Usiishi kwa kukariri, yule MAGUFULI ndiyo walipaswa kumfanyia haya maandamano. Instead wakaufyata na kukimbilia Canada na Belgium. Huyu kawaruhusu kufanya mikutano na uhuru wa maoni wanamdharau. Ngoja waonje NGONDOIGWAEnzi za JPM ulikuwa mkali kama moto......Asali imerudi kwenu mmegeuka๐๐
Wake zao walikuwa wanachama wa vyama husika.Sasa kila siku mnakaza viuno kutaka watoto wao waandamane.Kwani wana uanachama au walikwambia kila wafanyalo wazazi wao ni lazima na wao wafanye?Mpinzani wa kweli ni slaa na lipumba tu wakisema wanatoka wanakwenda na wake zao tulishuhudia mushumbuzi akivuja damu,lipumba akivunjwa mkono mbele regina!
F.F.U hao wanakuja utaona vikofia vyekundu kibao chini kwa nduki watavyozimwaga wanakimbia hawa makamanda kepchoge keinoo akasome!
Barabara, shughuli za kiuchumi, na mambo yote yanayohusisha maendeleo ya watu na taifa vyote kwa pamoja msingi wange ni utawala Bora na siasa.Watapitia barabarani au wataandamana porini.
Barabara zipo Kwa ajili ya shughuli za Kiuchumi sio maandamano.
Halafu barabara zote wamechagua ni zenye shughuli nyingi za Kiuchumi za magari si sahihi kabisa kusimamisha shughuli za Kiuchumi barabara kuu kama hizo kupisha maandamano.
Mkuu usihofu. Maandamano ya Chadema huwa yanafana sana JF. Mitaani huwakuti!!!Acheni kutuharibia Tanzania yetu nyie CDM. Kama mnataka andamabeni peke yenu. Waacheni waTanzania waendeshe shughuli zao za kiuchumi. Nyie ni sisimizi tu wala hamuwezi kubadili kitu kwenye mambo ya nchi hii. Kama hamna shughuli semeni tuwaonyeshe fursa.
Jidanganye hivyohivyo. Kama lile li dictator uchwara lilishawahi kuingia uwanjani limejificha kwa gari kwa kumuogopa mange kimambi ambayye hata hayupo nchini itakuwa haya wacha tuoneKwanza wewe hutoki unakaa kwenye tv!
Ni wale wwle tu.Usiishi kwa kukariri, yule MAGUFULI ndiyo walipaswa kumfanyia haya maandamano. Instead wakaufyata na kukimbilia Canada na Belgium. Huyu kawaruhusu kufanya mikutano na uhuru wa maoni wanamdharau. Ngoja wagoner NGONDOIGWA
Utawahubiria hao vimbwenerehi wa CCM hadi utachoka.Wakiskia maandamano ya wakinzani hapohapo wanashikwa na haja zote.Mwingine ameomba hadi mdahalo ili tu kuwapooza CHADEMA. Ukiwauliza walikuwa wapi hadi wakinzani wao wahitaji maandamano?Hawana majibu sahihi.Barabara, shughuli za kiuchumi, na mambo yote yanayohusisha maendeleo ya watu na taifa vyote kwa pamoja msingi wange ni utawala Bora na siasa.
Viongozi wa nchi, watu wa ulinzi na usalama wote wanatokana na siasa. Kwahyo kila jambo kwenye nchi yenye utawala wa Sheria (katiba) msingi wake ni siasa na utawala Bora kwahyo sio vema kupuuza shughuli za kisiasa.
Hivyo basi, Ikiwa wao chadema Wana hoja za msingi zinazowafanya wao waandamane basi waandamane ilimladi tu wawe sahihi kulingana na katiba yetu ya nchi.
Na Ikiwa nchi haitaki ghasia ya maandamano ya chadema kwa siku iliyopangwa basi namna sahihi ni Moja tu watawala watoe majibu au miongozo kuhusiana na hoja za hao wanaotakao kuandamana.
(Mbona mambo ni rahisi Sana)
Si mnajaribu kumfunua majuba ya mama mchungulie kijaruba chake haya yaliyo mkuta ungo!Jidanganye hivyohivyo. Kama lile li dictator uchwara lilishawahi kuingia uwanjani limejificha kwa gari kwa kumuogopa mange kimambi ambayye hata hayupo nchini itakuwa haya wacha tuone
Kumbe unalijua hilo nendeni sisi tupo pale nitaendesha lile gari kubwa la deraya na maji ya pili pili nitawapelekea moto kama siwajui!Wake zao walikuwa wanachama wa vyama husika.Sasa kila siku mnakaza viuno kutaka watoto wao waandamane.Kwani wana uanachama au walikwambia kila wafanyalo wazazi wao ni lazima na wao wafanye?
Umemsahau maalimu kipindi kifupi hivi ama kweli siasa ni unafiq!..Abduli ndiye anayepaswa kushughulikia wapinzani ili kulinda madaraka ya Mama yake.
..Na Watanganyika kuumiza Watanganyika wenzenu ili tutawaliwe na Mzanzibari ni utumwa.
wa hapa stakishari police post tunaanzia, wapi hapahapa au tusogee mbele kidogo?Maandamano ya Jumatano, Januari 2024, yataanza Saa 3:00 asubuhi. Yatahusisha njia mbili kuanzia Mbezi Mwisho (Stand) na Buguruni, na yataishia Ofisi za UN, barabara ya Sam Nujoma, Dar es Salaam.
