu mkuu nakuona hata wewe umeanza kuvua kabisa[emoji1787]Simmelegea baada ya kupapaswa mzee [emoji23][emoji23]
Mimi na baba yako tulipewa akili sawa..Ila mama yako alipewa kidogo zaidi,ndiyo maana akaachia manii ya baba yako yamuingie uzaliwe Hali akijua upungufu wa akili wa baba yakoAkili yako kama ipo ni ndogo sana, nahisi hujapewa akili bali umepakwa akili kama mafuta usoni
Maandamano Iran yanafanyika tangu khatamiy rais,kipindi hicho mama yako ndo kavunja tu ungo,khatamiy akiunga mkono waandamanaji ..hawakuwahi kushindaHuwajui Waajemi wewe
Si mzima weweWewe umetaja amri kumi..ila unaleta vifungu tofauti.
Anyway suala la mavazi litabaki suala la jamii husika..tamaduni zinatofautiana.
Sketi ni vazi la heshima kwa wanaume wa Scotland.
Endelea kuvaa kobazi na dela sorry kanzu.[emoji28]
#MaendeleoHayanaChama
Kajambe ulale,usiniletee upunguani wako babuBasi usinukuu mambo usiyoyafahamu.
Kwahio hao wanawake ni BenkiKwamba benki pasiwekwe ulinzi Ila raia wazuie tamaa zao dhidi ya pesa zilizopo benki!!
Nazani hili Jambo Lina ukweli mkubwa sana Ndio maana wanasema Dini ni yote kuhusu kuharibu utamaduni wa wengine na kuwalazimisha watu wafuate wa kwakoNilisoma kitabu kinaitwa Arabian Sends kimeandikwa na Alfred Thesiger, ni kitabu kizuri sana. Nilichogundua watu wanachanganya tamaduni za asili na dini, chiki binafsi wanazifanya kuwa ndiyo mafundisho ya dini. Lakini vile vile tukumbuke kuna mafundisho ya dini ambayo yanatokana na utamaduni asilia wa mahali zilikotoka hizi dini lakini kimsingi hayana faida yoyote kiroho. Akili za kawaida tu zitujibu, hivi mwanamke kutofunika kichwa inaweza mfanya asiende peponi? Jibu ni kwamba haiwezekani kwa sababu Mungu hawezi kuwa na masharti ya namna hiyo, ila tu ni utamaduni wa watu wa mashariki ya kati kama ilivyo kuvaa kanzu. Ndiyo maana ukienda Tunisia, Egypt, Turkey etc pamoja hayo mambo hayapo
Hahaha...Wewe hapo mwenyewe na msikiti wako unaoswali mnafuata mila na sheria za roma.Kama ni vazi la middle east alikotoka yesu na mama maryam kwanini unafuata sheria za kanisa toka Roma Italy ama Vatican?
Umecopy na kupaste mila za wazungu toka magharibi kuwa ndio maisha yako
Hata Mimi ni mzaliwa wa mbulu ila sijawahi kuvutiwa na nywele za wanawake kabisaWaafrica wengi hawana nywele za kuvutia
Labda wa babati tu
Nywele ziko kwa watu weupe
Hasa Arabuni na Asia
Naturally black long silky hair sio blondes
Sijui y Mungu katunyima huku Africa daah
Kwa hiyo huyu aliyeuwawa, ameuliwa kisa alikuwa anatunga shanga?Uelewa wako uko vipi!!?..umeambiwa Iran mwanamke asipofunika nywele anauawa!?
Ndugu zako ndo wana nywele nzuri hii nchi na rangi piaHata Mimi ni mzaliwa wa mbulu ila sijawahi kuvutiwa na nywele za wanawake kabisa
Vaa shanga ulaleKwa hiyo huyu aliyeuwawa, ameuliwa kisa alikuwa anatunga shanga?
Walimu wako walikua na shida Sana,kichwa chako ni bustani ya nywele tuKwahio hao wanawake ni Benki
Nadhan sasa umekubali hoja, katika uislamu hakuna nchi ambayo inaabudiwa, waislamu kote duniani wanaifata Quran na mienendo ya Mtume wetu S.A.WHahaha...Wewe hapo mwenyewe na msikiti wako unaoswali mnafuata mila na sheria za roma.
Au hujui kuwa hata Kalenda unayotumia kila siku (na mnayotumia msikitini) ni ya kanisa la roma?
Arabic culture tu hiyo hakuna cha DiniNadhan sasa umekubali hoja, katika uislamu hakuna nchi ambayo inaabudiwa, waislamu kote duniani wanaifata Quran na mienendo ya Mtume wetu S.A.W
Hakuna hahabar za roma wala vatican, dini ya kiislamu haikuletwa na updates kutoka ulaya na magharibi, taratibu zake ni zile zile since memorial tofauti na nyinyi mnaopangiwa dini kutoka magharibi
Unapoweka unazi na kuweka reasoning ability behind ndio mambo kama haya lazima yatokee.Vaa shanga ulale