Maeneo yenye baridi la kufa mtu Tanzania

Makambo ni Njombe,ongezea mkoa wa Songwe na Rukwa
 
Arusha huwezi ishindanisha na Mbeya. MBEYA weka Kundi moja na IRINGA. Hao ndo wanaelewana. Kule tukuyu kuna mwaka ilikuwa inaanguka snow. Mi nliwahi enda Mbeya mwaka flani kuamka asubuhi mimea imekauka kwa baridi... Acheni kabisa kuifananisha na Arusha. Mbeya yake Iringa.
 
Uko sahihi hata Kyela kuna joto Tukuyu baridi
 
Umasikini nao ni shida tu kuna Heater ya kutumia maji ya moto inayotumia Methane inayotokana na kinyesi cha Ng'ombe.

Ulanzi haushindi Mbege kwenye kutoa Baridi.
 
Uko sahihi hata Kyela kuna joto Tukuyu baridi
Yaaa mkuu nimeaa huko Ludewa,njombe , iringa hadi mbeya. Mfano ukitoka pale Mlangali ukiwa unaenda Manda utaona kama joto linaongezeka na mazao yanayo limwa pwani yanakubali na huko mfano mihogo mpunga mikorosho, na minazi na miembe. Wakati mwembe au mnazi utadumaa kwa njombe au Makambako.

Kipimo chepesi cha kujua kiwango cha joto we tazama mazao na miti yanayopatikana hapo.
 
We jamaa huijui baridi ya sgd aisee nenda sehemu moja inaitwa mitundu itigi utajua upo ndani ya friji
 
Inasemekana makambako ukiingia baa kila meza inakuwa na jiko la mkaa kwa chini yake likiwa na moto
 
Nilisoma Magamba secondary Lushoto baridi la kule ni hatari zaidi la Mbeya
 
Najiuliza hiyo baridi ya Arusha mbona huwa siihisi ! au ngozi yangu ina kasoro
 
Fuatilia vizuri wazungu wanapenda kuishi wapi. Dar ES Salaam joto kali sana mzungu hawezi kuishi hapo. Kama anaishi ni kwa sababu tu ya kazi. Wazungu wanapenda kuishi sehemu zenye baridi
Ungetoa mfano kama arusha na moshi.

Ndio mana hata misheni zao walizipeleka sana maeneo ya baridi..mana wanapenda ubaridi baridi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sehemu zenye bardi ni
1.Njombe hasa makete
2.Ruvuma hasa mbinga
3. Mufindi iringa
4.Mbeya
5. Rukwa eg Sumbawanga
6. Arusha & na baadhi ya maeneo ya Kilimanjaro eg Rombo, Sanya juu
7. Rushoto
Rushoto ndo wapi
 
Tatizo Njombe Ukimwi ndio nyumbani kwake,ngono kila sekunde.
Wacha wajidabulie mbususu na migegegdo kama kufa kupo tuu.
Sii tunasema kifo chetu kilishandikwa basi shida ya nini wao walishandikiwa kufa kwa ngoma so wacha waenjoy tunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…