Mabegi ya Pesa yaliyokutwa Nyumbani kwa Rais Gabon, funzo kwetu

Mabegi ya Pesa yaliyokutwa Nyumbani kwa Rais Gabon, funzo kwetu

Duh...!!

Hata humu kwetu, kwa huu ukata wa dola...nashauli serkali ibadilishe muundo wa noti ya elf10 na elf5. Zitengenezwe za muundo mpya.Wenye nazo za zamani wazibadilishe ndani ya miezi mitatu tu.

Nakuhakikishia kuna viongozi wataumbuka.

Mtu anajaza hela chumba kizima, wakati mtu huyu anafanyiwa kila kitu, kula, kulala, kuvaa, watoto kusoma..kila kitu anafanyiwa kwenye maisha yake..lakini bado anajaza hela chumba kizima.
Hapo ndio ujue mtu mweusi alivyo.ni tatizo kubwa sana hili.

Na hata hao unaowaona hapo wanajifanya wazalendo kwa kuonesha hizo picha.wakimaliza mwaka kwenye madalaka, ukienda kuwasachi usishangae ukawakuta wana magunia ya noti ndani kuzidi hizo
Mtu mweusi Kuna Kitu Alimkosea Muumba
 
Ccm wajifunze huko Gabon wakubali uchaguzi uwe huru ili nchi ipumue sio kupita bila kupingwa
 
Hizi ndiyo silika za viongozi wetu.

View attachment 2735766

Hawana uchungu na nchi.

Serikali zao zimesheheni ndugu zao.

Mali zetu wamejimilikisha wao kwa maslahi yao binafsi.

Viongozi hawa hawaaminiki.

Tudai katiba mpya itakayotuwezesha sote kuwajibika.

Katiba zenye kuhakikisha usawa wetu sote mbele ya sheria zitatuvusha.
Bila ya kuwa na mabegi ya pesa nyumbani wanawezaje kusema rais ametoabilioni moja kwa ujenzi wa kabomba ka maji kijijini Msoga.
 
Back
Top Bottom