Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marais wa Afrika sijui wamerogwa na nani!! Maana tabia na mienendo yao inafanana kwa kila kitu.
Nimeyaona hayo mabegi leo Aljazeera lakini walisema yamepatikana nyumbani kwa Waziri fulani
Inasemekana hata huyo Mwanajeshi aliyejichukulia Madaraka kwa nguvu ni Cousin wa Ally Bongo.Ya Al Jazeera nimeyaona, ila ndiyo hao hao:
Bags of money uncovered at residence of ousted Gabonese President's son's aide
UncomfortableHivi zilizokutwa Chato zilikuwa bei gani ?
ShitholeNgozi nyeusi ina upumbavu wa milele.
Ngozi nyeusi ina laana.
Uafrika ni Laana.
Marehemu. HusitiriwaHata pale makao makuu ya wilaya si zilipatikana? Ziko wapi, hivi huwa wanazipelekaga wapi?
hata ccm tukiwatoa tutakuta matrillion ya hela hivihivi.Hizi ndiyo silika za viongozi wetu.
View attachment 2735766
Hawana uchungu na nchi.
Serikali zao zimesheheni ndugu zao.
Mali zetu wamejimilikisha wao kwa maslahi yao binafsi.
Viongozi hawa hawaaminiki.
Tudai katiba mpya itakayotuwezesha sote kuwajibika.
Katiba zenye kuhakikisha usawa wetu sote mbele ya sheria zitatuvusha.
Kuna siku nipo kwenye sherehe ya kuaga (send-off) binti wa rafiki yangu mmoja,nikaona viongozi fulani wawili wakitunza $ kwa bibi harusi mtarajiwa na maids wake,tena ni mia mia.Hayo mambo ya kizamani sana, siku hizi watu wanaekaga dola tu
Za madafu huwezi kuzikuta hata siku moja, labda zibadilishwe dola
Vyombo gani huru vinaweza thibitisha? Hizi ni propaganda za Wajeshi kuhalalisha upuuzi wao.Hizi ndiyo silika za viongozi wetu.
View attachment 2735766
Hawana uchungu na nchi.
Serikali zao zimesheheni ndugu zao.
Mali zetu wamejimilikisha wao kwa maslahi yao binafsi.
Viongozi hawa hawaaminiki.
Tudai katiba mpya itakayotuwezesha sote kuwajibika.
Katiba zenye kuhakikisha usawa wetu sote mbele ya sheria zitatuvusha.
Serikali gani? Hii ya mama Abdul? Abdul atakosekana na mabunda kama haya nyumbani?Duh...!!
Hata humu kwetu, kwa huu ukata wa dola...nashauli serkali ibadilishe muundo wa noti ya elf10 na elf5. Zitengenezwe za muundo mpya.Wenye nazo za zamani wazibadilishe ndani ya miezi mitatu tu.
Nakuhakikishia kuna viongozi wataumbuka.
Mtu anajaza hela chumba kizima, wakati mtu huyu anafanyiwa kila kitu, kula, kulala, kuvaa, watoto kusoma..kila kitu anafanyiwa kwenye maisha yake..lakini bado anajaza hela chumba kizima.
Hapo ndio ujue mtu mweusi alivyo.ni tatizo kubwa sana hili.
Na hata hao unaowaona hapo wanajifanya wazalendo kwa kuonesha hizo picha.wakimaliza mwaka kwenye madalaka, ukienda kuwasachi usishangae ukawakuta wana magunia ya noti ndani kuzidi hizo.
Unataka kusema na wa kwetu naye tabia zake zinaendana na hao wengine majizi?Marais wa Afrika sijui wamerogwa na nani!! Maana tabia na mienendo yao inafanana kwa kila kitu.
Huyo wa Gabon walimchelewesha tu. Hata yeye alikuwa anatamani kuondolewa kwa mbinyo. Kwanza alikuwa hana ushawishi pia alikuwa hana nguvu yaani ile janja janja ya kulishika jeshi kama wenzie ccm,kagema,m7 wafanyavyoMarais wa Afrika sijui wamerogwa na nani!! Maana tabia na mienendo yao inafanana kwa kila kitu.
Huyo wa Gabon walimchelewesha tu. Hata yeye alikuwa anatamani kuondolewa kwa mbinyo. Kwanza alikuwa hana ushawishi pia alikuwa hana nguvu yaani ile janja janja ya kulishika jeshi kama wenzie ccm,kagema,m7 wafanyavyo
Unataka kusema na wa kwetu naye tabia zake zinaendana na hao wengine majizi?