Majibu manne ya wanaume kwa wake zao yanayovunja ndoa

Majibu manne ya wanaume kwa wake zao yanayovunja ndoa

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.

Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno

1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?

2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G

3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.

4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.

Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi...
Huyu hayakuwa mke wake kwa majibu yote uliyoyatoa hapo. Mbona huwaachi wazazi wako kisa walikuambia kuwa usubirie hawanaa hela Ina Mana walifanya makosa kukuzaa.

Huyu atakuwa ni Malaya ameolewa na ameenda kumfilisi na atakuwa Ana familia nyingine anaitegemea Ila sio hii ya na mmewe. Ivi unadhani kuolewa kwa me aliyokomaa hafanyi maamuzi wakati lombo amesimama Bali anapima mengi Sana. Yaani wewe kadange
 
Kabla hamjaolewa hua mnakua na mbwembwe nyingi mno.

Wachache wenye hizi mbwembwe hua wanaolewa na kuachika na wengi waliobaki hua wanageuka nyumba ndogo kwa waume za watu.

Naomba kuwasilisha.
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi...
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.

Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno

1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?

2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G

3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.

4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.

Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Huna adabu we kijana!!

Hivi unadhani ki uhalisia, Nani anamhitaji mwanzake kuliko mwingine?

Na kama utakuwa unajitolea tu pesa zako kila unapoombwa, basi wewe ni sawa na bendera ya chadema wewe haijulikani rangi moja inamaana gani??
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi...
Duuuh .....sasa mbona nitabakia single maisha
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi...
we bwege kweli.

hayo maswali ni ya msingi sana wengine wanahonga hawala zao, wengine wanataka nauli ya kwenda kwa waganga, wengine wehu tu.

kuulizwa lazima na majibu hayaleweki hakuna kupewa unaondioka ondoka
halafu niusahihushe hakuna mwanamke anayemwacha mwanaume bali wanaachwa wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom