Ha ha ha....sijui umeandika lugha gani.usipaniki. mi nadhani Israel waachwe wafanye operation za kijeshi. Hamas mwana kulitafuta mwana kulifind. Hamas walianza kuteka na kuua wanawake na watoto Israel siyo Wakristo.wao wanaamini jino kwa jino kama waislamu tu. Hamas waue Wayahudi na Israel iue Waaraba ngoma draw.