Yani wahaya wasikie tu kwa jirani usiombe kuishi nao au kufanya Kazi nao!!Kuna mmja Yuko Ofisini ni mdada aisee keshawahamisha Jamaa wa 3 Kwa fitina,Kila mtu hamtaki lakini ukigombana nae unaondoka wewe.
Namba nyingine ni watu wa Mbeya (Wanyakyusa) na wafipa (Rukwa) wakali wa Majungu.
Hilo Jimbo Toka limenza kuwa la Machadomo Kuna kipi Cha maana mlifanya? Wahaya ni Wahaya tuu kama kina Mwambukusi,ona Saizi Tibaijuka anavyohangaika kumchafua Rais Samia.Hilo ni jimbo la Chadema. Laana ya kuiba kura ziwatafune
Hii ndo stend ndogo ya daladala inayojengwa hapo bukoba sehemu ilipokuwa stendi ya zamani...Nitaamini hayo kama Istanbul atathibitisha kwamba Bukoba hakuna Kitu.
Hata hivyo Mulugo wa Songwe aligalagala chini kuwapa sapoti kina mama
Wew mama Anna alikufanya nini...mbona unamuandama sana...yeye hata hakufahamu...unaumia mwenyew tu....Mpika majungu mkuu Kagera ni Anna Tibaijuka, kama siyo "mtu wake" kutoboa ni kazi kweli kweli.
cc: Mama Amon
Kila siku Huwa mnatuonesha Michoro, Mwendazake alikuwaga hawapendi Wahaya 😁😁😁😁Hii ndo stend ndogo ya daladala inayojengwa hapo bukoba sehemu ilipokuwa stendi ya zamani...
Stendi kuu itajengwa kuanzia mwakani chini ya mradi wa tactic eneo la kyakairabwa 8km kutoka ilipo hii...
Sasa mabasi yote yamehamishiwa Kibeta 5km kutoka iliko hii...
Huu ni mchoro wa stendi ndogo ya daladala inayojengwa kwa miezi sita hapo Bukoba mjini...View attachment 2784416
Ni adui.wa Rais SamiaWew mama Anna alikufanya nini...mbona unamuandama sana...yeye hata hakufahamu...unaumia mwenyew tu....
Halafu majungu yenyewe huongea kwa kiingereza jungu likiongelewa kingereza linauma kuliko likiongelewa kiswahiliBukoba kuna majungu sana miaka na miaka.
Kwan warundi sio watu?Mbunge wenu Hadi analia hivi nyie ni watu wa namna gani? Tabia zenu kama za Warundi Kila mtu anaijua [emoji23][emoji23]
Ila uko sahihi jamii ya watu kama wenu inatakiwa kutumia Nguvu.Mikoa ya Kagera,Mbeya,Arusha na Mara bila mkono wa chuma haiendi.
Ulitaka tusiseme ukweli? Waulize watu wa kagera, wanalielewa hilo.Wew mama Anna alikufanya nini...mbona unamuandama sana...yeye hata hakufahamu...unaumia mwenyew tu....
😆😆😆😆😆Kwan warundi sio watu?
Bukoba inabidi uwe mkakamavu sana...pale kuna madhara makubws ya kuwa na wasomi wengi...kila mtu ana theories zake...kila mtu mjuaji...
Ukali ikiwezana unyongaji unahitajika kwenye miji kama hii maana wasomi by nature ni waoga waoga
Subiri baada ya miezi sita...mkandarasi yuko site...Kila siku Huwa mnatuonesha Michoro, Mwendazake alikuwaga hawapendi Wahaya [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mpeni mbunge ushirikiano acheni utoto nyie.
Rais samia anaogopa wasomi sio?Ni adui.wa Rais Samia
Kisa alipinga Samia kuuza bandariMpika majungu mkuu Kagera ni Anna Tibaijuka, kama siyo "mtu wake" kutoboa ni kazi kweli kweli.
cc: Mama Amon
Angeogopa asingewapa nafasi Serikalini.Rais samia anaogopa wasomi sio?
Hapendi kuwa challenged eh!
Mkoa wa KAGERA, una shida kubwa mno kiuongozi!! Huo mto unaopita katikati ya mji umewashinda kabisa kuuongeza kina sasa ni maafa kwa wakazi wote wanaoishi pembezoni mwa mto huo!! Kisa siasa chafu tu,Mbunge wa Bukoba wa Mjini na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa anaongea na wakazi wa jimbo wakati akikabidhi mkataba wa ujenzi wa Standi Kuu ya Mabasi hilo amelalamikia majungu yanayoendelea Bukoba Mjini ambayo yanakwamisha maendeleo ya manispaa hiyo kwa miaka nenda rudi.
Baadhi ya miradi ambayo imekuwa ikikwamishwa na wanasiasa kwa maslahi binafsi ni pamoja na Stendi Kuu ya Mabasi Bukoba na Barabara ya Nyangoye ambayo imekuwa ikisababisha vifo na vilema kwa miaka nenda rudi.
Akiongea kwa machungu sana mpaka kupelekea kulia na kupiga magoti anadai kusaidia Bukoba kutekeleza hiyo miradi kwanini iwe NONGWA kwake? Kwanini aanze kupigwa majungu. Ameendelea kudai kuwa atahakikisha miradi hiyo inatekelezwa hata akinyimwa Ubunge 2025 lakini wananchi wakiona miradi hiyo watamkumbuka 'Ni Byabato Omsigazi Tukamwima Obubunge, chonka akabikola'(Ni kijana Byabato Tulimnyima Ubunge lakini aliifanya kazi)
Amesema aliomba ujenzi wa barabara ya Nyangoye, wataalamu wakaja wakafanya upembuzi yakinifu na kupendekezwa upanuzi wa barabara njia nne, na kaya 20 zitalipwa fidia ili kutekeleza mradi huo. Anashangaa kwanini anapigwa majungu!
Amesema kama ni Ubunge 2025 wauchukue lakini wanabukoba wasikwamishane bila Sababu. Ili kuonesha msisitizo wa anachokisema, Naibu Waziri huyo aliamua kupiga magoti na kulia, kabla ya kunyanyuliwa na wananchi.
Amezidi kusema wanabukoba tulimpa ubunge miaka mitano basi tumwamini tuache afanye kazi, hawezi kuacha kujenga Stendi, Barabara na Soko kisa atakosa Ubunge 2025. Anasema bora atekeleze hiyo miradi ili akose ubunge 2025 lakini atakumbukwa na wanabukoba. Kama shida ni ujenzi wa Stendi nzuri Bukoba Mjini.
View attachment 2784184
Wasomi gani amewapa nafasi serikali?Angeogopa asingewapa nafasi Serikalini.
Huyo bibi yenu mjinga asitupotezee mda maana alipewa nafasi akashindwa miaka yote amekuwa Kiongozi
Upo kwenye mradi wa tactic unaoanza mwakani...Mkoa wa KAGERA, una shida kubwa mno kiuongozi!! Huo mto unaopita katikati ya mji umewashinda kabisa kuuongeza kina sasa ni maafa kwa wakazi wote wanaoishi pembezoni mwa mto huo!! Kisa siasa chafu tu,
Tufanye hivi,Wasomi ni Wahaya Ili Mjadala uisheWasomi gani amewapa nafasi serikali?
Kule kuna vilaza tu...
Naunga mkono hoja 👍👏Chalamila alivyowaambia huo Mkoa umejaa majungu na midomo sana mlikuwa mnajua ni mzaha?
Leo hii hata Ukiwa na Wahaya maofisini ni shida atupu.
Mkoa mwingine wenye majungu na mivutano Kila siku ni Mara na Mbeya hiyo Mikoa ni shida tupu.
ni wanafiki balaaMkuu wa mkoa chalamila aliwahi kulalamika mkoa wa Kagera na MAJUNGU huu ndiyo mkoa unaongoza Kwa unafiki kutokana na WENYEJI WA MKOA HUU WA KAGERA. Omba MUNGU jirani yako asiwe MHAYA hawa jamaa ni za HAMAS