Majungu na kukwamishana Buboka Mjini vyamliza Mbunge Byabato. Apiga magoti na kutoa machozi mbele ya wanabukoba

Kuna mmja Yuko Ofisini ni mdada aisee keshawahamisha Jamaa wa 3 Kwa fitina,Kila mtu hamtaki lakini ukigombana nae unaondoka wewe.
Namba nyingine ni watu wa Mbeya (Wanyakyusa) na wafipa (Rukwa) wakali wa Majungu.
Yani wahaya wasikie tu kwa jirani usiombe kuishi nao au kufanya Kazi nao!!
 
Hilo ni jimbo la Chadema. Laana ya kuiba kura ziwatafune
Hilo Jimbo Toka limenza kuwa la Machadomo Kuna kipi Cha maana mlifanya? Wahaya ni Wahaya tuu kama kina Mwambukusi,ona Saizi Tibaijuka anavyohangaika kumchafua Rais Samia.

Ndio maana Samia alimtimua yuke aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje Kwa tabia za kipumbavu na masifa yasiyokuwa na maana.
 
Nitaamini hayo kama Istanbul atathibitisha kwamba Bukoba hakuna Kitu.

Hata hivyo Mulugo wa Songwe aligalagala chini kuwapa sapoti kina mama
Hii ndo stend ndogo ya daladala inayojengwa hapo bukoba sehemu ilipokuwa stendi ya zamani...

Stendi kuu itajengwa kuanzia mwakani chini ya mradi wa tactic eneo la kyakairabwa 8km kutoka ilipo hii...

Sasa mabasi yote yamehamishiwa Kibeta 5km kutoka iliko hii...
Huu ni mchoro wa stendi ndogo ya daladala inayojengwa kwa miezi sita hapo Bukoba mjini...
 
Kila siku Huwa mnatuonesha Michoro, Mwendazake alikuwaga hawapendi Wahaya 😁😁😁😁

Mpeni mbunge ushirikiano acheni utoto nyie.
 
Mbunge wenu Hadi analia hivi nyie ni watu wa namna gani? Tabia zenu kama za Warundi Kila mtu anaijua [emoji23][emoji23]

Ila uko sahihi jamii ya watu kama wenu inatakiwa kutumia Nguvu.Mikoa ya Kagera,Mbeya,Arusha na Mara bila mkono wa chuma haiendi.
Kwan warundi sio watu?

Bukoba inabidi uwe mkakamavu sana...pale kuna madhara makubws ya kuwa na wasomi wengi...kila mtu ana theories zake...kila mtu mjuaji...

Ukali ikiwezana unyongaji unahitajika kwenye miji kama hii maana wasomi by nature ni waoga waoga
 
Wew mama Anna alikufanya nini...mbona unamuandama sana...yeye hata hakufahamu...unaumia mwenyew tu....
Ulitaka tusiseme ukweli? Waulize watu wa kagera, wanalielewa hilo.

Wewe humfahamu kuwa mwizi wa taifa yule, au umesahau kilichomtowa uwaziri ni nini?
 
😆😆😆😆😆
 
Kila siku Huwa mnatuonesha Michoro, Mwendazake alikuwaga hawapendi Wahaya [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Mpeni mbunge ushirikiano acheni utoto nyie.
Subiri baada ya miezi sita...mkandarasi yuko site...
Kwanza a big win ni kufanikiwa kuondoa mabus na magari yote kutoka pale...sijui walifanyaje aisee
Maana ilikuwaga mgogoro mkubwa sana...

Sasa leo wako wanajenga na watu wako site
 
Rais samia anaogopa wasomi sio?

Hapendi kuwa challenged eh!
Angeogopa asingewapa nafasi Serikalini.

Huyo bibi yenu mjinga asitupotezee mda maana alipewa nafasi akashindwa miaka yote amekuwa Kiongozi
 
Mkoa wa KAGERA, una shida kubwa mno kiuongozi!! Huo mto unaopita katikati ya mji umewashinda kabisa kuuongeza kina sasa ni maafa kwa wakazi wote wanaoishi pembezoni mwa mto huo!! Kisa siasa chafu tu,
 
Angeogopa asingewapa nafasi Serikalini.

Huyo bibi yenu mjinga asitupotezee mda maana alipewa nafasi akashindwa miaka yote amekuwa Kiongozi
Wasomi gani amewapa nafasi serikali?
Kule kuna vilaza tu...
 
Mkoa wa KAGERA, una shida kubwa mno kiuongozi!! Huo mto unaopita katikati ya mji umewashinda kabisa kuuongeza kina sasa ni maafa kwa wakazi wote wanaoishi pembezoni mwa mto huo!! Kisa siasa chafu tu,
Upo kwenye mradi wa tactic unaoanza mwakani...
Huo mto utajengewa
 
Chalamila alivyowaambia huo Mkoa umejaa majungu na midomo sana mlikuwa mnajua ni mzaha?

Leo hii hata Ukiwa na Wahaya maofisini ni shida atupu.

Mkoa mwingine wenye majungu na mivutano Kila siku ni Mara na Mbeya hiyo Mikoa ni shida tupu.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…