Huo ni unafiki wao wa kutukana masikiniHalafu kanichefua alipochomekea eti "mtoto wa masikini Mpango anapita" hawa watu ndo maana miaka na miaka bado wametuweka utumwani maana hawana akili wala utashi wa kuchukia umasikini. Mtu kujiita maskini anaona sifa sana alale kwenye nyumba ya tembe basi.
Nadhani Mzee Filipo kabla ya kuongea hoja yake, alitakiwa aulizane na wataalamu wa usalama kwa nini wanataka barabara iwe wazi, na jinsi gani yeye akiwa anataka kupita sehemu, basi apite kwa wakati aliowaahidi Polisi. Kuliko achelewe na apite nje ya ratiba aliyoahidi wana usalama, halafu alalame
Zile confidence za enzi za corona kukataa chanjo na kuacha kuvaa barakoa, tuliona matokeo yake, pia taifa lina kumbukumbu ya ajali ya Edward Moringe Sokoine, taifa haliko tayari kurudia makosa.
Nadhani ujamuelewa.
Kuna magari yanasimamishwa muda mrefu hata masaa 4 wakati hata msafara aujaanza kuondoka.
Kuna siku nilishangaa tulisimamishwa kwenye highway kwa masaa 2 sababu ya mwenge wa uhuru alafu mwenge wenyewe ulikuwa unatokea kwenye barabara ya vumbi unakwenda kama mita 500 kutoka kona ya barabara ya vumbi kuingi kwenye highway hadi kwenye jengo nadhani kulikuwa na uzinduzi.
Wale askari niliwashangaa sana, nikasema uwezo wao wa kufikiri na kufanyakazi ni finyu.
Dokta wa uchumi anazeeka na umasikini, tena akiwa kiongozi namba mbili wa kitaifa, Waziri wa miaka mingiHalafu kanichefua alipochomekea eti "mtoto wa masikini Mpango anapita" hawa watu ndo maana miaka na miaka bado wametuweka utumwani maana hawana akili wala utashi wa kuchukia umasikini. Mtu kujiita maskini anaona sifa sana alale kwenye nyumba ya tembe basi.
Nchi Ina amani, lakini haiondoi ukweli kwamba Mdude Nyagali alishawahi kuahidi mitandaoni kwamba ana hamu ya kujilipua kama Al-Qaeda au Al-Shaabab, na kwamba anatafuta timing tuMnapoiambia Dunia kuwa TANZANIA ni kisiwa Cha AMANI, Huwa mnamaanisha nini?
Kiongozi wa wananchi akipita spidi ni 120. Yaani anakimbizwa Kasi kuzidi AMBULANCE ya kuwahisha wagonjwa.!!!!
Jiji kama Mwanza kuzuia Kwa 4hrs Si sawa.
Viongozi wa Nchi MASKINI wanalindwa kuliko msafara wa kusafirisha PESA.
Hii Si sawa.
Kwahyo unataka kusema yeye kaongea bila kuyajua yote hayo?!Nadhani Mzee Filipo kabla ya kuongea hoja yake, alitakiwa aulizane na wataalamu wa usalama kwa nini wanataka barabara iwe wazi, na jinsi gani yeye akiwa anataka kupita sehemu, basi apite kwa wakati aliowaahidi Polisi. Kuliko achelewe na apite nje ya ratiba aliyoahidi wana usalama, halafu alalame
Zile confidence za enzi za corona kukataa chanjo na kuacha kuvaa barakoa, tuliona matokeo yake, pia taifa lina kumbukumbu ya ajali ya Edward Moringe Sokoine, taifa haliko tayari kurudia makosa.
Hujui ulisemalo ngoja nikusamehe tuNadhani Mzee Filipo kabla ya kuongea hoja yake, alitakiwa aulizane na wataalamu wa usalama kwa nini wanataka barabara iwe wazi, na jinsi gani yeye akiwa anataka kupita sehemu, basi apite kwa wakati aliowaahidi Polisi. Kuliko achelewe na apite nje ya ratiba aliyoahidi wana usalama, halafu alalame
Zile confidence za enzi za corona kukataa chanjo na kuacha kuvaa barakoa, tuliona matokeo yake, pia taifa lina kumbukumbu ya ajali ya Edward Moringe Sokoine, taifa haliko tayari kurudia makosa.
