Majibu manne ya wanaume kwa wake zao yanayovunja ndoa

Majibu manne ya wanaume kwa wake zao yanayovunja ndoa

Katika mahusiano na ndoa lazima kuwe na lango la kuingia na la kutokea na kila mmoja na funguo. Hakuna cha pingu!!!
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.

Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno

1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?

2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G

3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.

4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.

Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Ungelikuwa karibu yangu ningelikunasa mabanzi yasiyo na idadi [emoji34][emoji34]
 
Labda kama mwanaume haujiamini, yote hayo uliyotaja hapo juu nauliza na hakuna kitu mwanamke anafanya, shida wanawake mnawaona kama mayai.

Yanu uniombe 500K nikupe bila kuuliza kwa kuogopa utavunja ndoa? Kamuombr baba yako kama ni rahisi.

Kwanza siwezi kuwa na mwanamke ambaye haongezi thamani yoyote kwenye maisha yangu, maana kama issue ni shimo alilo nalo ninaweza kulipata sehemu yoyote ile.
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.

Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno

1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?

2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G

3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.

4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.

Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Boea tusioe tuu maana maziwa yenyewe yanapatikana...no need ya kufuga ng'ombe hizi
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.

Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno

1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?

2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G

3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.

4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.

Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Samahani mkuu....
Hivi umeolewa..??
Namaanisha, una mume..??
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.

Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno

1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?

2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G

3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.

4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.

Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Sahamani mbona umeandika kama mwanaume halafu tena umeandika neno Ebo kama shangingi fulani hivi.
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.

Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno

1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?

2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G

3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.

4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.

Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Aiseeeee !!!!
 
Si watafute hela zao kama zinapatikana kirahisi?
FB_IMG_1653507717746.jpg
 
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.

Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno

1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?

2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G

3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.

4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.

Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Yaani mmh kazi ipo.
 
Mpaka CCM itoke madarakani kutakuwa na vichaa wengi sana.
Kuitaja CHADEMA ni ugumu wa maisha.
Tambi kutoka 1000-2000 siyo mchezo. Bado mafuta ya kupikia na bidhaa nyingine. Utaitaja sana CHADEMA
Hiyo laki 5 povu limekutoka hivyo, ukiombwa milioni si mpaka utamtukana Mbowe
Huna adabu we kijana!!

Hivi unadhani ki uhalisia, Nani anamhitaji mwanzake kuliko mwingine.??

Na kama utakuwa unajitolea tu pesa zako kila unapoombwa, basi wewe ni sawa na bendera ya chadema wewe haijulikani rangi moja inamaana gani??
 
Back
Top Bottom