Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Hivi utawezaje kuwasikiliza kina lissu walioamua kumpokea fisadi na kuanza kumsafisha kwa kumsugua na jiwe ili awe msafi?
Mbona hado yupo iraiani,kama nifisadi angepaswa kuwepo katika mahaka yakifisadi
 
Saa nyingine kwenye hilo lori kuna abiria wanaojua kuendesha vizuri zaidi so huyo dereva akubali kuelekezwa. Sio macho yote mbele mda nwingine ni vigumu kuona mashimo
Kitendo cha kutaja tuu lorry limebeba abiria tayari ni shida .maana hakunaga raha wala furaha kwa abiria Wa lorry
 
Hivi utawezaje kuwasikiliza kina lissu walioamua kumpokea fisadi na kuanza kumsafisha kwa kumsugua na jiwe ili awe msafi?
Bora huyo fisadi anashaurika kubadilika ni rahisi sio huyo malaika mweusi wenu asiesikia la mtu
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
 
Anachoweza Ni Kukamata Wapinzani,kufukuza Na Kuteua Sifa Za Kiongozi Hana Yeye Ana Sifa Za Kutawala.
 
Katika pita pita zangu, nakutana na watu mbalimbali wenye mitazamo tofauti kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.

Wengine wamekuwa wakisema serikali hii imefanya mambo mengi mazuri ambayo serikali zilizopita zilishindwa kuyafanya.

Wakati kuna kundi lingine linadai serikali hii haijafanya chochote cha maana zaidi ya kuharibu mambo maZuri yaliyofanywa na serikali zilizopita.

Sasa basi naomba nichukue nafasi hii, kuwaomba wale wote wanaosema serikali hii ni ya kipekee kwa kufanya mambo makubwa ambayo yalishindikana kwa serikali zilizopita watuorodheshee mazuri hayo.
Ili wale ambao hawana imani nayo, waanze kubadilisha mitazamo yao.

Karibuni sana.

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom