Duh 🙄😱Hizi ndiyo silika za viongozi wetu.
View attachment 2735766
Hawana uchungu na nchi.
Serikali zao zimesheheni ndugu zao.
Mali zetu wamejimilikisha wao kwa maslahi yao binafsi.
Viongozi hawa hawaaminiki.
Tudai katiba mpya itakayotuwezesha sote kuwajibika.
Katiba zenye kuhakikisha usawa wetu sote mbele ya sheria zitatuvusha.
😂😂🔥Marais wa Afrika sijui wamerogwa na nani!! Maana tabia na mienendo yao inafanana kwa kila kitu.
Kwahiyo kwa sasa pale Kizimkazi ni mabegi ya Noti tuMarais wa Afrika sijui wamerogwa na nani!! Maana tabia na mienendo yao inafanana kwa kila kitu.
Gabon katiba mpya ndio imewezesha hayo mafurushi kukamatwa?!Tudai katiba mpya itakayotuwezesha sote kuwajibika.
Katiba zenye kuhakikisha usawa wetu sote mbele ya sheria zitatuvusha.
Hapana Mheshimiwa! Mimi nimeongelea tu kwa ujumla.Kwahiyo kwa sasa pale Kizimkazi ni mabegi ya Noti tu
Bongo hakuna wa kujifunza cz wanajiamin to the fullest kitu ambacho huja kugeuka bila kutarajia!!Hizi ndiyo silika za viongozi wetu.
View attachment 2735766
Hawana uchungu na nchi.
Serikali zao zimesheheni ndugu zao.
Mali zetu wamejimilikisha wao kwa maslahi yao binafsi.
Viongozi hawa hawaaminiki.
Tudai katiba mpya itakayotuwezesha sote kuwajibika.
Katiba zenye kuhakikisha usawa wetu sote mbele ya sheria zitatuvusha.
Hayo mambo ya kizamani sana, siku hizi watu wanaekaga dola tuDuh...!!
Hata humu kwetu, kwa huu ukata wa dola...nashauli serkali ibadilishe muundo wa noti ya elf10 na elf5. Zitengenezwe za muundo mpya.Wenye nazo za zamani wazibadilishe ndani ya miezi mitatu tu.
Nakuhakikishia kuna viongozi wataumbuka.
Mtu anajaza hela chumba kizima, wakati mtu huyu anafanyiwa kila kitu, kula, kulala, kuvaa, watoto kusoma..kila kitu anafanyiwa kwenye maisha yake..lakini bado anajaza hela chumba kizima.
Hapo ndio ujue mtu mweusi alivyo.ni tatizo kubwa sana hili.
Na hata hao unaowaona hapo wanajifanya wazalendo kwa kuonesha hizo picha.wakimaliza mwaka kwenye madalaka, ukienda kuwasachi usishangae ukawakuta wana magunia ya noti ndani kuzidi hizo.
KabisaYaan sio Gabon tu.
Hata hapa Bongo.
Utakuta Nyumba ya Marope, Bichwa , Msoga, kule Wana vyumba maalumu vya kutunzia US dollars
Gabon katiba mpya ndio imewezesha hayo mafurushi kukamatwa?!
Duh!!Hayo mambo ya kizamani sana, siku hizi watu wanaekaga dola tu
Za madafu huwezi kuzikuta hata siku moja, labda zibadilishwe dola
Yaan sio Gabon tu.
Hata hapa Bongo.
Utakuta Nyumba ya Marope, Bichwa , Msoga, kule Wana vyumba maalumu vya kutunzia US dollars