white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Kwani kwa sasa sio mto tena yaani umejaa mchanga, ni tishio kwa wakazi wa bukoba!! Mvua kidogo tu maji yamesambaa kwenye majumba, basi itakuwa heri.Upo kwenye mradi wa tactic unaoanza mwakani...
Huo mto utajengewa
Ukilazimisha mambo yanaenda, miradi ya bukoba haitakiwi kupitia kwa wanasiasa maana wanakaa kubembeleza na mwisho wanakwamishana wenyeweSubiri baada ya miezi sita...mkandarasi yuko site...
Kwanza a big win ni kufanikiwa kuondoa mabus na magari yote kutoka pale...sijui walifanyaje aisee
Maana ilikuwaga mgogoro mkubwa sana...
Sasa leo wako wanajenga na watu wako site
Ni vilaza tu...ona walivyofeli kuendesha nchi...BRT, SGR, umeme, maji kote pameoza...kwa nini tusiwaite vilaza?Tufanye hivi,Wasomi ni Wahaya Ili Mjadala uishe
Yes...hata huo mji inabidi daladala zirudishwe...wakijemga hiyo dual carriageway wasisahau kujenga vituo vya daladalaUkilazimisha mambo yanaenda, miradi ya bukoba haitakiwi kupitia kwa wanasiasa maana wanakaa kubembeleza na mwisho wanakwamishana wenyewe
Upuuzi tu, maigizo haya, wakirudi Bungeni wanapitisha sheria za ovyo dhidi ya wananchi huku wao wakijiongezea kinga.Mbunge wa Bukoba wa Mjini na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa anaongea na wakazi wa jimbo wakati akikabidhi mkataba wa ujenzi wa Standi Kuu ya Mabasi hilo amelalamikia majungu yanayoendelea Bukoba Mjini ambayo yanakwamisha maendeleo ya manispaa hiyo kwa miaka nenda rudi.
Baadhi ya miradi ambayo imekuwa ikikwamishwa na wanasiasa kwa maslahi binafsi ni pamoja na Stendi Kuu ya Mabasi Bukoba na Barabara ya Nyangoye ambayo imekuwa ikisababisha vifo na vilema kwa miaka nenda rudi.
Akiongea kwa machungu sana mpaka kupelekea kulia na kupiga magoti anadai kusaidia Bukoba kutekeleza hiyo miradi kwanini iwe NONGWA kwake? Kwanini aanze kupigwa majungu. Ameendelea kudai kuwa atahakikisha miradi hiyo inatekelezwa hata akinyimwa Ubunge 2025 lakini wananchi wakiona miradi hiyo watamkumbuka 'Ni Byabato Omsigazi Tukamwima Obubunge, chonka akabikola'(Ni kijana Byabato Tulimnyima Ubunge lakini aliifanya kazi)
Amesema aliomba ujenzi wa barabara ya Nyangoye, wataalamu wakaja wakafanya upembuzi yakinifu na kupendekezwa upanuzi wa barabara njia nne, na kaya 20 zitalipwa fidia ili kutekeleza mradi huo. Anashangaa kwanini anapigwa majungu!
Amesema kama ni Ubunge 2025 wauchukue lakini wanabukoba wasikwamishane bila Sababu. Ili kuonesha msisitizo wa anachokisema, Naibu Waziri huyo aliamua kupiga magoti na kulia, kabla ya kunyanyuliwa na wananchi.
Amezidi kusema wanabukoba tulimpa ubunge miaka mitano basi tumwamini tuache afanye kazi, hawezi kuacha kujenga Stendi, Barabara na Soko kisa atakosa Ubunge 2025. Anasema bora atekeleze hiyo miradi ili akose ubunge 2025 lakini atakumbukwa na wanabukoba. Kama shida ni ujenzi wa Stendi nzuri Bukoba Mjini.
View attachment 2784184
Tatizo wanasiasa wenyewe ndo wanapigana fitinaYes...hata huo mji inabidi daladala zirudishwe...wakijemga hiyo dual carriageway wasisahau kujenga vituo vya daladala
Mambo ya kukumbatia bodaboda ni siasa tu...
Wewe ni mzima kichwani?Ni vilaza tu...ona walivyofeli kuendesha nchi...BRT, SGR, umeme, maji kote pameoza...kwa nini tusiwaite vilaza?
