Mabegi ya Pesa yaliyokutwa Nyumbani kwa Rais Gabon, funzo kwetu

Mabegi ya Pesa yaliyokutwa Nyumbani kwa Rais Gabon, funzo kwetu

Marais wa Afrika sijui wamerogwa na nani!! Maana tabia na mienendo yao inafanana kwa kila kitu.

Hakuna aliyewaroga...

Viongozi wanatokea miongoni mwetu, hivyo tabia kama za uizi, udokozi, kutoridhika, ubinafsi n.k ni miongoni mwa tabia ambazo mwafrika huishi nazo, na huzionesha pale.anapopata nafasi ya kufanya hivyo...
 
Hizi ndiyo silika za viongozi wetu.

View attachment 2735766

Hawana uchungu na nchi.

Serikali zao zimesheheni ndugu zao.

Mali zetu wamejimilikisha wao kwa maslahi yao binafsi.

Viongozi hawa hawaaminiki.

Tudai katiba mpya itakayotuwezesha sote kuwajibika.

Katiba zenye kuhakikisha usawa wetu sote mbele ya sheria zitatuvusha.
hata ccm tukiwatoa tutakuta matrillion ya hela hivihivi.
 
Hayo mambo ya kizamani sana, siku hizi watu wanaekaga dola tu
Za madafu huwezi kuzikuta hata siku moja, labda zibadilishwe dola
Kuna siku nipo kwenye sherehe ya kuaga (send-off) binti wa rafiki yangu mmoja,nikaona viongozi fulani wawili wakitunza $ kwa bibi harusi mtarajiwa na maids wake,tena ni mia mia.

Naona huu upungufu wa $ itakuwa pia unachangiwa na watu (hasa viongozi) kuzihifadhi kiasi kikubwa majumbani.
 
Hizi ndiyo silika za viongozi wetu.

View attachment 2735766

Hawana uchungu na nchi.

Serikali zao zimesheheni ndugu zao.

Mali zetu wamejimilikisha wao kwa maslahi yao binafsi.

Viongozi hawa hawaaminiki.

Tudai katiba mpya itakayotuwezesha sote kuwajibika.

Katiba zenye kuhakikisha usawa wetu sote mbele ya sheria zitatuvusha.
Vyombo gani huru vinaweza thibitisha? Hizi ni propaganda za Wajeshi kuhalalisha upuuzi wao.

Msisahau Kuna mabegi ya mabilioni yalikutwa Kwa Marehemu Mwendazake
 
Duh...!!

Hata humu kwetu, kwa huu ukata wa dola...nashauli serkali ibadilishe muundo wa noti ya elf10 na elf5. Zitengenezwe za muundo mpya.Wenye nazo za zamani wazibadilishe ndani ya miezi mitatu tu.

Nakuhakikishia kuna viongozi wataumbuka.

Mtu anajaza hela chumba kizima, wakati mtu huyu anafanyiwa kila kitu, kula, kulala, kuvaa, watoto kusoma..kila kitu anafanyiwa kwenye maisha yake..lakini bado anajaza hela chumba kizima.
Hapo ndio ujue mtu mweusi alivyo.ni tatizo kubwa sana hili.

Na hata hao unaowaona hapo wanajifanya wazalendo kwa kuonesha hizo picha.wakimaliza mwaka kwenye madalaka, ukienda kuwasachi usishangae ukawakuta wana magunia ya noti ndani kuzidi hizo.
Serikali gani? Hii ya mama Abdul? Abdul atakosekana na mabunda kama haya nyumbani?
 
Marais wa Afrika sijui wamerogwa na nani!! Maana tabia na mienendo yao inafanana kwa kila kitu.
Huyo wa Gabon walimchelewesha tu. Hata yeye alikuwa anatamani kuondolewa kwa mbinyo. Kwanza alikuwa hana ushawishi pia alikuwa hana nguvu yaani ile janja janja ya kulishika jeshi kama wenzie ccm,kagema,m7 wafanyavyo
 
Hapa kwetu Tanzania mabegi kama hayo yanapatikana only kwenye Ripoti ya CAG.
Utasikia Kichere akifoka one point five trilioni hazionekani halafu Tulia Ackson anapoza mambo siku zinaenda

Wananchi huduma muhimu hawapati.
 
Back
Top Bottom