Mabraza wenye miaka 40+, mkiendelea kuwahubiri vijana wa 20+ na 30+ kupuuzia mambo haya kuhusu wanawake then they will be no hope for the future

Mabraza wenye miaka 40+, mkiendelea kuwahubiri vijana wa 20+ na 30+ kupuuzia mambo haya kuhusu wanawake then they will be no hope for the future

Mkuu hela nampa sana hizi elfu sabasaba ten ten kibao lakini wapi, ikafika mahala akaniambia nisimpe hela kiasi hicho niwe nasubili akiniomba maana yeye aamini katika pesa bali anaamini katika upendo wa kweli na mpaka sasa anaomba pesa kidogo sana[emoji848] tena mara moja moja

Alishaumizwa sana kwenye mapenzi nazani ndio mana anakua mzito kuufungua moyo wake kwangu japo naona mabadiliko tofauti na tulivyo anza kwakweli ananikibali sana sijui tatizo ni nini[emoji3064]
Ndio maana nasema usitafute ushauri, it seems like una majibu yote

Lakini kama ni demu wa kumpa 10? Utagongewa hadi na bodaboda

Inawezaka humvutii,
 
Mwanamke akikufanyia Jambo lolote linalo kuvunjia heshima yako kama mwanaume basi achana nae hapo hapo. " Wapenzi kugombana ni kawaida waachie mabwege"
Hapana
 
I agree with you....[emoji115][emoji109]
 
Ndio mkuu ujakosea ulosema ndio hali niliyonayo sasa
Yani nina mchumba yupo chuo ndio anamaliza mwezi huu tangu nianze nae mahusiano kila nikimuomba sex anadai amebanana mpaka amalize chuo na shida zake namsaidia tu
Na kila mara ananiambia niwe mvumilivu eti akimaliza chuo nitafutahi Dah[emoji3064] japo nampenda naishia kupewa denda tu, naona kama atanizingua hila nimepanga akizingua atakutana na matokeo ya kibabe[emoji123] awezi sahau maishani mwake maana hela niliyo tumia kumgalamia ni ndefu sana.
Huyo mdada inaonekana anaamini anachoweza kuoffer kwako chenye thamani ni sex tu. Sasa anaweza kuendelea kukupelekesha hata baada ya hapo. Wanasumbuaga sana hawa I just hope sio mtu ambae umemweka moyoni sana kwa sababu naona umevumilia kutreatiwa hivi kwa muda sana
 
Huyo mdada inaonekana anaamini anachoweza kuoffer kwako chenye thamani ni sex tu. Sasa anaweza kuendelea kukupelekesha hata baada ya hapo. Wanasumbuaga sana hawa I just hope sio mtu ambae umemweka moyoni sana kwa sababu naona umevumilia kutreatiwa hivi kwa muda sana
Moyoni kweli hayupo mkuu japo nampendaga mwenyewe nakomaa tu nile tunda nipite hivi maana sijalizika kumuacha hivyo hivyo.
 
Nawasalimia.

Maana huu uzi naufungua nasoma mstari mmoja ahalafu nasepa

Sijui hata kwa nini
 
Mapenzi yanasumbua wengi ila mimi nangoja amalize chuo mwezi huu afanye nimle kama alivyo sema, akialibu ntampa matokeo ya kibingwa mimi tena[emoji16][emoji16] hata sahau mpaka kufa
According to BONGOS CURRICULUM hakuna watu wanahitimu vyuo mwezi wa tatu .
Iwe university au college .

I THINK UMEDANGANYWA HATA MDA AMBAO ATAHITIMU CHUO .
n.b STUKA MY NIGGAH.

NARUDIA: ACCORDING TO TANZANIA EDUCATION CURRICULUM OR SYSTEM OF ED: HAKUNA WATU WANAMALIZA CHUO MWEZI HUU .

sawa mwanangu?
Umenielewa?
Acha mambo Yako bhana.
 
Back
Top Bottom