Pre GE2025 Maandamano ya CHADEMA kuanzia Mbezi Mwisho na Buguruni hadi Ofisi za UN

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umeandika mengi utadhani unamaanisha uhalisia.Tangu lini CCM wakayapenda maandamano ya wakinzani/CHADEMA?Uliwahi kusikia polisi wakakosa sababu za kuzuia maandamano ya CHADEMA?Unaamini polisi watakubali kutoa ulinzi na kukubali maandamano bila shinikizo la wadai haki?Mara nyingine uwe unaandika kama haujala kipolo cha sembe kwa kutumia uji wa sembe.
 
Kichapo atapata mamako na basha lako huko can.
 
Hikichama n hayatimtarajiwa soon mtakisahau
Kichapo atapata mamako na basha lako huko can.
Nkooonafagiooo tunawasubiri mtadeki lamiii
 
Fuata kanuni kwanza, ukiona mizunguo ndio chukua hatua zingine kama ni lazima.

Kwa speech ya Mnyika leo CDM hawajafuata taratibu, uwezi tangaza maandamano kabla ya kupata kibali cha polisi; ata ukiyaita maandamano ya amani.


Worst ni muda na saa ya kuanzisha maandamano sio rafiki.
 
..MISAFARA ya viongozi inaweza kuleta kero na usumbufu kuliko maandamano ya Chadema.

..Polisi wakionyesha weledi maandamano hayo yanaweza kufanyika kwa AMANI na Tanzania ikawa mfano wa kuigwa.
Ni haki ya CDM kuandamana ila ndio ufunge njia kutoka buguruni mpaka ofisi za UN jumatano asubuhi?

Halafu unafanya hivyo bila ya kupewa kibali kwanza, chances are utanyimwa kutokana na siku na muda watakwambia tutakuwa busy na shughuli zingine (you can’t blame them it’s midweek and day time, jeshi lipo busy na shughuli za ulinzi wa mkoa).

Lengo la maandamano ya amani ni kutuma salamu sio kufanya fujo; chaguo la siku na muda ni wazi CDM wanatafuta uchokozi.
 
Hivi unaandika kwa yaliyo moyoni tu au unaendeshwa na hisia hasi?CCM wenzako hawataki,hawapendi,wanaogopa,wanaudhika na kupata kila aina ya muhaho/kuhaha wakisikia maandamano halafu wewe unaleta ngonjera za kufuata hatua.Hatua za shambal la bangi?
 
Chadema nauliza sijawahi sikia hata siku moja kuwa Chadema itafanya maandamano Moshi kwa Mbowe yote huamua yafanyike miji ya wengine kama Mwanza,Dar,Dodoma ,Mbeya na Arusha na mara huko.Kwao Moshi Mbowe hakujawahi fungwa barabara Wala vurugu za maandamano Wao huendelea na biashara kama kawaida barabara za mikoa mingine Chadema wakikiinukisha

Hivi Hawa akina Mbowe wanaionaje mikoa mingine mabwege au kuwa wao ndio wa kuwasukumia maandamano Kila wakati Kwa Nini wasiwe wanaopelekwa Moshi nao waathirika biashara zao Kwa maandamano?
 
Hivi unaandika kwa yaliyo moyoni tu au unaendeshwa na hisia hasi?CCM wenzako hawataki,hawapendi,wanaogopa,wanaudhika na kupata kila aina ya muhaho/kuhaha wakisikia maandamano halafu wewe unaleta ngonjera za kufuata hatua.Hatua za shambal la bangi?
Haya mimi nakueleza sheria na taratibu, wewe unaweka hisia zako.

Ndugu nchi ina sheria.

Vinginevyo all the best na tarehe 24.

Watazamaji yetu macho
 
Una hoja nzito
 

CHADEMA inasuka Viongozi wa Taifa wajao.
 
Sasa,wewe hata ukiulizwa chanzo cha maandamano na nia yake unaweza kueleza?Umealikwa?
 
Tulia wewe Kapuku.....
 
Unaandamana na mtu ana uraia Pacha kwenye maandamano anakuja na Passport zake zaidi ya mbili??!! likipigwa bomu la machozi anakimbilia kwenye v8 yake anaenda kupumzika oysterbay/masaki. Tumia akili, nawachukia mafisadi wa CCM na wezi wa rasilimali za nchi hii lakini siwezi kwenda kushiriki maandamano na ndumi la kuwili wenye agenda binafsi
 
Mwisho wenu upo Karibu sana WaTanzania sio wajinga tena sio mbumbu tena

Mmekula na kuvimbiwa nyinyi na familia zenu...sasa ni muda wa KUTAPIKA

KATIBA MPYAA TUME HURU YA UCHAGUZI HAVIEPUKIKI....
 
Hawa.n hamas br wanajibiwaaa kwa usafii tu
 
chadema wanataka kucheza na uchumi wa nchi papasi kabisa
 

..haimaanishi kwamba njia nzima mwanzo mwisho haitapitika.

..Nadhani hayo maandamano by saa 6 mchana yatakuwa yameshakamilika.

..Hakuna mahali Chadema wamesema wanataka kufanya fujo.

..Neno fujo halitakiwi litumike na kuhusishwa na maandamano ya Katiba.

..Kuna maandamano ya kumpokea Lissu yalifanyika bila taarifa, yalisindikizwa na Polisi, na hayakuwa na shida wala usumbufu.

..Kwa maoni yangu kunatafutwa sababu za kuwazuia Chadema wasiandamane.

..Let's all be positive. Tuzungumze haki na amani.
 
Si mnajaribu kumfunua majuba ya mama mchungulie kijaruba chake haya yaliyo mkuta ungo!
Kama polisi wapo na kweli mnawategea kwann mlikodisha wale wapuuzi waliozungumza na waandishi wa habar wakijiita muungano wa vyama vya upinzani leo pale seashells hoteli tena muda huohuo ambao mnyika alikuwa anaongea?
C muruhusu Joyce wowo aje kwa mdahalo na mavyeti yake fake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…