Ubabe wa Magufuli ulisaidia maendeleo wakati fulani.Mbona hayo ni kawaida kote dunia...
Kumbuka hata wakati wakazi wa kimara wakivunjiwa nyumba zao ule mtiti haukuwa wa nchi hii...
Isingekuwa ukali wa magufuli hata barabara ya kimara isingejengwa..
Ndo yanayotokea bukoba...barabara ya uganda inapaswa kuwa njia nne lakini bado watu wanalamika walio ndani ya hifadhi ya barabara
Ubabe huo huo unapaswa kutumika huko bukoba...ili maendeleo yapatikane hapo Bukoba...barabara kuu ya kuingia bukoba imechoka kweli na ina kona kali...Ubabe wa Magufuli ulisaidia maendeleo wakati fulani.
Ha ha haaa.watakao fungua kesi wauliwe kimya
Kwa hali na migogoro ya Bukoba inabidi tufikie huko...Ha ha haaa.
Tusifikie huko.
Mchumia tumboNaunga mkono hoja ππ
Nitaamini hayo kama Istanbul atathibitisha kwamba Bukoba hakuna Kitu.Mbunge wa Bukoba wa Mjini na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa anaongea na wakazi wa jimbo wakati akikabidhi mkataba wa ujenzi wa Standi Kuu ya Mabasi hilo amelalamikia majungu yanayoendelea Bukoba Mjini ambayo yanakwamisha maendeleo ya manispaa hiyo kwa miaka nenda rudi.
Baadhi ya miradi ambayo imekuwa ikikwamishwa na wanasiasa kwa maslahi binafsi ni pamoja na Stendi Kuu ya Mabasi Bukoba na Barabara ya Nyangoye ambayo imekuwa ikisababisha vifo na vilema kwa miaka nenda rudi.
Akiongea kwa machungu sana mpaka kupelekea kulia na kupiga magoti anadai kusaidia Bukoba kutekeleza hiyo miradi kwanini iwe NONGWA kwake? Kwanini aanze kupigwa majungu. Ameendelea kudai kuwa atahakikisha miradi hiyo inatekelezwa hata akinyimwa Ubunge 2025 lakini wananchi wakiona miradi hiyo watamkumbuka 'Ni Byabato Omsigazi Tukamwima Obubunge, chonka akabikola'(Ni kijana Byabato Tulimnyima Ubunge lakini aliifanya kazi)
Amesema aliomba ujenzi wa barabara ya Nyangoye, wataalamu wakaja wakafanya upembuzi yakinifu na kupendekezwa upanuzi wa barabara njia nne, na kaya 20 zitalipwa fidia ili kutekeleza mradi huo. Anashangaa kwanini anapigwa majungu!
Amesema kama ni Ubunge 2025 wauchukue lakini wanabukoba wasikwamishane bila Sababu. Ili kuonesha msisitizo wa anachokisema, Naibu Waziri huyo aliamua kupiga magoti na kulia, kabla ya kunyanyuliwa na wananchi.
Amezidi kusema wanabukoba tulimpa ubunge miaka mitano basi tumwamini tuache afanye kazi, hawezi kuacha kujenga Stendi, Barabara na Soko kisa atakosa Ubunge 2025. Anasema bora atekeleze hiyo miradi ili akose ubunge 2025 lakini atakumbukwa na wanabukoba. Kama shida ni ujenzi wa Stendi nzuri Bukoba Mjini.
View attachment 2784184
Wewe lolote unalo?Ni mnafiki tu hana lolote
Ongea na mumeo ananijua vizuriWewe lolote unalo?
Chalamila alivyowaambia huo Mkoa umejaa majungu na midomo sana mlikuwa mnajua ni mzaha?Naibu Waziri amwaga machozi hadharani akiwapigia magoti wapiga kura Bukoba
View: https://x.com/Jambotv_/status/1714142264891465822?t=NUMpuqoiepAIzIWH-Bxdrw&s=09
Lipi HiloOngea na mumeo ananijua vizuri
Ukiwa Kiongozi Mikoa ifuatavyo ujue unaloKwa hiyo RC Charamila alikuwa sahihi kabisa kuhusu wahaya?
[emoji23][emoji23] Usijali hili litafanikiwa japo kwa kipindi tulichopo naona siasa zimeanza kwa hiyo fitina zinaweza kuwepoMahakamani wataendaje? Wakati nj hifadhi ya barabara?
Hata huko mahakamani majaji wawe wanatumia common sense...
Hiz roho chafu za baadhi ya watu hapo Bukoba mjini huwa zinatoka wap....sheria ya kunyongwa itumike...watu wawe wanavyongwa kimya kimya...
Wala hakuna shida hata bila Biteko atatoboa ,huyo atakuja kuongezea tuu kura maana walau ndio Waziri wa kutoka huko mwenye nafuu wengine mliwachagua vichwa maji hawaelewi wapiga majungu tuu.Move ya kumuweka biteko ndo nikajua maza anatoboa hadi 2030
Ndo lengo la kuwekwa hapo hilo
Wengine wanapiga pushapu wengine wanakula mahindi hadharani yaani ni blaaa blaaa tupu πππππWana siasa bhana,mara Wapige magoti kwenye mikutano,wengine wanalia machozi,wengine wanapiga sarakasi bungeni,wengine wanachapana bakora kwenye mikutano,wengine wanazichapa kavukavu bungeni,wengine mpaka wanapiga push up kuonyesha ukakamvu wao.......
Ni kweli maeneo kama bukoba kuiruhusu majadiliano hutafanya chochote serikali inapotaka kufanya jambo isisikilize maneno ya mitaaniUbabe wa Magufuli ulisaidia maendeleo wakati fulani.
Kuna mmja Yuko Ofisini ni mdada aisee keshawahamisha Jamaa wa 3 Kwa fitina,Kila mtu hamtaki lakini ukigombana nae unaondoka wewe.Wahaya kwa roho mbaya unafiki majungu ni nuksiiii sana!
Hakuna watu wagumu Kuishi nao kama wahaya!
Mbunge wenu Hadi analia hivi nyie ni watu wa namna gani? Tabia zenu kama za Warundi Kila mtu anajua ππUbabe huo huo unapaswa kutumika huko bukoba...ili maendeleo yapatikane hapo Bukoba...barabara kuu ya kuingia bukoba imechoka kweli na ina kona kali...
I hope wamevunja wenyew...hao watakao fungua kesi wauliwe kimya kimya...tumechoka na drama za bukoba