Maharage Chande aondolewa TANESCO, apelekwa TTCL. Gerson Msigwa awa Katibu Mkuu Wizara ya Michezo
Kumtoa Ulanga TTCL ni kama kutaka kujaribu kuliua tena hilo shirika...

Ulanga naamini alikuwa mtu mwenye upeo sahihi wa kuihuisha TTCL baada ya Kindamba kulegalega...

TTCL ili ishindane na makampuni binafsi inahitaji mtu kichwa...
 
Mbona dstv alikuwa na ufanisi
Au kwa sababu ilikuwa private sector

Ova
DSTV hilo nalo shirika jamani.Kishirika kidogo,halafu offers zake sio basic needs kwa binadamu. Unaweza ukawa hauna DSTV na maisha yakaenda safi tu.Ila Tanesco hakuna mbadala. Halafu Umeme ni moja ya ni basic needs nchini .
 
No issue kapelekwa TTCL! A perfect place for him. Hizi sector nyeti kwa huduma za umma hazifai mtu mwenye too much business mind maana akili zinawaza zaidi revenue growth and fair trading! Umeme, maji na mafuta uzalendo kwanza alafu mengine baadae.
Hayo ni maoni yako
 
This is the huge Public deceiving ( shame kwa SHH), ivi kweli mtu kama Maharage kaharibu sehemu then anateuliwa tena sehemu kweli? Kweli jameni?

Kwamba kwa watanzania zaidi ya 20million wenye uwezo na sifa hawaonekani mpaka aliyeharibu point A kuhamishiwa point B kweli? Kweli SHH?

This proves the fact kwamba , Maharage alitumwa kukwapua na kahamishiwa TTCL akaharibu then aje na wazo la kubinafsisha, CCM ni zaidi ya ukoo wa Panya.

Huyu mwamba yangefanyika mawili kama angekuwa kwenye nchi zenye viongozi na uongozi, sio hawa wachumia tumbo,

Mosi, astaafishwe for the public interests

Pili, afunguliwe mashtaka maana tuhuma zake zinathibitika vizuri tu.


Haya yote yana mwisho.
WANATUONA NYANI.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Kwenye hii nchi, lolote linawezekana. Binafsi nina ushahidi wa watu wengi tu wenye uwezo wa kawaida kichwani. Ila kutokana na connection, wamepewa ulaji serikalini na pia kwenye mashirika mbalimbali.
Bora hata yule msemaji aliyepita alikuwa na degree.
 
Bi Mariam Chaurembo namuona yupo vizuri daah Siasa bhana...wanawaacha watu Smart Kichwani aisee
 
Back
Top Bottom