NakaziaaaaTuna mambo ya hovyo sana.
Nchi hii, kwa kiasi kikubwa, umaskini unachangiwa na Serikali na watendaji wake.
Serikali haioni thamani ya muda. Kuna wakati nakumbuka nilikuwa Mwanza. Saa 9 alasiri tumesimamishwa Nyegezi kupisha msafara wa Waziri Mkuu. Muda huo wa saa 9, Waziri Mkuu alikuwa Shinyanga. Halafu alipotoka Shinyanga akasimama Misungwi kuwasalimia wananchi.
Mwanza alifika saa 12.30 jioni
Yaani zaidi ya masaa 3 wananchi wamesimamishwa eti kupisha msafara wa Waziri Mkuu.
Fikiria watu wamesimamishwa tokea Nzega mpaka Mwanza. Ni watu elfu ngapi. Kama watu ni watu 10,000 shughuli zao zimesimama, na kama kila mmoja anaingiza sh 20,000 kwa saa, ina maana ni sawa na 20,000 x 3 x 10,000 = 600,000,000. Hiyo ni kwa siku 1 na kwa kiongozi mmoja. Bado kuna Rais, Makamu wa Rais, siku hizi mpaka makamanda wa polisi wakipita mnasimamishwa. Kwa mwaka, mambo haya ya ajabu yanaliingizia Taifa hasara kiasi gani?
Nadhani tatizo kubwa ni uwezo mdogo wa Polisi wa kufikiri na kupanga. Kinachofanyika hakistahili kuwa hivyo. Uwekwe utaratibu ambao utazuia kuwasimamisha wananchi zaidi ya nusu saa kupisha misafara ya viongozi wa kitaifa.
Huu upuuzi haupo kwenye mataifa yaliyoendelea. Sisi maskini tuliotakiwa kuutumia muda vizuri zaidi, ndiyo tunaoongoza katika kutothamini muda. Umaskini wa kichwani unatufanya kuwa maskini wa kila kitu, isipokuwa kuzaliana..
Na unaweza kuona huyu mtoa mada ni Polisi. Ina maana mpaka sasa hata haelewi kama inavyofanyika ni upuuzi wa hali ya juu.Na wananchi wenye mawazo kama mtoa mada pia ni wengi
Umaskini wa akili inaigharimu sana Afrika.Nadhani ujamuelewa.
Kuna magari yanasimamishwa muda mrefu hata masaa 4 wakati hata msafara aujaanza kuondoka.
Kuna siku nilishangaa tulisimamishwa kwenye highway kwa masaa 2 sababu ya mwenge wa uhuru alafu mwenge wenyewe ulikuwa unatokea kwenye barabara ya vumbi unakwenda kama mita 500 kutoka kona ya barabara ya vumbi kuingi kwenye highway hadi kwenye jengo nadhani kulikuwa na uzinduzi.
Wale askari niliwashangaa sana, nikasema uwezo wao wa kufikiri na kufanyakazi ni finyu.
Inashangaza sana mkuu, mtu ana uhakika wa kuhudumiwa yeye na familia yake, kwa kodi zetu mpaka anakufa,Dokta wa uchumi anazeeka na umasikini, tena akiwa kiongozi namba mbili wa kitaifa, Waziri wa miaka mingi
Mshahara haumfanyi mtu kuwa tajiri, labda awe mwizi.Dokta wa uchumi anazeeka na umasikini, tena akiwa kiongozi namba mbili wa kitaifa, Waziri wa miaka mingi
Kweli kabisa, kuna siku wamefunga barabara lisaa na nusu alafu kuna mahali nilikuwa nawahi nilikerekwa sanaHata dakika 20 sio mbaya lakini masaa hiyo sio sawa kabisa ! Ni uonevu !!
Wanatukwamisha sana ila watasema ni mambo ya kiprotokaliTatizo kujimwambafy ... Mtawajuaje kuwa wao ni vipenyo sasa?
Haa Siasa Mfu Iliyochoka Wabongo Wanaburuzwa TuSiasa ya tz inaitaji kufanyiwa re, installation