Majibu manne ya wanaume kwa wake zao yanayovunja ndoa

Yaani humu kuna watu ni hovyo kabisa kwahiyo wanaotimiza kila kitu kwa wake zao hawaachani?
 
Uko serious kabisa laki 5 Ni pesa ndogo mno kwamba haistahili kuhojiwa?[emoji848]
Yaani yeye muombe hata alfu kumi anayo mpaka atanue paja na zitafikia sehemu zitachoka zitachakaa Mana kila mwaka vijana wa six wanamaliza bado hawajatumika na bado bikra.
Mfano aulizwe Sasa Kama aliolewa akiwa na bikra ama ilitokaje.
Kabla ya kuolewa aliwakubalia wanaume wangapi
 
Kila ulichoandika sijaona point mkuu, tafakar upya ma uje na hoja Shawishi, kama sio kuchangamsha genge
 
Well spoken. Shimo ukiingia tinder unapata
 
mtoa mada ni mwehu naona hadi wanawake wenzake wanamshangaa.
Nimeona ndoa za namna hiyo uarabuni.
Kwa sasahivi mtazamo wa kisasa wa ndoa ni kusaidiana ndio maana wanawake waelewa wanajishughulisha sana kupata kipato cha kussuport familia.
 
Ww ni miongoni mwa wanawake.Wajinga kuwahi kutokea hapa duniani

Mjinga mjinga mjinga
 
Kama umeoa wife materials ni lzm akukimbie
 
Mwanamke ambaye kipato chake hakijulikani hafai kutolewa sababu wakati wa kugawana mali huwa hakuna kuangalia wote zinapigwa pasu alivhangia au hajachangia hivyo kila mtu achangie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke mwenye akili timamu hawezi kuvunja ndoa yake kwa vitu vidogo namna hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…