Hee, kwani uliambiwa hii ni mara yake ya kwanza kuja? Unanchekesha!
Sasa hivi watu wapo kiuwekezaji zaidi, umelala wewe.
Mtakufa navyo vijiba vya roho, nojeni muone ma star wengine wa Hollywood wanavyomiminika June / July.Kibibi kiongoooo!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Aaah wewe habari umeisoma na imekuingia, kuna taarifa ya kutunga kitabu hapa hata nikuweke unavyotaka wewe?Wewe ukiamka inatosha...sio lazima wote tuamke.
Mkuu umeleta uzi uka ambatanisha na source,, katika ufikishaji wa taarifa ukiwa source tunaimani kuwa ni source inayo support taarifa yako.
Ungeweka picha ya Will Smith tusingefika huku...
Jambo gani ni gumu kulielewa hapo ndugu yangu....??
Tuwasamehe nyinyi ambao mnaungua roho.Msamehemi mleta mada jamani! Mahaba ya udini ndio yanamfanya awe hivi
Kwanini uwe muongo lakini we kibibi?Mtakufa navyo vijiba vya roho, nojeni muone ma star wengine wa Hollywood wanavyomiminika June / July.
Mi private jet tu itajazana. Tujiandae kuwapokea tu, Royal Tour imezalisha mi fursa kedekede.
Mtakufa navyo vijiba vya roho. Mbowe si unajuwa ni mdau wa Utalii, kaenda Ikulu kuziwahi fursa, nyie payukeni tu, humu ungefanya hivi ungefanya vile.
Huko shule ulisomea ujinga? Unafikiri wote maboya, wadanganye huko madrasa hii picha ya zamani kabla ya royal tour.Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Msameheni kasomea ujinga huyo.Inauma sana watu unaowamini wanapoanza kupotosha umma. Hii kitu ya 2019 afu leo unaanza kuifanyia promo?
View attachment 2218887
angenyamaza angeficha ujinga wake, will smith ameshakuja mara nyingi sana.We mujahidina unajua ni mara ngapi anakuja serengeti hata kabla ya royal tour. Acha ujinga kama huna mume sema usaidiwe
Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Opportunistic wala sio dini !!Mdini huyo binadamu sijapata kuona!
Huyu bibi Leo kaingia chaka Sasa kajitoa ufahamu kaamua kukomalia udini.Wewe kweli ulisomea ujinga...
Hio link uliyoweka hapo ni taarifa ya Ujio wa Will smith 09-03-2017
Sijajua Lengo lako la kupotosha ni nini haswa..
View attachment 2218910
We mjinga Will Smith ameishaitembelea Serengeti toka mwaka majuzi, kabla ya corona. Acha kupotosha watuWill Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Itamrahisishia Mkuu kujua wapo wengi huku wanajaribu kumdanganya kwa masilahi yao !! Opportunistics !!Kama hujui tulia uelimishwe Will alishakuja hapa Serengeti miaka mitatu nyuma wala safari zake hazihusiani na hii royal tour na wala hukuona mtu/chawa anazungumzia ujio wake lakini kwa kuwa sasa chawa wanashindana kuwahi nafasi wanaleta hata taarifa za miaka mitatu nyuma na kuwaaminisha watz ni kutokana na royal tour!!
Serikali imeomba mkopo wa billion 100 toka benki ya dunia kunusuru bei ya mafuta. Hayo pia ni mafanikio acha hizi habari ziwachome wasiotaka habari za mafanikio.Mtakufa navyo vijiba vya roho. Wachawwi mnajulikana, habari za mafanikio huwa zinawachoma moto.