Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Simbachawene ahamishiwa Utumishi na Utawala Bora, Jenista arejeshwa Sera, Bunge na Uratibu

Haya sasa Watu wa TISS mmeletewa Boss mpya bila shaka mtampa Ushirikiano mkubwa japo kwa sasa Wasukuma wanaonekana ni Maadui na hawaipendi Awamu ya Sita ya Kilazima.

RAI yangu Kwako Simbachawene hiyo Docket umepewa Kimtego ili upashindwe na sababu ya kukutoa rasmi iwepo.

Pia umeteuliwa hapo Kimkakati zaidi ili uweze Kukidhibiti vyema Chama Kipya ( kinachojiandaa Kimya Kimya ) chenye Pro Hayati Msubi wa Chato wengi kisije kuwa Kikwazo Kiushawishi na Kisiasa kwa Aliyekuteua.

Kuwa makini sana katika hiyo Docket.
 
Mzizi aliooga Jenista siyo wa nchi hii.Alafu Elimu yake ni Diploma ya uwalimu tu!!!
Naona wengi mnawaza tofauti na mimi....mi niliwaza huenda amerudishwa kwenye hiyo wizara ili ajibu vizuri hoja za report ya CAG itakapofikishwa bungeni
 
Hawa Mawaziri kila Mabadiliko wamo inaonyesha uwezo wao wa kudumu kwenye Wizara moja hawajiwezi nadhani Mama angewapumzisha tu mbona kuna Watanzania Mil.60
 
 
Jenista amerudishwa kule kule, yaan huyu mama mganga wake ni kibokoooo,. Khaaah

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaoga mzizi wa mninga uliochanganywa na mzizi wa mkuyu,akachinjiwa kondoo mweusi.Mkojani hapindui ufundi wa Jenista!
 
Thubutuuu 🤣🤣🤣🏃 atacheza na bit ya mwenye nchi
 
TISS si iko chini ya mzee mzima Mkuchika?
Ama Mkuchika anashughulikia mafaili yepi?
Mkuchika alipokuwa Utumishi,alikuwa anaongoza TISS. Kama amehama nayo ,sijui.
Hapa labda kuna mvutano. Labda hiyo wizara inagombaniwa
 
Naomba nitoe unabii
Wapo ambao wataukosa uwaziri kwa siku zijazo na ikitokea hivyo, wapiga Kura wao huko ktk Majimbo yao watakesha kwa nderemo na vifijo, huku wakijipongeza kwa ulabu.

Unabii huu unatokana na baadhi yao kutumia nafasi zao kwa kuwakomoa wanyonge, wasio na lolote wala chochote!
Mungu mpe jicho la Tatu Rais wetu kuwabaini hao.

Mwisho wa Unabii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…