Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) yaagiza Israel kukomesha mara moja ushambuliaji wa kijeshi huko Rafah

Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) yaagiza Israel kukomesha mara moja ushambuliaji wa kijeshi huko Rafah

Hi mahakama ni tools inatumiwa na Europe pamoja na America tu , wameingilia hi sababu wameona Israel anapokea kipigo pale Rafah.

Breaking news ya leo ni hi hapa

Habari za kushtua kwa Tel Aviv:

Leo limefanyika shambulio kubwa zaidi vifaru vya special force ya Israel na askari wake katika eneo la Rafah. Ripoti za mwanzo zinasema dadi kubwa ya vifaru, na askari walio kufa na kujehuriwa pamojo na magari ya kivita yamepigwa pia.
⚡Israel announces the resumption of indirect negotiations with Hamas next week

😂😂
 
Hi mahakama ni tools inatumiwa na Europe pamoja na America tu , wameingilia hi sababu wameona Israel anapokea kipigo pale Rafah.

Breaking news ya leo ni hi hapa

Habari za kushtua kwa Tel Aviv:

Leo limefanyika shambulio kubwa zaidi vifaru vya special force ya Israel na askari wake katika eneo la Rafah. Ripoti za mwanzo zinasema dadi kubwa ya vifaru, na askari walio kufa na kujehuriwa pamojo na magari ya kivita yamepigwa pia.
Wewe mmanyema wa kigoma unasema Mahakama inawaonea huruma IDF wakati huo huo Hamas wameshangilia maamuzi ya mahakama na kusema Mahakama izuie Mashambulizi Gaza yote..

Nilitegemea utasema kwa maamuzi yeyote ya ICC mateka hamuwaachii.. miili ya Watanzania wenzetu Sinwar anaila kwenye mahandaki
 
Sawa tutakomeaha vita kwanza sababu kuna shortage ya mabikira peponi
Hamna bhana. Wacha vita iendelee. Wale watakaokosa mabikra 72 wakae kwenye foleni ya kusubiria mgawo kadri mabikra wanavyopatikana au washirikiane na waliopata. Mi nashauri idadi ya 72 ni kubwa mno, inafaa irekebishwe na iwe nusu i.e. 36. au unasemaje mkuu?
 
Wanaukumbi.

Kwa Upendeleo: 13
Dhidi ya: 2

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu pia ilitoa kauli zifuatazo:

✅ Mahakama inabainisha kuwa hali ya kibinadamu huko Rafah ni janga baada ya wiki za mashambulizi ya mabomu.

✅ Mahakama inakumbuka kwamba hali ya maisha ya wakazi wa Ukanda wa Gaza imezorota kwa kiasi kikubwa.

✅ Afrika Kusini iliitaka mahakama kutumia mamlaka yake na kuweka hatua za dharura kukomesha vita

✅ Mahakama inachukulia shambulio la kijeshi huko Rafah kuwa ni jambo la hatari ambalo linaongeza mateso ya watu

✅ Hatua za muda zinazochukuliwa hazishughulikii kikamilifu matokeo ya mabadiliko ya hali katika Ukanda wa Gaza

✅ Shirika la Mpango wa Chakula Duniani limesema limeshindwa kupeleka misaada Rafah.

✅ Israel haikutoa vya kutosha kuhakikisha usalama na usalama wa waliohamishwa kutoka Rafah kwenda Al-Mawasi.

Chanzo: @Kahlisse


View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1794001171486765456?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

---
THE HAGUE, May 24 (Reuters) - Judges at the top United Nations court ordered Israel on Friday to immediately halt its military assault on the southern Gaza city of Rafah, in a landmark emergency ruling in South Africa's case accusing Israel of genocide.

While the International Court of Justice, or World Court, has no means to enforce its orders, the case was a stark sign of Israel's global isolation over its campaign in Gaza, particularly since it began its offensive against Rafah this month against the pleas of its closest ally the United States.

Reading out the ruling, World Court president Nawaf Salam said the situation in the Palestinian enclave had deteriorated since the court last ordered Israel to take steps to improve it, and conditions had been met for a new emergency order.

