CORE PHARMACY...mtaa ni lindi street nadhani maana sikumbuki vizuri najua jinsi ya kufika zaidi.Chimbo la dawa muhimu za binadamu kwa kariakooo linapatikana wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CORE PHARMACY...mtaa ni lindi street nadhani maana sikumbuki vizuri najua jinsi ya kufika zaidi.Chimbo la dawa muhimu za binadamu kwa kariakooo linapatikana wapi?
Ukiona hivyo ujue huna cha maana unachofanya, ni ujanja ujanja tu na utakuwa huna muda mrefu kwenye hyo biasharaMi nayajua Machimbo ya kila bidhaa kariakoo..lkn siezi toa Code humu maana huenda nina wateja wangu humuhumu ninaowauzia..huyu mwamba aliyetoa mchongo humu inawezekana hana biashara.maana huwezi kumwaga mchongo wa kazi kiboya namna hii.
SafiPia ukihitaji majeneza ya bei chee na ya kisasa kabisa nicheki fasta utaletewa ulipo (kwa wakazi wa Dodoma, Morogoro na Dar)
Zinapatikana kwenye mataa pale upande wa kuelekea karumeHabari za humu naombeni machimbo ya accessories za simu qa ajili ya biashara
Yapo mengi tu Mimi ndio biashara yangu naifanya.Samahani na chimbo mashuka ya spesho napata wap jumla kwa Dar
Mkuu vipi hujapata hili chimbo bado? na mimi nahitajiChimbo la chupi za wananwake na zile tyt wanaziita leggings
Bado sijapata bwana...ukipata nitonye mzeya tukachukie vifuniko vya asaliMkuu vipi hujapata hili chimbo bado? na mimi nahitaji
Bado sijapata bwana...ukipata nitonye mzeya tukachukie vifuniko vya asali
Nipo huku kaliua mzeyaHaina noma mkuu...kwani upo wapi kwa sasa? kama upo dar ukiingia kkoo ni rahisi kupata Raman
Kama unapajuwa kariakoo pembeni ya Dk Hameer viti hivi vipo kibao ukipanda magari unateremkia Fire ndo location ilipo.Nielekeze na mimi pakupata kiti kama ivhi kwa bei poa namba 0757978499
Mimi naomba kujua tu yafuatayo je ni chimbo Gani wanauza t-shirt za Form 6 zile ambazo machinga wanauza Elfu 7? Pia naomba kujua kariakoo shimoni ni wapi na ni chimbo Gani wanauza zile sendles za kimasai Kwa jumla pamoja na sabuni za kuogea.
Chimbo la chupi za wananwake na zile tyt wanaziita leggings
Okay...sio wanachukua chupi kikombaaa hawa au pale pale karibu na odeon....wenyewe wanasema kifuniko cha asalinguo za ndani wengi wanachukua nairobi...wanasafiri wanaleta mzigo wanasupply kwa watu...sasa hapo sijui nkusaidiejee..0744302922 nipigie ntakuunganjsha na mtu anauza chupi kkoo atakupa connection ya nairobi
Samahani na chimbo mashuka ya spesho napata wap jumla kwa Dar
Okay...sio wanachukua chupi kikombaaa hawa au pale pale karibu na odeon....wenyewe wanasema kifuniko cha asali
Asante kwa uzi mzuri, na kwa rim papers bei rahisi napata wapi kkoo hapo. Tunaruhusiwa ku share kwa anaejua please.
Hayo maduka yapo karibia na maeneo ganitshirts ni posta kwa wahindi wanazo nyingi sana na kofia na wanabei nzuri sana ...watu wa kkoo wa kuprint naona wanazifata huko mtaa siujii kwa jina ila nayajua maduka