Ni upumbavu tu wa wafuasi wa yule kibwetere aliekimbilia kwa amstwedam mkuu.Mbona sioni mahali ambapo serikali inahusika na kesi hii. Tujitahidi kutoongezea chumvi katika masuala ambayo serikali haihusiki vinginevyo umaarufu na ubora wa jamvi letu hili vitakuwa compromised. It's simply a commercial issue, period
mkufundu wewe😡 ivi dangote ni beberu?? Ni mzungu wa wapi?? Shwain kabxaamtu unamsimanga ni beberu unategemea atawekeza kwako kweli...
Kwenye hiyo habari umeona uhusika wowote wa selikali ktika hiyo kesi na ni wapi huyo muwekezaji kaonesha anaondoka?Tunashangilia upumbavu unaofanywa na CCM mpaka wawekezaji wanakimbia . Mpaka mle panya ndio akili zitawakaa sawa.
Why not, kama Bichwa kubwa lenu mambo yanamshinda kwanini tusishangilie?Hiyo ni habari nzuri sana kwa chadema leo watashangilia usiku kucha.
hahaaaa nilimaanisha hawa twiga cement wa tegeta wazoSema MABEBERU
Na vipi kuhusu hiyo clip iliyokuwa attached kwenye uzi?.Kwenye hiyo habari umeona uhusika wowote wa selikali ktika hiyo kesi na ni wapi huyo muwekezaji kaonesha anaondoka?
Kwani ndio kusema Lisu alipokimbia alikimbia na akili zenu zote?
Bavicha bana sijui akili yenu mnaitumiaje! Hivi umeielewa hii habari kabla ya kukurupuka kufungua uzi?Tulidanganywa kuwa anafanya service ya week mbili kumbe anakusanya virago vyake aondoke uwekezaji bongo umemshindaView attachment 1640919
Naona atakuwa anatumiwa na cdm huyoTulidanganywa kuwa anafanya service ya week mbili kumbe anakusanya virago vyake aondoke uwekezaji bongo umemshindaView attachment 1640919
Hiyo ni habari nzuri sana kwa chadema leo watashangilia usiku kucha.
Naiona Zimbabwe ya Mugabe inakaribia dsmMuda muda muda...utaongea
Crimea broKwenye hiyo habari umeona uhusika wowote wa selikali ktika hiyo kesi na ni wapi huyo muwekezaji kaonesha anaondoka?
Kwani ndio kusema Lisu alipokimbia alikimbia na akili zenu zote?
Umeelewa vizuri nini kinaongelewa kwenye gazeti la The citizen.Hiyo ni habari nzuri sana kwa chadema leo watashangilia usiku kucha.
Nani anajali ndugu yangu?Habari mbaya, Ajira za watanzania zinapotea kwa mara nyingine
Serious wapinzani wa Tanzania wamekuwa hamnazo moja kwa mojaKwenye hiyo habari umeona uhusika wowote wa selikali ktika hiyo kesi na ni wapi huyo muwekezaji kaonesha anaondoka?
Kwani ndio kusema Lisu alipokimbia alikimbia na akili zenu zote?
Zimbabwe hiyoooooo varandaniHiyo ni habari nzuri sana kwa chadema leo watashangilia usiku kucha.
Dooonaaaaa kantriiiiiiiTell mabeberu mitano Tena we are on the right track
Itakuwa migumu kwa wapinzani tu, CCM woote wanaishi maisha ya UlayaUtawala wa kidhalimu unaendelea kuvuruga uchumi, hii miaka 5 itakuwa worse sana kwa Wadanganyika wote.