"The state of Israel shall (....) immediately halt its military offensive, and any other action in the Rafah governorate, which may inflict on the Palestinian group in Gaza conditions of life that could bring about its physical destruction in whole or in part," he said.

Israel had not explained how it would keep the population safe during an evacuation of Rafah, or provide food, water, sanitation and medicine for the 800,000 Palestinians that had already fled the Israeli advance, he said.

The ICJ ordered Israel to open the Rafah crossing between Egypt and Gaza to let in aid. Israel, it added, must provide access for investigators and report back on its progress within one month.

The order was adopted by the panel of 15 international judges in a 13-2 vote, opposed only by judges from Uganda and Israel itself.

South Africa hailed the ruling as groundbreaking.

The internationally recognised Palestinian Authority said it represented a global consensus that the war must end, although presidential spokesman Nabil Abu Rudeineh said it did not go far enough because it did not halt fighting in other parts of Gaza.

Senior Hamas official Basem Naim told Reuters: "We call upon the U.N. Security Council to immediately implement this demand by the World Court into practical measures to compel the Zionist enemy to implement the decision."

Nyinyi mi islamists mwisho wenu uko karibu; mnachekelea tu maamuzi hayo ya kipumbavu yanayofanywa na hiyo intl court of justice ambayo iko infiltrated na muslim brotherhood, kumbe ukweli ni kwamba nyinyi ni wauwaji wakubwa

View: https://x.com/Thexmuslim/status/1794311816639807863
 
Wewe mmanyema wa kigoma unasema Mahakama inawaonea huruma IDF wakati huo huo Hamas wameshangilia maamuzi ya mahakama na kusema Mahakama izuie Mashambulizi Gaza yote..

Nilitegemea utasema kwa maamuzi yeyote ya ICC mateka hamuwaachii.. miili ya Watanzania wenzetu Sinwar anaila kwenye mahandaki
dogo wewe huoni Tela Aviv kilio unaona cha Gaza tu, Israel hana jipya na dalili msikilize Nasurlah kiongozi wa Hezbollah anasema nini hapa

View: https://youtu.be/97djAg4sLfQ?si=ZZ70lc_yQ3DO5-qH

Kiongozi huyo anasema kila Netanyahu akijifanya mjuaji, ndio anavyo iteketeza Israel, dunia nzima wanafahamu Hamasi hawezi shindwa vita na Israel.

Hio ya kusema Gaza wamefurahi wako wamanchi watafurahi, sababu Israel hapigani vita anacho fanya genocide kwa kutumia silaha za America na Europe

We baki unabweka kama mbwa koko wenzako Tela Aviv wanalia maisha magumu, matekwa hawakombolewi hata hao maiti hajawakomboa ni uwongo wa Netanyahu 😄

Tazama economy ya Israel ilivyo drop ndio utafahamu Israel anatafuta ushindi hata wa picture na hajaupata ili atoke Gaza kwa mazungumzo ya amani.
 
Kwaiyo vita iendelee apo Rafah?

Hii nimependa imenikumbusha kanuni Moja hivi
Kila kitu unacho kisikia ni MAONI TU
Kila kitu unacho kiona ni MTAZAMO TU sio ukweli

😂😂😂
We kijana nyie sikilizeni tu propoganda za USA na Israel, kitu kilicho fanya mahakama hapo ni bada ya kuona aibu South Africa kupeleka dalili za genocide.

Kidogo wamekuja na balance flani kuwa Netanyahu na yule waziri wake wa majeshi wakamatwe, hapo hapo wametaka viongozi wa Hamasi pia wakamatwe.

Sa watupe dalili wapi Hamasi kauwa wananchi wa Israel wasio na hatia, hawana.

Vipi wakamatwe viongozi wa Hamasi 😄

Wale walio uliwa na Hamasi walikuwa ni wanajeshi na hata media za Israel zimekiri hayo, wale civilian wa Israel waliuliwa na Helicopter zao by mistake
 
We kijana nyie sikilizeni tu propoganda za USA na Israel, kitu kilicho fanya mahakama hapo ni bada ya kuona aibu South Africa kupeleka dalili za genocide.

