Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Hakuna uungwana wowote wa Pindi Chana !! Bali unafki uliopitiliza.

Labda Samia ametumia nafasi hiyo, kumuonyesha bosi wake na Ndugai uungwana ni kitu gani!!
 
Akihojiwa na gazeti la Financial Times Lissu amemtaja Rais Magufuli ndiye mhusika mkuu wa kushambuliwa kwake mwisho wa kunukuu.
Na hapo hapo amemshukuru sana kupitia Mama Samia. Amemuomba amfikishie Mh. Rais asante zake za dhati. Nyie makarai endeleeni kuuguza maumivu ya kata moja na kumsikiliza dada yenu Mange.
 
Huyu mama mimi huwa namuelewaa sana anajari utu kwanza siasa tupa kule
 
Ukiachilia mbali cheo chake cha u-makamo wa u-Rais...

Wamama wana huruma sana...


Cc: mahondaw
 
Hivi balozi huyo ndiyo Mara yake ya kwanza kwenda hapo kumtembelea lissu!

Ova
Balozi hakwenda kumtembelea bali amemsindikiza VP(by order)angeshatumbuliwa kama angethubutu.Uzuri VP Samia haiwezekani kutumbuliwa kwakuwa ila inawezekana Balozi(just thinking loudly) akawa ameponzwa though my imaginations might be wrong.
 
Siri imevuja, ndio maana alisema hataenda kwa sababu zake binafsi...
Ninaimani kabisa endapo kama angeenda asingeweza kamwe kufanya alichofanya huyo mama..
Na ni lazima suala hilo lingezua mjadala mkubwa na mzito sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…