haya mahoteli ya kitalii yaliyopo CHATO yanayojaza watalii ni ya nini?Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara. Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
As soon as option ya kusafiri kwa ndege inakuwepo, wengi waliokuwa wanalazimika kupanda bus kwenda Kahama na maeneo jirani wanaweza kushawishika kuruka na pipa mpaka Chato then wasafiri na barabaraUngeniambia Kahama ningekuelewa kidogo
Na sehemu iliyochangamka ni Restaurant iliyopo karibu na makazi ya mzee hata ukienda kunywa hapo unakunywa ukichunga mdomo na akili maana vinaweza kukuponza ukianza kuizungumzia keki ya nchiKwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara. Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
Logic yao ni kuwa mbona abiria wa kawaida wanapanda hizo ndege kutokea chato na sio namba moja pekee!Kuna biashara gani Shatto?
Hapa kila mtalii anaye taka kwenda Ngorongoro, Serengeti au Zanzibar anapewa offer offer offer kutua Chato Airport na kutalii Burigi-Chato national park, kabla ya kuelekea huko anakotarajia kwenda. Hii package itasaidia kutangaza North West tourism circuit na uwanja wa Chato.Kama Mabus yameshindwa kupata abiria CHATO itakuaje Kwenye ndege?
Hata Kama ni mmoja lzm itue mji pendwaKama abiria wapo hakuna shida ziende
Najua anao watu wengi wanaojikomba kwake wanamjua ni mpenda sifa so hili linawezekanaInashauriwa pia ujengwe ukumbi wa kisasa wa mikutano pale Ili mikutano yote iwe ikifanyika pale kusudi ndege zisikose abiria
waache wapumbavu wafurahi,biashara ya ndege kwa nchi maskini ni hasaraKwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara.
Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
Akili yako ni ya kujua hiki choo, huu msosi, huyu samaki, huyu nyoka.Chadema wavimbe na kupasuka
Airport ya bukoba nayo iko maili 500?Mie napajua Chato, wewe hupajui, jaribu kuwa mkweli. The nearest aiport ni Lubumbashi maili 200 au Mwanza maili 300. Hapo katikati kuna watu zaidi ya milioni 4, wakulima na wafugaji, Watanzania kama wewe. Linganisha na safari fusion tu ya Moshi hadi Arusha maili 60 tu lakini kuna international airports 4 (KIA, Arusha, Kahe, Embakasi). Na idadi ya raia ni milioni 2 tu.
Ukitoa data za lami, shule, umeme, hospitali, maji na tigopesa, utakuta shida ni hiyo hiyo: eneo kubwa, watu wengi, utajiri mkubwa, lilisahauliwa. Ni eneo kubwa kuliko Belgium. Uchumi wake dhahabu, hadi mabeberu wanampa tundulissu nishani awatetee wazidi kutuibia makanikia.
Eti wakose abiria 10. Na hawo watalii wa Burigi Chato national Park wataenda na ungo? Akutukanaye?
Huko burigi kuna nini ambacho hupati serengeti?Hapa kila mtalii anaye taka kwenda Ngorongoro, Serengeti au Zanzibar anapewa offer offer offer kutua Chato Airport na kutalii Burigi-Chato national park, kabla ya kuelekea huko anakotarajia kwenda. Hii package itasaidia kutangaza North West tourism circuit na uwanja wa Chato.
Chato Airport ipo na itakuwepo milele ya uhai wako! Tujifunza na kuikubali ili tuishi nayo. Badala ya kuiponda na kuchukia kitu ambacho huwezi kibadilisha, changia mawazo jinsi ya kuuboresha ili faida ipatikane ufaidike.
Akili yako ni ya kujua hiki choo, huu msosi, huyu samaki, huyu nyoka.
Basi
Zimebaki nafasi mbili za ubunge mzee keep it upHii ni habari njema sana, route ikianza, abiria watapatikana, kitu muhimu ni kuutangaza utalii wa Chato. I was very right being optimistic kuhusu ujenzi wa uwanja huu.
Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!
Wanabodi, Tangu kupatikana kwa taarifa ya kutelekezwa kujengwa kwa uwanja wa ndege wa Bukoba, eneo la Omukajunguti na badala yake sasa uwanja huo unajengwa Chato, kumetokea pingamizi kadhaa kupinga kujengwa kwa uwanja huo Chato kwa kutumia costs benefits index, hivyo mimi naunga mkono ujenzi...www.jamiiforums.com
P
Watu wa Geita na Biharamulo unawapeleka wapi?Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara.
Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
Hah hah hah. Wanaforce kupeleka ndege huko baada ya vijembe vya Tundu Lissu kwa uwanaja ule anautumia yeye na mama yake tu. Sasa wanataka kum-prove wrong TL. Big gamble!Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara.
Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
Okey na akishatoka madarakani na uwanja unakuwa uselessLogic yao ni kuwa mbona abiria wa kawaida wanapanda hizo ndege kutokea chato na sio namba moja pekee!
Yaani itatengenezwa cinema ambayo itaonesha umuhimu wa kibiashara wa uwanja ule na kwamba hela ya Umma haijapotea kujenga huo uwanja.
Hawa Lumumba buku 7 akili yao ni fupi sana , ni kwaajili ya kuvalia nguo, kula , kuoga na kutambua kitanda usiku full stop
Kupeleka watalii? Au zitakuwa empty flights? Tundu Lissu kaleta balaa!!View attachment 1646383
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kuhusiana na ruti mpya ya ndege za ATCL , kwamba baada ya ukaguzi wa Uwanja huo na kuonekana uko sawa ndege hizo zitaanza kupeleka abiria na kuwachukua kutokea Chato.
Hayo yamebainishwa na ofisa wa shirika hilo Mh Kavishe.