inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kwamba benki pasiwekwe ulinzi Ila raia wazuie tamaa zao dhidi ya pesa zilizopo benki!!Taifa lolote lenye akili ni lazima lingefanya hivyo. Hivi utaamrishaje wanawake wajifunike kisa huwezi kuzuia tamaa zako unapoona wanawake? Kama huwezi kujizuia basi jitoboe macho kama yule jamaa wa kwenye hadithi aliyechoshwa kuona mambo ya dunia akaomba apofuke.
Masai vilema wapo! Na hata jana nilimuona pale Dodoma!Wakati wa kabla ya hizi unajua adhabu ya kuzaa kilema au albino umaasaini au uchagani?
Kaulize kwa nin hamna mmasai mzee kilema au albino?
Wameshafanya,Sasa waandamanaji wanataka regime change,kwamba ayatollah diktetaMarekani watatumia hii nafasi kupenyeza agenda zao! Kutoa support kwa waandamanaji nakusema ni haki yao! Sasa unadhani what is next??
Itakua hujui mkumba vanaHizi dini zimeletwa na MELI zisije kututonganisha Mimi na wewe mkuu. Bora tuamini kwenye mapango na kwennye. Miti mirefu mkuu
Ku question dini/muumba hakujaanza Leo Wala janaHuu ndio ukweli tunako elekea watu wata zidi ku question uwepo wa dini hizi tulizozikuta. Mfano ukristo na uislam.
Wataenda mbali na kwa kuquestion uwepo wake yeye muumba.
Hueleweki unataka kuwasilisha nini kilichopo kweny ubongo wako. Fedha zilipo benki na wanawake wapi wapi? Binadamu tumekuwa wanyama? Wewe unashindwa kujizuia unapoona kichwa cha mwanamke? Na yeye je akiona kichwa chako hashikwi tamaa?Kwamba benki pasiwekwe ulinzi Ila raia wazuie tamaa zao dhidi ya pesa zilizopo benki!!
Kwa hiyo tamaa kwenye pesa haipo ...Hadi pawekwe ulinzi!?...uislam unazuia chanzo Cha matatizo,hauzuwii matokeo japo una utatuzi kwa yote,zinaa mtu ahemkwi bila sababu ni mpaka aone,ndiyo maana ukaanza kukataza kuikaribia,Kisha stara,Kisha kitenganisha jinsia,Kuinamisha macho,adhabu kwa mtendaji...tamaa si kila mtu anaweza zuwiaHueleweki unataka kuwasilisha nini kilichopo kweny ubongo wako. Fedha zilipo benki na wanawake wapi wapi? Binadamu tumekuwa wanyama? Wewe unashindwa kujizuia unapoona kichwa cha mwanamke? Na yeye je akiona kichwa chako hashikwi tamaa?
Nauliza, wao wanawake hawana tamaa?Kwa hiyo tamaa kwenye pesa haipo ...Hadi pawekwe ulinzi!?...uislam unazuia chanzo Cha matatizo,hauzuwii matokeo japo una utatuzi kwa yote,zinaa mtu ahemkwi bila sababu ni mpaka aone,ndiyo maana ukaanza kukataza kuikaribia,Kisha stara,Kisha kitenganisha jinsia,Kuinamisha macho,adhabu kwa mtendaji...tamaa si kila mtu anaweza zuwia
Wanazo,lini ulitongozwa na mwanamke?...nani humfuata mwenziye!?Nauliza, wao wanawake hawana tamaa?
... swali zuri!Nauliza, wao wanawake hawana tamaa?
Marekani wazee wa furssa wale jamaa! Hata china alishitukia tukia la Nancy Pelos kwenda Taiwan! Ule ulikua ni mtegoWameshafanya,Sasa waandamanaji wanataka regime change,kwamba ayatollah dikteta
Ndio hadi kulazimika kuua mabinti js to prove a point on modesty?Kwa hiyo tamaa kwenye pesa haipo ...Hadi pawekwe ulinzi!?...uislam unazuia chanzo Cha matatizo,hauzuwii matokeo japo una utatuzi kwa yote,zinaa mtu ahemkwi bila sababu ni mpaka aone,ndiyo maana ukaanza kukataza kuikaribia,Kisha stara,Kisha kitenganisha jinsia,Kuinamisha macho,adhabu kwa mtendaji...tamaa si kila mtu anaweza zuwia
Wameyataka wenyeweHapo Marekani na Israel lazima wapenyeze majasusi wao kuchochea vurugu
Waacha wanyooshwe hao WairanKwahiyo America alituma hao askari wampige binti hadi kupelekea kifo chake.?
#MaendeleoHayanaChama
Nyang'au wa ki Amerika wameshaingia hapo tayariMwanamke kuuawa kisa kijisehemu cha nywele zake kilionekana wazi, imesababisha wa-Iran waseme imetosha, uzombi wa kidini hawautaki tena. Miji 80 ya Iran inatamalaki waandamaji.
Nilishangaa sana bibi mswahili FaizaFoxy anatetea huu ukatili kwa wanawake wenzake kisa mzuka wa kidini...
Large protests continued in Iran for the sixth day in a row on Saturday with protestors blocking streets in various cities across the country and reports claiming they had taken control of the city of Oshnavieh.
The protests against the government broke out both online and in the streets last week after Mahsa Amini died in police custody following her arrest by the modesty police who accused her of wearing her hijab wrong.
After news of Amini's death broke, Iranian women took to social media, posting videos of themselves cutting their hair and burning their hijabs, and other videos posted online showed women of all ages in the streets waving their hijabs in defiance.
The protestors, which were made up of both men and women, marched through the streets, shouting out slogans like "death to the dictator" and "live free or die," blocked roads and caused damage to the security forces that tried to stop them.
The Islamic Republic of Iran Broadcasting reported a total casualty count of 35, but the precise number is unclear amid the chaos of the protests.
MSN
Uislam unakataza kuua,Pana habari mbili juu ya kifo Cha huyo binti,polisi wanasema akipata mshituko wa moyo,familia yake inasema hakuwa na matatizo ya moyo,ila ukweli ni kafa mikononi mwa polisi...nini kilisababisha kifo chake!?..mateso au moyo!?Ndio hadi kulazimika kuua mabinti js to prove a point on modesty?
Ndo hicho ndo kimewakera waIranUislam unakataza kuua,Pana habari mbili juu ya kifo Cha huyo binti,polisi wanasema akipata mshituko wa moyo,familia yake inasema hakuwa na matatizo ya moyo,ila ukweli ni kafa mikononi mwa polisi...nini kilisababisha kifo chake!?..mateso au moyo!?
Uislam unakataza kuua,Pana habari mbili juu ya kifo Cha huyo binti,polisi wanasema akipata mshituko wa moyo,familia yake inasema hakuwa na matatizo ya moyo,ila ukweli ni kafa mikononi mwa polisi...nini kilisababisha kifo chake!?..mateso au moyo!?
Kuna watu Iran na nchi zingine za kiislam Wana hamu na maisha ya kikafiri,ulale na hawara usiku kucha mchana kutwa,kuelewa,fasheni..hawajui madhara yake,kwamba huku tunalea watoto tusio na uhakika Kama ni wetu kweliNdo hicho ndo kimewakera waIran