Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa mnafanana attitude na wamagharibi? angalia mkataba wa bandar mmeoneshwa mapunguf yake ila mmelala kbs hamtak shiriki kuikosoa serikalGabon katiba mpya ndio imewezesha hayo mafurushi kukamatwa?!
ndo wasioneshe hata ka clip maadui zake?Za chini ya kapeti, Jiwez aliacha minoti ya kutosha Chato-nge..
Propaganda za Nguema ,wamegombana ndugu.Hizi ndiyo silika za viongozi wetu.
View attachment 2735766
Hawana uchungu na nchi.
Serikali zao zimesheheni ndugu zao.
Mali zetu wamejimilikisha wao kwa maslahi yao binafsi.
Viongozi hawa hawaaminiki.
Tudai katiba mpya itakayotuwezesha sote kuwajibika.
Katiba zenye kuhakikisha usawa wetu sote mbele ya sheria zitatuvusha.
isingekuwa siri kama wanaeza sema mita za 27000Tsh tulichezewa ila tulistahiri kulipa 300k Tsh , wanashindwaj kuiweka waz kuua legacy yake ?Hata kwetu wangeenda angalia kwa marehemu wangekuta
🤣🤣🤣🤣 Wajinga ndio mliwaoImedhihirika kuwa CCM hawataki maridhiano, bali wanafanya Hadaa ili watawale bila pressure. Machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatafungua ukurasa mpya wa kiutawala hapa nchini. Yale maridhiano toka awali tulijua ni utapeli kama utapeli mwingine.
uliisikia wap hii? mzee wa watu hana hata bar , kwann msiwazungumzie wez wanaotak iuza bandar kwa njaa zaoVyombo gani huru vinaweza thibitisha? Hizi ni propaganda za Wajeshi kuhalalisha upuuzi wao.
Msisahau Kuna mabegi ya mabilioni yalikutwa Kwa Marehemu Mwendazake
kila goli 5M , wkt mshahara ni 11M , hujiongez mkuu , bila kusahau mnyama alimla mtu 7G , hii mipunga wanatoaga wapUnataka kusema na wa kwetu naye tabia zake zinaendana na hao wengine majizi?
jana sio leoKama Zanzibar tu. Kilichopo huko ni kiinimacho. 2025 msimu wa uchaguzi yatajirudia ya 1995, 2000 endelea hadi 2020.
Yaani hawawezi kosa kabisaYaan sio Gabon tu.
Hata hapa Bongo.
Utakuta Nyumba ya Marope, Bichwa , Msoga, kule Wana vyumba maalumu vya kutunzia US dollars
Ni Makamu wa Rais...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeyaona hayo mabegi leo Aljazeera lakini walisema yamepatikana nyumbani kwa Waziri fulani
Propaganda za Nguema ,wamegombana ndugu.
Ona alivyo fisadi huyo Jamaa yenu.Wajinga ndio Waliwao
View: https://twitter.com/AfricaFactsZone/status/1698292287195795872?t=lCuyPLx-GeHTW3N3RDDabQ&s=19
😂😂😂kila goli 5M , wkt mshahara ni 11M , hujiongez mkuu , bila kusahau mnyama alimla mtu 7G , hii mipunga wanatoaga wap
Shimo gani hilo Brazaj?Sadam alikutwa na $500m+ shimoni
Shimo gani hilo Brazaj?
Upotoshaji wa aina hii wala hauna tija. Yaani unaongezea chumvi nguru!