Sexless hujielewi. Point yako ya kwanza tu unaonekana BRAINLESS wala sio SEXLESS tu.Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi...
Acheni kulalama, tafuteni hela zenuMwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.
Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno
1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?
2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G
3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.
4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.
Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
We mwenyewe unaonekana una shida au una utoto, Africa hakiombwi kitu na kuoatikana kirahisi Kwa nyakati zote, acha kudanganya danganya watu, wanawake ndiyo wakati mgumu wa kupata ndoa Kwa wingu wao, sasa kumuacha mwanaume na akashika njia nyingine Kwa sababu ya neno Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa. si atakua hajielewiMwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi...
Aende tu!bwashee,kwa usawa huu,hakuna kubembelezana,wapo wengi wanaotaka hii nafasi ya kuwa na njemba ndaniMwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi....
mto mada atakua na jinsia mbili, enasekete
Umeongea point Sana Sana boss,Mungu azidi kukubarikiKitu cha msingi unatakiwa ujue ni unapaswa kuoa mwanamke anaeongeza thamani kwenye maisha yako...kama hana kinachoongeza thamani hakuna kuoa...
Kama hujajipanga kwa kipato na saikolojia ni bora usioeKama hao ndio wanawake tulio nao karne hii basi ma single mother wataongezeka sana
NonsenseMwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.
Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno
1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?
2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G
3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.
4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.
Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Punguza kudanganywa na Movie mzee baba..Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.
Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno
1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?
2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G
3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.
4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.
Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.
Mkuu kama ndio unaishi hvyo na mkeo, huyo mwanamke utakuwa ulikutana nae Bar.Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.
Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno
1. Unataka kufanyia nini?
Yaani unaombwa hela kidogo tu Kama sh laki 5 halafu unauliza ya kufanyia nini? Siku hiyo hiyo utaachwa. Kwani unadhani mkeo ni kichaa, anakuomba pasipo sabb?
2. Kwa sasa sina hela, subiri nikipata nitakupa.
Yaani, mkeo ana shida zake halafu unanamwambia asubiri? Atasubirije wakati ana shida muda huu? Atakuacha kwa speed ya 4G
3. Mbona nimekupatia wiki iliopita tu?
Kwani mkeo ni mtoto mdogo mpk uulize swali hili? Utaachwa.
4. Hela ya mshahara/biashara yako umeweka wapi?
Ebo! Yaani unaulizia hela ya mkeo? Si umemuoa ili umtunze? Unajua maana ya kutunza? Mshahara ama biashara yake havikuhusu.
Kazi yako ni kutoa hela hata kabla ya kuombwa. Kama huwezi bora usioe.