Kidogo wamekuja na balance flani kuwa Netanyahu na yule waziri wake wa majeshi wakamatwe, hapo hapo wametaka viongozi wa Hamasi pia wakamatwe.

Sa watupe dalili wapi Hamasi kauwa wananchi wa Israel wasio na hatia, hawana.

Vipi wakamatwe viongozi wa Hamasi 😄

Wale walio uliwa na Hamasi walikuwa ni wanajeshi na hata media za Israel zimekiri hayo, wale civilian wa Israel waliuliwa na Helicopter zao by mistake
soma ulicho andika kabla hauja chapisha bandiko lako public kwa sabab kupitia maandishi yako analysts tunajua mambo yafuatayo
1 who you are
2 your character
3 your level of education and thinking capacity ( intelligent quotient)
4 what you like and what you dislikes
5 your emotions quotient

kwa mtazamo wako ni sahihi kabisa Hamas hakuua raia yoyote wa Israel na wala hawakuchukua mateka yoyote wa Israel
 
Marekani kashindwa kuonyesha demokrasia yeye kama super power.
Mbali na maagizo yaliyotolewa na mahakama israel kaendelea kuishambulia Rafah masaa nane yaliyopita na ameshaambiwa aache na kuondoa vikosi lakini amekaidi.

Binafsi huwa nishazoea propaganda za mmarekani. Cha muhimu ni kutafuta namna ya kuendelea kudai uhuru wao. Lakini Wasitegemee hata siku moja hizi mahakama zilizo chini ya marekani kuwaletea uhuru pasi ya wao kupambana.

Michezo yote inayochezwa na ireland, spain na nchi zingine ni propaganda endelevu kwa marekani. Yaani mahakama inasema hivi halafu wao wanapinga.

Wapiganie haki kwa namna wanayona itafaa.
 
soma ulicho andika kabla hauja chapisha bandiko lako public kwa sabab kupitia maandishi yako analysts tunajua mambo yafuatayo
1 who you are
2 your character
3 your level of education and thinking capacity ( intelligent quotient)
4 what you like and what you dislikes
5 your emotions quotient

kwa mtazamo wako ni sahihi kabisa Hamas hakuua raia yoyote wa Israel na wala hawakuchukua mateka yoyote wa Israel
We wachana na story za kitoto we utajua vipi mimi msomi au si msomi kwa ku chat hapa unless uwe kichaa unajiropekea tu.


Tatizo lako wewe unamuamini Biden na Netanyahu mimi siwamini.

We umezowea kudanganywa.

Mimi siamini Western media na viongozi wa Israel na media zao wapo wapo wengine huwa wa kweli labda 10%

Sa we niambie unae jisifu msomi una elimu gani? Wakati mimi sina hio elimu?
Mtu mjinga huwa anadhani wote wako chini yake kielimu, wakati ujinga wako umeuharisha hapo 😄
 
We wachana na story za kitoto we utajua vipi mimi msomi au si msomi kwa ku chat hapa unless uwe kichaa unajiropekea tu.


Tatizo lako wewe unamuamini Biden na Netanyahu mimi siwamini.

We umezowea kudanganywa.

Mimi siamini Western media na viongozi wa Israel na media zao wapo wapo wengine huwa wa kweli labda 10%

Sa we niambie unae jisifu msomi una elimu gani? Wakati mimi sina hio elimu?
Mtu mjinga huwa anadhani wote wako chini yake kielimu, wakati ujinga wako umeuharisha hapo 😄
hahahahaha upo sawa
 
Wanaukumbi.

Kwa Upendeleo: 13
Dhidi ya: 2

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu pia ilitoa kauli zifuatazo:

✅ Mahakama inabainisha kuwa hali ya kibinadamu huko Rafah ni janga baada ya wiki za mashambulizi ya mabomu.

✅ Mahakama inakumbuka kwamba hali ya maisha ya wakazi wa Ukanda wa Gaza imezorota kwa kiasi kikubwa.

✅ Afrika Kusini iliitaka mahakama kutumia mamlaka yake na kuweka hatua za dharura kukomesha vita

✅ Mahakama inachukulia shambulio la kijeshi huko Rafah kuwa ni jambo la hatari ambalo linaongeza mateso ya watu

✅ Hatua za muda zinazochukuliwa hazishughulikii kikamilifu matokeo ya mabadiliko ya hali katika Ukanda wa Gaza

✅ Shirika la Mpango wa Chakula Duniani limesema limeshindwa kupeleka misaada Rafah.

