Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Anamshukuru kwa kushindwa kumtanguliza ahera bila shuruti...Na TL kamtuma mama Samia , kasema kamsalimie Rais, kamwambie NASHUKRU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamshukuru kwa kushindwa kumtanguliza ahera bila shuruti...Na TL kamtuma mama Samia , kasema kamsalimie Rais, kamwambie NASHUKRU.
Mkuu hilo swali siyo muhimu sana kwa sasa. Ameenda kumwona japo amechelewa sana...! Better late than never!Alikuwa wapi cku zote
Ni neno zito sana kumwambia mtu unayeamini ndo chanzo cha madhira yaliyokukuta, NASHUKRU.Anamshukuru kwa kushindwa kumtanguliza ahera bila shuruti...
Hivi huyu hawezi kutumbuliwa?[emoji275]
Hata Yesu aliwasamehe watesi wake...Ni neno zito sana kumwambia mtu unayeamini ndo chanzo cha madhira yaliyokukuta, NASHUKRU.
Sadist mko wengi tu siyo peke yako!Serikari imekosea sana wangemwacha huyo Lisu apambane mwenyewe na hali yake
Totally disappointed with this information
Haina maana yoyoteMkuu hilo swali siyo muhimu sana kwa sasa. Ameenda kumwona japo amechelewa sana...! Better late than never!
Hana jeuri ya kumtumbua huyu mama kachaguliwa mgombea mwenza. Nampenda sana huyu MamaUzuri hawezi kutumbuliwa...... Jamaa atakuwa kanuna leo hata tonge halitashuka!!
Teh teh teh teh teh...bado una la nyongeza?Mama samia na mabalozi ni serikali ya ccm chini ya magufuli! je hawawezi kuwa na vibastola wakammalizia Lissu?
kuna wakati chuki ikizidi inapofua ufahamu wetu!
Bado ninaamini mhusika wa tukio yuko huru wala hajawaziwa, huyu muuaji anafurahia sana mawazo yenu maana mnawaza upande mmoja
mimi siko kama hao!
Taratibu, issue inaanza kuwa dissolved mtu pekee ambaye angemsaidia Lissu ni Magufuli tu! Lissu atabaki peke yake, kuwa serikali ilihusika haitakuwa na nguvu tena, 'mhusika halisi yuko huru'
Magufuli is innocent, I repeat Magufuli is innocent
pia ni muda wa kuweka evidences kwa tuhuma zozote zile
Ahahaha naona kile kipara Leo kitakwanguliwa chini mithili ya nguruwe pori akifakamia mihogo shambani..Huyu mama leo amemuongezea frustration mtakatifu wa chato!
Ipo, lakini siwezi kubishana na msimamo wako.Haina maana yoyote
Akihojiwa na gazeti la Financial Times Lissu amemtaja Rais Magufuli ndiye mhusika mkuu wa kushambuliwa kwake mwisho wa kunukuu.TL amemshukuru sana rais lakini nyie makarai mnapiga kelele na kupayuka hovyo huku mmejificha nyuma ya keyboard. Kazi mnayo.
Hata mm nimejiuliza hlo suala...isije kuwa katumwa kummalizia....ibada njema kutembelea wagonjwa...lakini vipi kama kusingekuwa na sherehe za kuapishwa Uhuru?
Haiwezekani atume watu wampige risasi halafu mtu huyo huyo atume tena wa kumpa pole, never, huyo lazima atakuwa shetani.bawacha kwani makamo wa rais alikwenda kenya kwa niaba ya nani?
Lete hilo gazet hapaAkihojiwa na gazeti la Financial Times Lissu amemtaja Rais Magufuli ndiye mhusika mkuu wa kushambuliwa kwake mwisho wa kunukuu.
Pindi hayupo Nairobi kuwakilisha watu wa Singida bali WatanzaniaIna maana kumbe tuna balozi huko? mbona sikuzote hakwenda?
tena pindi chana huyu si mtu w asingida huyu na lissu si ndugu yake kabisa au ?