Kiukweli Kuna Majungu, Misifa, kuharibiana na kupenda Kesi Mpaka Siyo Poa. Kule Mtu anaenda kusoma Sheria ili tu ashinde mahakamani kubishania kesi; anaweza akatengeneza Mgogoro wa kimpaka ili tu mfikishane mahakamani ili mkaoneshane uwezo wa Kisheria. Hawa Watu Wanajua kuumba Majungu yenye mpaka ushahidi wa Uongo. Mfano unaweza ukawa Kwenye Kijiwe cha kahawa unakunywa Kahawa lakini wakakuzushia kuwa kwenye Kijiwe cha kahawa unakunywa Gongo.Bukoba kuna majungu sana miaka na miaka. Sina hakika kama Byabato atarudi 2025. Cha msingi akomae atukamilishie hiyo miradi
Mimi nashauri haya mambo ya siasa sijui kuchaguliwa yatolewe tu...hayana faida kwetu n upotevu muda....Tatizo wanasiasa wenyewe ndo wanapigana fitina
Utakuwa hujakutana na Warangi.Mkuu wa mkoa chalamila aliwahi kulalamika mkoa wa Kagera na MAJUNGU huu ndiyo mkoa unaongoza Kwa unafiki kutokana na WENYEJI WA MKOA HUU WA KAGERA. Omba MUNGU jirani yako asiwe MHAYA hawa jamaa ni za HAMAS
Naongea BRT phase 2 mbona haifunguliwi...BRT phase watu wanakaa vituoni masaa 3Wewe ni mzima kichwani?View attachment 2784463
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti hauendelei labda ungetuambia Kagera inazidiwa nini na mikoa mingine??Huo mkoa haufai.Si wanawake si wanaume wote ni wanafiki na ni wapiga Majungu.Mkoa hauendelei miaka nenda rudi uko vile vile hata mh mchengelwa alipoutembelea mkoa huo aliushangaa ulivyo duma.hao ndo akina nshomile bwana.
Jamaa ni nomaMi huwa wananiacha hoi kujifanya wanajua kila kitu
Hawana akiliJamaa ni noma
Nahisi kuna waislamu wengi zaidi ya wakristu.Huyo atakuwa anapigwa majungu sababu mojawapo ni udini.Wahaya na majungu, unafiki, umbea wa mambo yasiyowahusu ni pete na kidole.
Bado wanaamini kwenye kusomesha watoto wapate ajira sio wajiajiri, bukoba mtoto kufika chuo kwao bado ni ufahari pasipo kuwaza what next after chuo.
haya LAND Mhaya Mhaya wa mjini badilikeni ndugu
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mbunge wa Bukoba wa Mjini na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa anaongea na wakazi wa jimbo wakati akikabidhi mkataba wa ujenzi wa Standi Kuu ya Mabasi hilo amelalamikia majungu yanayoendelea Bukoba Mjini ambayo yanakwamisha maendeleo ya manispaa hiyo kwa miaka nenda rudi.
Baadhi ya miradi ambayo imekuwa ikikwamishwa na wanasiasa kwa maslahi binafsi ni pamoja na Stendi Kuu ya Mabasi Bukoba na Barabara ya Nyangoye ambayo imekuwa ikisababisha vifo na vilema kwa miaka nenda rudi.
Akiongea kwa machungu sana mpaka kupelekea kulia na kupiga magoti anadai kusaidia Bukoba kutekeleza hiyo miradi kwanini iwe NONGWA kwake? Kwanini aanze kupigwa majungu. Ameendelea kudai kuwa atahakikisha miradi hiyo inatekelezwa hata akinyimwa Ubunge 2025 lakini wananchi wakiona miradi hiyo watamkumbuka 'Ni Byabato Omsigazi Tukamwima Obubunge, chonka akabikola'(Ni kijana Byabato Tulimnyima Ubunge lakini aliifanya kazi)
Amesema aliomba ujenzi wa barabara ya Nyangoye, wataalamu wakaja wakafanya upembuzi yakinifu na kupendekezwa upanuzi wa barabara njia nne, na kaya 20 zitalipwa fidia ili kutekeleza mradi huo. Anashangaa kwanini anapigwa majungu!
Amesema kama ni Ubunge 2025 wauchukue lakini wanabukoba wasikwamishane bila Sababu. Ili kuonesha msisitizo wa anachokisema, Naibu Waziri huyo aliamua kupiga magoti na kulia, kabla ya kunyanyuliwa na wananchi.
Amezidi kusema wanabukoba tulimpa ubunge miaka mitano basi tumwamini tuache afanye kazi, hawezi kuacha kujenga Stendi, Barabara na Soko kisa atakosa Ubunge 2025. Anasema bora atekeleze hiyo miradi ili akose ubunge 2025 lakini atakumbukwa na wanabukoba. Kama shida ni ujenzi wa Stendi nzuri Bukoba Mjini.
View attachment 2784184
Kwani imefanya nini? Kama Ina marekebisho itafunguliwaje?Naongea BRT phase 2 mbona haifunguliwi...BRT phase watu wanakaa vituoni masaa 3