Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Hakuna uungwana wowote wa Pindi Chana !! Bali unafki uliopitiliza.Huu ndio utu na ubinaadamu, Mungu ambariki sana huyu mama.
Yaani huyu balozi wetu Dr. Pindi Chana, she used to be a very confident lady, sijui confidence yake imepotelea wapi hadi kushindwa kumtembelea Lissu siku zote hizi, lazima Balozi ajisikie aibu, yeye yuko Nairobi kumtembelea Mtanzania, Mbunge, Rais wake wa TLS (Pindi ni Lawyer), Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, ni mpaka VP aje ndipo na yeye aende kumuona Lissu!.
All and all, better late than never.
Wamefanya uungwana mkubwa.
Paskali.
Labda Samia ametumia nafasi hiyo, kumuonyesha bosi wake na Ndugai uungwana ni kitu gani!!