Mabadiliko ya vifurushi kuanza tarehe 02/04/2021

Tigo naona vimeumana, vile combo vya mwezi bado hakuna unafuuu.
 
Au ni ujanja wa TTCL ili waje wayapiku makampuni ya simu
 
Afanye kukaa nao mapema
 
Si wangesema kabisa kama mabadiliko hayo yanahusu kushuka kwa gharama za vifurushi au lah!!!!.
 
TCRA eneo mnalotaka tuishi ni eneo kandamizi na bahati mbaya nyinyi ndio wachoraji wa hii ramani



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…