Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hii chato mbona kwenye tv inaonekana kama bado bushi tu au kuna eneo maalum lilikua linaendelezwa?Transformation of Chato
Hii miradi mingine ilimalizwa haraka ili iwe promotion ya mitano ya nyongeza. Alishajiona anaweza kupata miaka 10 mingine ya nyongeza.Tatizo la Magu,alidhani atakuwa Rais wa Tanzania milele.miradi mingi utadhani aliambiwa hawatakuja watu wengine kufanya.haya mambo ni kupokezana vijiti unajikuna unapoweza unaachia wengine nao wataendeleza hakujifunza kuwa alianza kuyafanya nyerere na hakuweza kumaliza.
Sasa kusingekua na intervention yeyote ninadhani baada ya kuaga mwili Dar safari ya Chato ingeanza ili mazishi yaweze kufanyika leo.Hivi hii chato mbona kwenye tv inaonekana kama bushi bado au kuna eneo maalum lilikua linaendelezwa?
Kufufua reli ya kutoka Dar es salaam-Tanga-Kilimanjaro-Arusha1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamisha tuutaje
Mikoani huko vimejengwa vituo vingi tu vya mabasi...Kituo cha mabasi Mbezi..
Kuhamia Dodoma.
HaijakamilikaSGR Dsm to Moro.
Kuhama Dodoma bado inategemea wamaomfuata Kama wataendeleza, wakizembea tu kidogo Wana wanarudi Dsm..
Vyote amejenga?Mikoani huko vimejengwa vituo vingi tu vya mabasi...
Mkuu ukipewa nafasi fanya kwa sehemu yako bila kufikiria kuwa Kuna mwingine atakuja. Otherwise wewe una itilafu kichwani Kuna fyuzi imelegea.Tatizo la Magu,alidhani atakuwa Rais wa Tanzania milele.miradi mingi utadhani aliambiwa hawatakuja watu wengine kufanya.haya mambo ni kupokezana vijiti unajikuna unapoweza unaachia wengine nao wataendeleza hakujifunza kuwa alianza kuyafanya nyerere na hakuweza kumaliza.
Namba 2 hapo hakuuanza yeye. JK alishauanza na ulikuwa almost done.1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamisha tuutaje
Hii ununuzi wa ndege ulipaswa uwe transparent, CAG atuwekee hesabu na hata wanauchumi waweze kuzipata katika tafiti zao.Tazara flyover siyo mradi wa awamu ya tano ulikuwa wa awamu ya nne kwa hiyo uundolewe
Jambo jingine ni elimu bure
Malipo kwa control no
Ununuzi wa ndege mpya
Hii ndiyo Tanzania Bwana.Katika kusoma wasifu wake sikuona sehemu yoyote ile Kabudi akitaja ujenzi wa Tanzania ya viwanda, sambamba na kuanzishwa kwa viwanda vipya zaidi ya 3,000 vilivyotapakaa nchi nzima.
Mradi kabla ya kufikia level ya detailed project design , bado upo katika barua ya uchumba (kutongoza), fly over ya Tazara imejengwa na Magufuli.Tazara flyover siyo mradi wa awamu ya tano ulikuwa wa awamu ya nne kwa hiyo uundolewe
Jambo jingine ni elimu bure
Malipo kwa control no
Ununuzi wa ndege mpya