✅ Israel haikutoa vya kutosha kuhakikisha usalama na usalama wa waliohamishwa kutoka Rafah kwenda Al-Mawasi.

Chanzo: @Kahlisse


View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1794001171486765456?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

---
THE HAGUE, May 24 (Reuters) - Judges at the top United Nations court ordered Israel on Friday to immediately halt its military assault on the southern Gaza city of Rafah, in a landmark emergency ruling in South Africa's case accusing Israel of genocide.

While the International Court of Justice, or World Court, has no means to enforce its orders, the case was a stark sign of Israel's global isolation over its campaign in Gaza, particularly since it began its offensive against Rafah this month against the pleas of its closest ally the United States.

Reading out the ruling, World Court president Nawaf Salam said the situation in the Palestinian enclave had deteriorated since the court last ordered Israel to take steps to improve it, and conditions had been met for a new emergency order.

"The state of Israel shall (....) immediately halt its military offensive, and any other action in the Rafah governorate, which may inflict on the Palestinian group in Gaza conditions of life that could bring about its physical destruction in whole or in part," he said.

Israel had not explained how it would keep the population safe during an evacuation of Rafah, or provide food, water, sanitation and medicine for the 800,000 Palestinians that had already fled the Israeli advance, he said.

The ICJ ordered Israel to open the Rafah crossing between Egypt and Gaza to let in aid. Israel, it added, must provide access for investigators and report back on its progress within one month.

The order was adopted by the panel of 15 international judges in a 13-2 vote, opposed only by judges from Uganda and Israel itself.

South Africa hailed the ruling as groundbreaking.

The internationally recognised Palestinian Authority said it represented a global consensus that the war must end, although presidential spokesman Nabil Abu Rudeineh said it did not go far enough because it did not halt fighting in other parts of Gaza.

Senior Hamas official Basem Naim told Reuters: "We call upon the U.N. Security Council to immediately implement this demand by the World Court into practical measures to compel the Zionist enemy to implement the decision."

kwa bahati mbaya, ni mahakama isiyo na meno, haina uwezo kuifanya chochote, zaidi ya kutamka tu.
 
hahahahaha upo sawa
Msomi huwa hajisifu dogo anasifiwa na family yake, kazini kwao na kwenye nchi yao sio hapa kwenye fake ID 😄

Kwa hio we ni Professor wa kuchambua vidole vyetu hapa vina type
nini, unataka tukubaliana na ujinga wako unao uandika sio 😄
 
kwa bahati mbaya, ni mahakama isiyo na meno, haina uwezo kuifanya chochote, zaidi ya kutamka tu.
Hio mahakama ilikuwa inatumiwa kuonea nchi dhaifu, walipo fika kwa Putin tumeona ujinga wao, na walipo fika kwa Netanyahu tumeona ujinga wa USA ambaye alikuwa anaitumia mahakama kama tools ya kuwakandamiza madui zake.

America na Israel hawawezi kuwa wanasheria wakati wao ndio wanazivunja hizo sheria, hata UN na veto zao ni moja ya silaha wanayo tumia kwa maslaha yao tu.
 
Msomi huwa hajisifu dogo anasifiwa na family yake, kazini kwao na kwenye nchi yao sio hapa kwenye fake ID 😄

Kwa hio we ni Professor wa kuchambua vidole vyetu hapa vina type
nini, unataka tukubaliana na ujinga wako unao uandika sio 😄
hahahahaha nimecheka kwa sauti kubwa
 
Hio mahakama ilikuwa inatumiwa kuonea nchi dhaifu, walipo fika kwa Putin tumeona ujinga wao, na walipo fika kwa Netanyahu tumeona ujinga wa USA ambaye alikuwa anaitumia mahakama kama tools ya kuwakandamiza madui zake.

