Majungu na kukwamishana Buboka Mjini vyamliza Mbunge Byabato. Apiga magoti na kutoa machozi mbele ya wanabukoba

Upo kwenye mradi wa tactic unaoanza mwakani...
Huo mto utajengewa
Kwani kwa sasa sio mto tena yaani umejaa mchanga, ni tishio kwa wakazi wa bukoba!! Mvua kidogo tu maji yamesambaa kwenye majumba, basi itakuwa heri.
 
Subiri baada ya miezi sita...mkandarasi yuko site...
Kwanza a big win ni kufanikiwa kuondoa mabus na magari yote kutoka pale...sijui walifanyaje aisee
Maana ilikuwaga mgogoro mkubwa sana...

Sasa leo wako wanajenga na watu wako site
Ukilazimisha mambo yanaenda, miradi ya bukoba haitakiwi kupitia kwa wanasiasa maana wanakaa kubembeleza na mwisho wanakwamishana wenyewe
 
Ukilazimisha mambo yanaenda, miradi ya bukoba haitakiwi kupitia kwa wanasiasa maana wanakaa kubembeleza na mwisho wanakwamishana wenyewe
Yes...hata huo mji inabidi daladala zirudishwe...wakijemga hiyo dual carriageway wasisahau kujenga vituo vya daladala
Mambo ya kukumbatia bodaboda ni siasa tu...
 
Upuuzi tu, maigizo haya, wakirudi Bungeni wanapitisha sheria za ovyo dhidi ya wananchi huku wao wakijiongezea kinga.
 
Bukoba kuna majungu sana miaka na miaka. Sina hakika kama Byabato atarudi 2025. Cha msingi akomae atukamilishie hiyo miradi
Kiukweli Kuna Majungu, Misifa, kuharibiana na kupenda Kesi Mpaka Siyo Poa. Kule Mtu anaenda kusoma Sheria ili tu ashinde mahakamani kubishania kesi; anaweza akatengeneza Mgogoro wa kimpaka ili tu mfikishane mahakamani ili mkaoneshane uwezo wa Kisheria. Hawa Watu Wanajua kuumba Majungu yenye mpaka ushahidi wa Uongo. Mfano unaweza ukawa Kwenye Kijiwe cha kahawa unakunywa Kahawa lakini wakakuzushia kuwa kwenye Kijiwe cha kahawa unakunywa Gongo.
Hawa Inshomile ni laana kila Kona na Usipmbe hata kufanya kazi nao lazima Ujute kuzaliwa lazima akuharibie tu😂😂😂😂.
NB: Hata Hapa Mtandaoni Mtu anaweza akatafuta Kesi kutengeneza Kosa la Kimtandao wacha nikimbie nikajifiche😎😎😎
 
Huo mkoa haufai.Si wanawake si wanaume wote ni wanafiki na ni wapiga Majungu.Mkoa hauendelei miaka nenda rudi uko vile vile hata mh mchengelwa alipoutembelea mkoa huo aliushangaa ulivyo duma.hao ndo akina nshomile bwana.
 
Huo mkoa haufai.Si wanawake si wanaume wote ni wanafiki na ni wapiga Majungu.Mkoa hauendelei miaka nenda rudi uko vile vile hata mh mchengelwa alipoutembelea mkoa huo aliushangaa ulivyo duma.hao ndo akina nshomile bwana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti hauendelei labda ungetuambia Kagera inazidiwa nini na mikoa mingine??
 
Nahisi kuna waislamu wengi zaidi ya wakristu.Huyo atakuwa anapigwa majungu sababu mojawapo ni udini.
 

Mbunge Mzuri Sana lakini anaoponzwa Sana na kubebwa na magufuli. , alikuwa wa nne kwenye kura za maoni …Huyu kazidi pengine anamkaribia Phillip Mulogo ambaye yeye aliamua kugalagala .
UKIACHA waliopiga Magoti kama Yule wa karagwe ……

Ni wazi wabunge ambao walibebwa na magu wana kazi Ngumu Sana kama hawatakubali kusimama wenyewe kwa Miguu Yao na kutegemea kubebwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…