Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) yaagiza Israel kukomesha mara moja ushambuliaji wa kijeshi huko Rafah

Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) yaagiza Israel kukomesha mara moja ushambuliaji wa kijeshi huko Rafah

Hata hiyo mahakama haiijui Israel.

Watafute tu suluhu kwa mazungumzo.

Netanyahu haendi
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Umeandika kwa chuki, hukumu na amri imetolewa na mahakama, mhalifu akitekeleza au hatekelezi sio kazi ya mleta habari.

Mimi nakushangaa wewe unaejiita Mtamzania, unaona raha watoto na wanawake qanavyouliwa kwa kudhulumiwa huko Ghaza?
We mama una tatizo la akili,
Hao wanatafutana na kuuana Na hao allahu akibaru wenzio.
Wakienda kujificha na watoto na wanawake watafuatwa na haijalishi Hamas au mtoto au mamaake anakufa.
Swali ni kwanini walienda kuua na kuteka kule Israel.?
Majibu ndo hayo.
Kuna binti wamemkamata wakambaka, wakamtesa mpk kajinyea.
Walahi nilitamani niwe malaika nikawatwange risasi za viuno wote wale makobazi.
Unajiita commando umevaa Adidas za kichina.
Kuna watoto hao wa kutoka hukohuko juzi tu wameua mtu mbele ya mwanae kipuuzi tu.
Kuna mzee alikua na safari yake kwenda dinner kapigwa risasi kisa hao alahu akibaru.
Siku mtu tunakunywa gather katoka tu akavute fegi kala shaba.
Nyie ni mashetani, hamtakiwa kukaa na watu waliostaarabika
 
We mama una tatizo la akili,
Hao wanatafutana na kuuana Na hao allahu akibaru wenzio.
Wakienda kujificha na watoto na wanawake watafuatwa na haijalishi Hamas au mtoto au mamaake anakufa.
Swali ni kwanini walienda kuua na kuteka kule Israel.?
Majibu ndo hayo.
Kuna binti wamemkamata wakambaka, wakamtesa mpk kajinyea.
Walahi nilitamani niwe malaika nikawatwange risasi za viuno wote wale makobazi.
Unajiita commando umevaa Adidas za kichina.
Kuna watoto hao wa kutoka hukohuko juzi tu wameua mtu mbele ya mwanae kipuuzi tu.
Kuna mzee alikua na safari yake kwenda dinner kapigwa risasi kisa hao alahu akibaru.
Siku mtu tunakunywa gather katoka tu akavute fegi kala shaba.
Nyie ni mashetani, hamtakiwa kukaa na watu waliostaarabika
Hiyo unayosema "israel" ni ardhi ya Wapalestina, waliokuja ni hao mazayuni, mpaka wataitema tu kama walivyoitema Afrika Kusini.

Mashoga hao wa kizayuni hawawezi kupigana kiume uso kwa uso ndiyo maana wanategemea ndege na makomboira ya mabasha zao ya kutuma kwa mbali.

Licha ya kusaidiwa na mabwana zao wamarekani na NATo yote,tazama mazayuni wanavyopelekewa moto w uso kwa uso wakiingia kichwa kichwa:

 
Hiyo unayosema "israel" ni ardhi ya Wapalestina, waliokuja ni hao mazayuni, mpaka wataitema tu kama walivyoitema Afrika Kusini.
Unajua hata unachoongea?
Afrika kusini wako waholland siku zote na hawajaondoka wako mpaka leo.
Waondoke kwenda wapi wamezaliwa vizazi na vizazi palepale, wanaishi maisha ya kawaida tu na wenyeji.
Israel hana interest yoyote SA.
Hao wanabondabonda huko Gaza ,Rafah,Palestina wote karibia sio wakazi wa Israel.
Ila ni wanajeshi wa Israel wako huko Ughaibuni.
Walirudi wote kupigania nchi yao.
Kapike vitumbua sasa tunywe chai
 
Unajua hata unachoongea?
Afrika kusini wako waholland siku zote na hawajaondoka wako mpaka leo.
Waondoke kwenda wapi wamezaliwa vizazi na vizazi palepale, wanaishi maisha ya kawaida tu na wenyeji.
Israel hana interest yoyote SA.
Hao wanabondabonda huko Gaza ,Rafah,Palestina wote karibia sio wakazi wa Israel.
Ila ni wanajeshi wa Israel wako huko Ughaibuni.
Walirudi wote kupigania nchi yao.
Kapike vitumbua sasa tunywe chai
Huko AK hawajaondoka wote, wengi sana walioondoka na wengine wakahamia mpaka Tanzania, kama huelewi, na ndiyowalioshika kilimo cha Tumbaku huko Tabora.lakini wanaishi chini ya utawala wa nani?

Wapalestina hawana tofauti na Afrika Kusini, wanachotaka ni wajitawale wenyewe, mazayuni warudi walikotoka, wala hawana makuu, hakuna zayuni ataishi kwa amani kama kuna Mpalestina hata mmoja ataebaki hai.

Huelewi kuwa kupigania ardhi yao ni kuwa mashaheed, unajuwa maana ya shaheed?

Kumbuka hilo.
 
hakuna zayuni ataishi kwa amani kama kuna Mpalestina hata mmoja ataebaki hai.

Huelewi kuwa kupigania ardhi yao ni kuwa mashaheed, unajuwa maana ya shaheed?
Mi nimjue shaheed wa nini mnasema mtaua zayuni wote huko wako hapo Palestine wanawamalizia.
Kafanye kazi nyingine nilishakwambia,kukaa kwako Cnd sio kujua kila kitu.
 
Hapo ni sawa na kumpigia gita Mbuzi! Sidhani kama Israel itasikiliza hilo.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Umeandika kwa chuki, hukumu na amri imetolewa na mahakama, mhalifu akitekeleza au hatekelezi sio kazi ya mleta habari.

Mimi nakushangaa wewe unaejiita Mtamzania, unaona raha watoto na wanawake qanavyouliwa kwa kudhulumiwa huko Ghaza?
Joshua Mollel mbona ulifurahia Hamas walipomuua na video ipo humu jf na comment zako za kitaqiyya mnazohimizwa na Allah
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Mtu akuingilie nyunbani kwako, apatakenkwa nguvu, auwe wanao, wagonjwa wako, wazee wako, wanawake zako, halafu wewe unaewapigania kudhulumiwa ndio uwe gaidi?
Allah amesema Israel ni ardhi ya Watu wa Nabii Mussa wasiachie ardhi na waipiganie hadi Kiama.. wewe kakae upande wa iblis anae Sumbua Yahudi wasaidizi wa Allah... so pingana tu na Allah kama husomi Quran wewe ni Kafir
 
Hi mahakama ni tools inatumiwa na Europe pamoja na America tu , wameingilia hi sababu wameona Israel anapokea kipigo pale Rafah.

Breaking news ya leo ni hi hapa

Habari za kushtua kwa Tel Aviv:

Leo limefanyika shambulio kubwa zaidi vifaru vya special force ya Israel na askari wake katika eneo la Rafah. Ripoti za mwanzo zinasema dadi kubwa ya vifaru, na askari walio kufa na kujehuriwa pamojo na magari ya kivita yamepigwa pia.
 
Huko AK hawajaondoka wote, wengi sana walioondoka na wengine wakahamia mpaka Tanzania, kama huelewi, na ndiyowalioshika kilimo cha Tumbaku huko Tabora.lakini wanaishi chini ya utawala wa nani?

Wapalestina hawana tofauti na Afrika Kusini, wanachotaka ni wajitawale wenyewe, mazayuni warudi walikotoka, wala hawana makuu, hakuna zayuni ataishi kwa amani kama kuna Mpalestina hata mmoja ataebaki hai.

Huelewi kuwa kupigania ardhi yao ni kuwa mashaheed, unajuwa maana ya shaheed?

Kumbuka hilo.
Acha kuchanganya vitu Bibi upiganiaji wa haki kati ya South Africa na Hamas (Palestine) ni vitu viwili tofauti

Mandela baada ya kutoka gerezani na South Africa kua huru hakufukuza wazungu aliwaacha waendelee kujenga nchi kwa pamoja baada ya kuona wazungu wapo vizuri zaidi kwenye sekta zote za uchumu ila wa Afrika walijikita kwenye uongozi na maamuzi ambao Ndio kundi kubwa katika nchi

Wazungu na wa Afrika wanaishi vizuri kwa kushirikiana sana mtu mweusi Raia wa SA yupo tayali kumuua mtu mweusi mwenzake alie toka Nigeria Kenya Tanzania ila akamuacha msouth Afrika mweupe

Shida kubwa ambayo ipo kati ya hizi nchi ni siku zote ni DINI
Hamna kitu kibaya hapa duniani kimeua watu wengi zaidi kama Dini

kama Raia wa Israel wangekua ni Islam basi hii vita wala isingekuwepo from beginning
 
Acha kuchanganya vitu Bibi upiganiaji wa haki kati ya South Africa na Hamas (Palestine) ni vitu viwili tofauti

Mandela baada ya kutoka gerezani na South Africa kua huru hakufukuza wazungu aliwaacha waendelee kujenga nchi kwa pamoja baada ya kuona wazungu wapo vizuri zaidi kwenye sekta zote za uchumu ila wa Afrika walijikita kwenye uongozi na maamuzi ambao Ndio kundi kubwa katika nchi

Wazungu na wa Afrika wanaishi vizuri kwa kushirikiana sana mtu mweusi Raia wa SA yupo tayali kumuua mtu mweusi mwenzake alie toka Nigeria Kenya Tanzania ila akamuacha msouth Afrika mweupe

Shida kubwa ambayo ipo kati ya hizi nchi ni siku zote ni DINI
Hamna kitu kibaya hapa duniani kimeua watu wengi zaidi kama Dini

kama Raia wa Israel wangekua ni Islam basi hii vita wala isingekuwepo from beginning
Jiulize kwanini South Africa wamekuwa nstari wa mbele kuwapigania Wapalestina? Kuanzia chama tawala mpaka wapinzani huko SA wanaipigania Palestina.

Au hulielewi hilo?
 
Hi mahakama ni tools inatumiwa na Europe pamoja na America tu , wameingilia hi sababu wameona Israel anapokea kipigo pale Rafah.

Breaking news ya leo ni hi hapa

Habari za kushtua kwa Tel Aviv:

Leo limefanyika shambulio kubwa zaidi vifaru vya special force ya Israel na askari wake katika eneo la Rafah. Ripoti za mwanzo zinasema dadi kubwa ya vifaru, na askari walio kufa na kujehuriwa pamojo na magari ya kivita yamepigwa pia.
Kwaiyo vita iendelee apo Rafah?

Hii nimependa imenikumbusha kanuni Moja hivi
Kila kitu unacho kisikia ni MAONI TU
Kila kitu unacho kiona ni MTAZAMO TU sio ukweli

😂😂😂
 
Jiulize kwanini South Africa wamekuwa nstari wa mbele kuwapigania Wapalestina? Kuanzia chama tawala mpaka wapinzani huko SA wanaipigania Palestina.

Au hulielewi hilo?
Ndio kwa MTAZAMO uo upo sawa kabisa Lakini jiulize hii pia
Kwa nini wao SA wanaishi na wakoloni mpaka leo hii na Ndio wameshika sekta zote za uchumu (kilimo biashara mawasiliano nk) why hawajafanya kama walivyo fanya Palestine (Hamas)
 
Ndio kwa MTAZAMO uo upo sawa kabisa Lakini jiulize hii pia
Kwa nini wao SA wanaishi na wakoloni mpaka leo hii na Ndio wameshika sekta zote za uchumu (kilimo biashara mawasiliano nk) why hawajafanya kama walivyo fanya Palestine (Hamas)
Hawakufikia walioo kiwepesi, walipambana sana na wao pia waliwekwa kundi la nagaidi na Mandela akafungwa naisha kama gaidi, au huelewi hayo?
 
Hawakufikia walioo kiwepesi, walipambana sana na wao pia waliwekwa kundi la nagaidi na Mandela akafungwa naisha kama gaidi, au huelewi hayo?
najua vizur sanaa lakn kwa sababu gani bado wanaishi vizuri pamoja kwa kushirikiana mpaka leo tunavyo ongea apa?
 
Hii vita watu wameiweka kwenye dini zenu hizo za kitapeli.

Suluhu ya hii vita kuisha sio kutupiana mpira eti upande mmoja ndio umalize vita .

Hao Palestina ndio walianza kushambulia watu huko mashambani mwezi October hao Israel wakajibu mapigo.

So suluhu ya vita ni watu wakae mezani wote wamalize vita.

Ajabu watanganyika vita hii mnaibeba na dini zenu za kitapeli hizo.

Hamuoni Congo DR , Sudan watu wanavyomwaga damu ??
 
Back
Top Bottom