Mabegi ya Pesa yaliyokutwa Nyumbani kwa Rais Gabon, funzo kwetu

Mabegi ya Pesa yaliyokutwa Nyumbani kwa Rais Gabon, funzo kwetu

Imedhihirika kuwa CCM hawataki maridhiano, bali wanafanya Hadaa ili watawale bila pressure. Machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatafungua ukurasa mpya wa kiutawala hapa nchini. Yale maridhiano toka awali tulijua ni utapeli kama utapeli mwingine.
 
Imedhihirika kuwa CCM hawataki maridhiano, bali wanafanya Hadaa ili watawale bila pressure. Machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatafungua ukurasa mpya wa kiutawala hapa nchini. Yale maridhiano toka awali tulijua ni utapeli kama utapeli mwingine.
Kama Zanzibar tu. Kilichopo huko ni kiinimacho. 2025 msimu wa uchaguzi yatajirudia ya 1995, 2000 endelea hadi 2020.
 
Tuna viongozi wajinga wasio na uwezo wa kuongoza, ila wana mawazo ya kuwaibia tu wale wanaowaongoza, hii kwangu ni mental poverty.
 
Hizi ndiyo silika za viongozi wetu.

View attachment 2735766

Hawana uchungu na nchi.

Serikali zao zimesheheni ndugu zao.

Mali zetu wamejimilikisha wao kwa maslahi yao binafsi.

Viongozi hawa hawaaminiki.

Tudai katiba mpya itakayotuwezesha sote kuwajibika.

Katiba zenye kuhakikisha usawa wetu sote mbele ya sheria zitatuvusha.
Mtu kama huyu utamwambiaje kuhusu Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi
 
Marais wa Afrika sijui wamerogwa na nani!! Maana tabia na mienendo yao inafanana kwa kila kitu.
Unashangaa mtu anajilimbikizia mali nyingi kweli kweli huku ana uhakika wa kulipwa mamilioni ya pesa kila mwezi na Serikali na matibabu na marupurupu kibao mpaka atakapoiaga dunia !!

Hiyo ni dhiluma ambayo ndio huwa inawafanya wengi wao wanakosa kabisa peace of mind katika maisha yao yote !! Maisha ni mafupi sana na ukikosa peace of mind you’re finished !!
 
Hakuna aliyewaroga...

Viongozi wanatokea miongoni mwetu, hivyo tabia kama za uizi, udokozi, kutoridhika, ubinafsi n.k ni miongoni mwa tabia ambazo mwafrika huishi nazo, na huzionesha pale.anapopata nafasi ya kufanya hivyo...
Umenena ! Mindset zetu ndivyo zilivyo ! Hii ni hasara kubwa sana kwetu !!
 
Wazuri wake wa fedha nae amedakwa njiani akitorokea kung'ambo ya nchi👇
 

Attachments

  • VID-20230903-WA0000.mp4
    13.8 MB
Iko wazi hakuna cha kujifunza maana watanzania always imekua kauli “tujifunze” wapii! Kila siku madudu yanatamalaki!

Kwani watanzania unaowaongelea ni nani?

IMG_20220927_190940_421.jpg


HAta Kwenye hao 10 wewe haumo? Vipi wale 8.5m+ waliosajiliwa kidijitali?

Msiwasingizie watanzania kuficha ineptness zenu.
 
Eti mtu kutunza hayo mahela yote si afadhali ununue matofali ya Dhahabu utunze naona kama ni salama zaidi !! Maana dhahabu haishuki thamani na hata ukiihifadhi shimoni miaka na miaka utarudi ukute kitu kipo vile vile !!
Siungi mkono upigaji wadau 😂😂

Hayo mabegi ya pesa hata uwanja wa ndege unapitaje sasa !!
 
Hizi ndiyo silika za viongozi wetu.

View attachment 2735766

Hawana uchungu na nchi.

Serikali zao zimesheheni ndugu zao.

Mali zetu wamejimilikisha wao kwa maslahi yao binafsi.

Viongozi hawa hawaaminiki.

Tudai katiba mpya itakayotuwezesha sote kuwajibika.

Katiba zenye kuhakikisha usawa wetu sote mbele ya sheria zitatuvusha.
Samia alitoa 5M kwa kila goli , je alizitoa wap zile ela , iwapo ipo round Simba alimchakaza mtu goli 7 i.e 35M ambayo ni zaid ya mshahara wake rais , je kipi kilikuwa chanzo cha malipo yale bila kusahau alidhamin mashindano ya quran ( inahisiwa alitoa kati ya 25M ( sina hakika)) , je haya yote hayahakisi ya bwana Mpinduliwa
 
Back
Top Bottom