Majibu manne ya wanaume kwa wake zao yanayovunja ndoa

Majibu manne ya wanaume kwa wake zao yanayovunja ndoa

Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi...
Sexless hujielewi. Point yako ya kwanza tu unaonekana BRAINLESS wala sio SEXLESS tu.

Eti unasema mke anakuomba hela ndogo tu (Laki 5)!! Kwa hiyo we kwa kuwa kipato chako kinakupa mtazamo wa laki tano kuwa hela ndogo unataka ionekane ndogo pia kwa kila mtu na unatoa conclusion kabisa?

Unajua kuna watu hata huo mshahara wa mwezi tu haufiki laki 5?

ACHA DHARAU WEWE!
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.

Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno

1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?

2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G

3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.

4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.

Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Acheni kulalama, tafuteni hela zenu
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi...
We mwenyewe unaonekana una shida au una utoto, Africa hakiombwi kitu na kuoatikana kirahisi Kwa nyakati zote, acha kudanganya danganya watu, wanawake ndiyo wakati mgumu wa kupata ndoa Kwa wingu wao, sasa kumuacha mwanaume na akashika njia nyingine Kwa sababu ya neno Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa. si atakua hajielewi
 
Mbona maswali ya kawaida hayo?

Kama mmeoana lazima kuulizana mwaswali kwa upendo na sio ku interrogate,

Alafu mnataka kufanya kwamba hawa wanawake wanapenda pesa to that extent?
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi....
Aende tu!bwashee,kwa usawa huu,hakuna kubembelezana,wapo wengi wanaotaka hii nafasi ya kuwa na njemba ndani
 
Kama hao ndio wanawake tulio nao karne hii basi ma single mother wataongezeka sana
 
Kitu cha msingi unatakiwa ujue ni unapaswa kuoa mwanamke anaeongeza thamani kwenye maisha yako...kama hana kinachoongeza thamani hakuna kuoa...
Umeongea point Sana Sana boss,Mungu azidi kukubariki
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.

Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno

1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?

2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G

3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.

4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.

Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Nonsense

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.

Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno

1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?

2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G

3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.

4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.

Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Punguza kudanganywa na Movie mzee baba..
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.

Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno

1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?

2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G

3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.

4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.

Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Mkuu kama ndio unaishi hvyo na mkeo, huyo mwanamke utakuwa ulikutana nae Bar.
 
Mwanamke badala ya kulea familia anaamua kuwa mtafutaji Kama Mine halafu usiulizie kipato chake kimeenda wapi? Ukiona hutaki kuhojiwa baki nyumbani kulea Watoto nimemaliza
 
Back
Top Bottom