America na Israel hawawezi kuwa wanasheria wakati wao ndio wanazivunja hizo sheria, hata UN na veto zao ni moja ya silaha wanayo tumia kwa maslaha yao tu.
usichanganye ICC na ICJ. ni vitu viwili tofauti. hiyo iliyotoa maneno ni ICJ. wao ICC walitoa amri kuchunguzwa kwa Putin na Netanyahu. ICC ikikukamata ina meno kwasababu wanayo hadi magereza ya kuweka mahabusu pale the hague. ila ICJ ni mahakama kati ya nchi na nchi na kwa Israel wameisema kama nchi hawana uwezo kumshitaki individual person au hata kumweka gerezani.
 
Wanaukumbi.

Kwa Upendeleo: 13
Dhidi ya: 2

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu pia ilitoa kauli zifuatazo:

✅ Mahakama inabainisha kuwa hali ya kibinadamu huko Rafah ni janga baada ya wiki za mashambulizi ya mabomu.

✅ Mahakama inakumbuka kwamba hali ya maisha ya wakazi wa Ukanda wa Gaza imezorota kwa kiasi kikubwa.

✅ Afrika Kusini iliitaka mahakama kutumia mamlaka yake na kuweka hatua za dharura kukomesha vita

✅ Mahakama inachukulia shambulio la kijeshi huko Rafah kuwa ni jambo la hatari ambalo linaongeza mateso ya watu

✅ Hatua za muda zinazochukuliwa hazishughulikii kikamilifu matokeo ya mabadiliko ya hali katika Ukanda wa Gaza

✅ Shirika la Mpango wa Chakula Duniani limesema limeshindwa kupeleka misaada Rafah.

✅ Israel haikutoa vya kutosha kuhakikisha usalama na usalama wa waliohamishwa kutoka Rafah kwenda Al-Mawasi.

Chanzo: @Kahlisse


View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1794001171486765456?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

---
THE HAGUE, May 24 (Reuters) - Judges at the top United Nations court ordered Israel on Friday to immediately halt its military assault on the southern Gaza city of Rafah, in a landmark emergency ruling in South Africa's case accusing Israel of genocide.

While the International Court of Justice, or World Court, has no means to enforce its orders, the case was a stark sign of Israel's global isolation over its campaign in Gaza, particularly since it began its offensive against Rafah this month against the pleas of its closest ally the United States.

Reading out the ruling, World Court president Nawaf Salam said the situation in the Palestinian enclave had deteriorated since the court last ordered Israel to take steps to improve it, and conditions had been met for a new emergency order.

"The state of Israel shall (....) immediately halt its military offensive, and any other action in the Rafah governorate, which may inflict on the Palestinian group in Gaza conditions of life that could bring about its physical destruction in whole or in part," he said.

Israel had not explained how it would keep the population safe during an evacuation of Rafah, or provide food, water, sanitation and medicine for the 800,000 Palestinians that had already fled the Israeli advance, he said.

The ICJ ordered Israel to open the Rafah crossing between Egypt and Gaza to let in aid. Israel, it added, must provide access for investigators and report back on its progress within one month.

The order was adopted by the panel of 15 international judges in a 13-2 vote, opposed only by judges from Uganda and Israel itself.

South Africa hailed the ruling as groundbreaking.

The internationally recognised Palestinian Authority said it represented a global consensus that the war must end, although presidential spokesman Nabil Abu Rudeineh said it did not go far enough because it did not halt fighting in other parts of Gaza.

Senior Hamas official Basem Naim told Reuters: "We call upon the U.N. Security Council to immediately implement this demand by the World Court into practical measures to compel the Zionist enemy to implement the decision."

Mbona bado kichapo kiko pale pale!! Hiyo mahakama ni jibwa tu, zamu hii hafi Hamas waliko matumboni na makabulini waiogope Israel.
 
Netanyahu yupo Washington kuhutubia dunia. Waende wakamkamate
Toka umeanza kuhangaika na mahakama ni miezi sasa.ile ya South Africa maamuzi yake yalikuwaje? Jamaa wanaendelea kugonga tu....WANAKUAMBIA KAITE POLICE. Umehudhuria msiba wa Taifa kubwa la Iran? Tuletee na maamuzi ya mahakama ya South Africa, na ya hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom