Mtaa WA agrey kanisani pale vuka njia ya Kwanza ya pili wanauza jumla na rejareja jina la mtaa ndo nimelisahauWapi naweza kupata viatu vya bei rahisi.au kupata namba ya mhusika… AhsanteView attachment 2364845
SubscribeHuu uzi usipotee nifanyeje?
Ndizi nenda mahakama ya ndizi mabiboChimbo la bidhaa za sokoni mfano ndizi mzuzu,samaki kitoga kambare n.k km kunamtu anaye jua please
Msimbazi Kwa nyumaNaomba kujua machimbo ya vitambaa vya vijora yapo sehem gan k, koo
Agrey na uhuruHabari za humu naombeni machimbo ya accessories za simu qa ajili ya biashara
Kipata na nyamwezi streetChimbo la dawa muhimu za binadamu kwa kariakooo linapatikana wapi?
Mtaa wa livingstone kuna Duka Linaitwa Bahdela bei poa vyote utapataNa machimbo ya( PPE's),
Yaani vitu hivi yako wapi kwa hapo kariakoo mkuu....??
gloves,
helmet,
Overall
Ear plug
Dust mask
Safety glass,
Safety boots
Cutting disc
Drill machine
Welding shield,
Angle grinders
Air compressors
safety harness belt,
Vifaa vya usalama na kazi mahala pa kazi kama Workshops na Mining areas vinauzwa wapi kwa hapo kariakoo mkuu???
Unaweza kuwa na address zao kama namba za simu na emails mkuu, maana mi nipo mkoaniMtaa wa livingstone kuna Duka Linaitwa Bahdela bei poa vyote utapata
Hayo maduka yapo karibia na maeneo gani
nitakupatia jtatu nawafahamu ila contacts zao ndio sinaUnaweza kuwa na address zao kama namba za simu na emails mkuu, maana mi nipo mkoani
Bahdela company branch india streetnitakupatia jtatu nawafahamu ila contacts zao ndio sina
Mtaa WA agrey kanisani pale vuka njia ya Kwanza ya pili wanauza jumla na rejareja jina la mtaa ndo nimelisahau
Hayo maduka yapo karibia na maeneo gani
Mambo vipi mkuu, kuna duka la wahindi nalifahamu lipo posta Dar, nilishawahi kununua hapo T-shirts za cotton ambazo ni nzito. Wanauza Tshirt kwa jumla. Tshirt za round collar, sh 6000 kuanzia 10, ukichukua 100 bei 5500. Pia wanauza za form 6 ila bei yake sikumbuki. Kuna bidhaa zingine wanauza. Ninaweza kukupeleka. Kwa maelekezo zaidi nitumie msg PM.Hayo maduka yapo karibia na maeneo gani
Kaka zile feki ama zimekaa Sana madukani (ubora umeisha ama umepungua)..japo unaweza bahatika ukapata kitu quality!!Kuna wahuni wengi Sana Sasa hivi wanafyetua bidhaa majumbani mwao na kufanya packaging ukiletewa sokoni huchomokiAhsante Sana mkuu ila hizo tshert ukiingia ndani kule unakuta wengine wanaziuza Elfu 10 Kwa jumla sasa sijajua kama Zina tofauti na hizo wanazouza Elfu 7000 machinga na pia naomba kuelekezwa machinga complex IPo mtaa Gani na pia penye maduka ya vipodozi mfano dettol ya kuogea ya mtoto unakuta inauzwa 18000 Kwa dazen lakini ukija barabani huku unakuta wamepanga chini wanauza jero jero nazo sijajua pia kama ni feli au la ila zinafanana vile vile.