Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Nadhani ujamuelewa.
Kuna magari yanasimamishwa muda mrefu hata masaa 4 wakati hata msafara aujaanza kuondoka.
Kuna siku nilishangaa tulisimamishwa kwenye highway kwa masaa 2 sababu ya mwenge wa uhuru alafu mwenge wenyewe ulikuwa unatokea kwenye barabara ya vumbi unakwenda kama mita 500 kutoka kona ya barabara ya vumbi kuingia kwenye highway hadi kwenye jengo nadhani kulikuwa na uzinduzi.
Wale askari niliwashangaa sana, nikasema uwezo wao wa kufikiri na kufanyakazi ni finyu.
Kuna magari yanasimamishwa muda mrefu hata masaa 4 wakati hata msafara aujaanza kuondoka.
Kuna siku nilishangaa tulisimamishwa kwenye highway kwa masaa 2 sababu ya mwenge wa uhuru alafu mwenge wenyewe ulikuwa unatokea kwenye barabara ya vumbi unakwenda kama mita 500 kutoka kona ya barabara ya vumbi kuingia kwenye highway hadi kwenye jengo nadhani kulikuwa na uzinduzi.
Wale askari niliwashangaa sana, nikasema uwezo wao wa kufikiri na kufanyakazi ni finyu.