Nakala za barua za taarifa ya Maandamano haya zimepelekwa kwa makamanda wote wa Polisi Wilaya, pamoja na Mkuu wa kanda ya Polisi Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika, kumalizia maandamano ofisi za UN ni kwa sababu UN inao wajibu na nafasi ya kuchukua hatua kwa kadri itakavyoona inafaa.
Kuhusu suala la mjadala, Mnyika amesema tayari walifanya mdahalo na CCM kwa mwaka mzima na haoni mantiki ya kuendelea kupoteza muda zaidi hivyo wakutane barabarani.
Mnyika amefafanua pia majibu ya maswali ya CHADEMA yanapaswa kutolewa na viongozi wakubwa kama, amewaasa wananchi kutokukubali kuhamishwa kwenye hoja.
Pia, ameelezea kuwa CHADEMA ni chama kinachoamini katika kubana matumizi na kuwa na Serikali ndogo, hoja aliyoitoa kuhusu idadi ya wabunge wawili (Me na Ke) kila jimbo imetoka kwenye Rasimu ya Warioba ambayo ukiisoma utagundua kuwa idadi ya wabunge itapungua kwa kuwa watatokea kwenye Halmashauri za Wilaya (wabunge 278 tu) badala ya Sera ya sasa ya Majimbo ambapo kuna wabunge zaidi ya 370.
CHADEMA imesema hakuna mtu au mamlaka yoyote, nje ya CHADEMA, inayoweza kusitisha maandamano yaliyopangwa kufanyika.
Labda uje na baiskeli yako ile chapa "raleigh au swala" unayobebeaga "mindizi"!๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃKumbe unalijua hilo nendeni sisi tupo pale nitaendesha lile gari kubwa la deraya na maji ya pili pili nitawapelekea moto kama siwajui!
Umemsahau maalimu kipindi kifupi hivi ama kweli siasa ni unafiq!
Halafu wanatung'ong'a kwa kuushangaa umasikini wetu na kusema hawajui chanzo chake...siasa ni unafiki kweli.
..walalahoi tunaumizana ili kina Husseni, Abduli, Ridhiwani, Freddy, na watoto wengine wa vigogo wa Ccm, wafaidi "keki" ya taifa.
..Ukiacha ufisadi wanaofanya vigogo bado wanapachika watoto wao ktk nafasi nzurinzuri za madaraka.
MIJINGA INAROGWA WENZAO WAKIANGALIA OFISINI KINAVHOENDELEA SITAKI KUSE MMA ZAIDI..KUNA MAANDAMANO YA CHAMA KIMOJA WAKATI WANAANDAMANA VIONGOZI WAMEJIFUNGIA LWENGE AC WAKITAZAMA VICHAPOO KWA WAJINGA HUKU WAKICHEKAMaandamano ya Jumatano, Januari 2024, yataanza Saa 3:00 asubuhi. Yatahusisha njia mbili kuanzia Mbezi Mwisho (Stand) na Buguruni, na yataishia Ofisi za UN, barabara ya Sam Nujoma, Dar es Salaam.
Nakala za barua za taarifa ya Maandamano haya zimepelekwa kwa makamanda wote wa Polisi Wilaya, pamoja na Mkuu wa kanda ya Polisi Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika, kumalizia maandamano ofisi za UN ni kwa sababu UN inao wajibu na nafasi ya kuchukua hatua kwa kadri itakavyoona inafaa.
Kuhusu suala la mjadala, Mnyika amesema tayari walifanya mdahalo na CCM kwa mwaka mzima na haoni mantiki ya kuendelea kupoteza muda zaidi hivyo wakutane barabarani.
Mnyika amefafanua pia majibu ya maswali ya CHADEMA yanapaswa kutolewa na viongozi wakubwa kama, amewaasa wananchi kutokukubali kuhamishwa kwenye hoja.
Pia, ameelezea kuwa CHADEMA ni chama kinachoamini katika kubana matumizi na kuwa na Serikali ndogo, hoja aliyoitoa kuhusu idadi ya wabunge wawili (Me na Ke) kila jimbo imetoka kwenye Rasimu ya Warioba ambayo ukiisoma utagundua kuwa idadi ya wabunge itapungua kwa kuwa watatokea kwenye Halmashauri za Wilaya (wabunge 278 tu) badala ya Sera ya sasa ya Majimbo ambapo kuna wabunge zaidi ya 370.
CHADEMA imesema hakuna mtu au mamlaka yoyote, nje ya CHADEMA, inayoweza kusitisha maandamano yaliyopangwa kufanyika.
CDM inajitafutia matatizo uwezi tangaza tarehe ya maandamano kabla ya kupata kibali cha polisi.
Mantiki ya kuandika barua polisi na wao wajipange ili kuweka ulinzi, sio uwa taharifu tu halafu uende kujifanyia mambo.
Worst muda na siku ya maandamano ni katika ya week na wakati watu wapo busy wao wanataka kufunga njia.
Walau ata ingekuwa siku ya jumapili hao makamanda wa polisi wakose sababu ya kutoa kibali, halafu unataka kufanya maandamano pande mbili.
Matatizo mengine ni ya kujitakia, halafu likitokea la kutokea watasema wanaonea.
Chinese proverb โjemedari asiefikiria madhara ya vita kwanza kwa wanawajeshi wake, hafai kuongozaโ sasa uwezi kuchagua siku na muda wa uzalishaji kufanya maandamano, tena kabla ya kupata kibali cha polisi.
Huyo mama aendelee kuwachekea tuone mwisho wake. Kuandamana ni haki ya kikatiba, lakini haki hiyo aina maana itumike kulenga kuharibu shuguli zingine ilo ni kosa la jinai kwenye penal code.
Watazamaji yetu macho