NiggahStopper2
Member
- Oct 24, 2021
- 72
- 63
Yaani humu kuna watu ni hovyo kabisa kwahiyo wanaotimiza kila kitu kwa wake zao hawaachani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani yeye muombe hata alfu kumi anayo mpaka atanue paja na zitafikia sehemu zitachoka zitachakaa Mana kila mwaka vijana wa six wanamaliza bado hawajatumika na bado bikra.Uko serious kabisa laki 5 Ni pesa ndogo mno kwamba haistahili kuhojiwa?[emoji848]
NdiyoMfano aulizwe Sasa Kama aliolewa akiwa na bikra
Baada ya kuolewailitokaje.
0Kabla ya kuolewa aliwakubalia wanaume wangapi
Kila ulichoandika sijaona point mkuu, tafakar upya ma uje na hoja Shawishi, kama sio kuchangamsha gengeMwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.
Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno
1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?
2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G
3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.
4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.
Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Well spoken. Shimo ukiingia tinder unapataLabda kama mwanaume haujiamini, yote hayo uliyotaja hapo juu nauliza na hakuna kitu mwanamke anafanya, shida wanawake mnawaona kama mayai.
Yanu uniombe 500K nikupe bila kuuliza kwa kuogopa utavunja ndoa? Kamuombr baba yako kama ni rahisi.
Kwanza siwezi kuwa na mwanamke ambaye haongezi thamani yoyote kwenye maisha yangu, maana kama issue ni shimo alilo nalo ninaweza kulipata sehemu yoyote ile.
Mkuu utaachwa. Mke anahitaji kuhudumiwaKila ulichoandika sijaona point mkuu, tafakar upya ma uje na hoja Shawishi, kama sio kuchangamsha genge
Sijawah achwa kisa Hela,Mkuu utaachwa. Mke anahitaji kuhudumiwa
DON'T MARRY, GO MERRY BUT DIE EARLY
Umejuaje hayo na wewe ni sexless?Kwahiyo huamini kwamba mwanaume ana mchango kwenye ndoa kuvunijika?
Kama yule kiranja wa covid 19?mto mada atakua na jinsia mbili, enaseketesha
Ww ni miongoni mwa wanawake.Wajinga kuwahi kutokea hapa dunianiMwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.
Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno
1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?
2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G
3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.
4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.
Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Mwanamke mwenye akili timamu hawezi kuvunja ndoa yake kwa vitu vidogo namna hiyo.Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.
Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno
1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?
2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G
3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.
4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.
Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.