Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) yaagiza Israel kukomesha mara moja ushambuliaji wa kijeshi huko Rafah

Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) yaagiza Israel kukomesha mara moja ushambuliaji wa kijeshi huko Rafah

Mtu akuingilie nyunbani kwako, apatakenkwa nguvu, auwe wanao, wagonjwa wako, wazee wako, wanawake zako, halafu wewe unaewapigania kudhulumiwa ndio uwe gaidi?
Ha ha ha....sijui umeandika lugha gani.usipaniki. mi nadhani Israel waachwe wafanye operation za kijeshi. Hamas mwana kulitafuta mwana kulifind. Hamas walianza kuteka na kuua wanawake na watoto Israel siyo Wakristo.wao wanaamini jino kwa jino kama waislamu tu. Hamas waue Wayahudi na Israel iue Waaraba ngoma draw.
 
Mtu akuingilie nyunbani kwako, apatakenkwa nguvu, auwe wanao, wagonjwa wako, wazee wako, wanawake zako, halafu wewe unaewapigania kudhulumiwa ndio uwe gaidi?
Toka lini migaidi ya kipalestina pale palikuwa kwao? soma vizuri historia
 
Toka lini migaidi ya kipalestina pale palikuwa kwao? soma vizuri historia
Naona unajifariji tu, endelea kujifurahisha.

Israel ni nchi ya kizayuni iliyoanzishwa 1948 kwa kudhulumiwa ardhi ya Wapalestina.
 
Back
Top Bottom