Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

HUYO PINDI CHANA SKU ZOTE HZO HAJAENDA? AU ANAOGOPA KUTUMBULIWA BILA GANZI

MAMA SAMIA SULUHU SISHANGAI KWA SABABU SJAWAH KUWA NA MASHAKA NAYE.

NA ANAJUA HATUMBULIKI.
 
Ama ukweli sisi Watanzani ni watu wajinga sana. Hivyo mnafikiria Raisi hana hiyo ratiba ya makamu wake, na siajabu wameipanga wote. This is a planned visit.
 
NASHAURI JESCA LEO ALALE MAPEMA HASIRA ZA DINGI ZISIJE ZIKAISHIA KWAKE.
 
Wala hatofukuzwa ..... katumwa kwenda.
Alitumwa kumuwakilisha raisi kwenye inauguration ya "uhuruto" ambapo mapokezi yalikuwa mediocre. Kwenda kumuona lissu ilikuwa no jambo jema hata kama silo lililompeleka huko!
 
hahahahahaha bawacha bhana kwani makamo wa Rais amemuwakilisha nani kenya? mnafikiri hiyo ziara haikupangwa?
bila amejuzwa matokeo ya kata 43
Yani ww lijamaa huwa nikionaga komentzako tu .nasema hili lishetani tena hilo .Mungu anisamehe kama huwa nakuhukum kukuona kama shetani kama kweli ww nibinadam mwenzangu.
 
Kwa haya mliyoyafanya kwenye chaguzi za udiwani madhani alienda kukejeli tu
 
Hii ndiyo Tanzania tunayoijua kwa nini lakini kupigana risasi
Tundu Lissu wewe ni muungwana sana
Mama Samia hata kama umetumwa bado umeonyesha kujali kwako umeonyesha huruma yako Ni wewe uliyebakia kuirejesha TANZANIA aliyotuachia Mwalimu Nyerere.
Mungu akulinde katika kazi yako
Umewatendea haki Watanzania
Asante sana Mama!
 
Hakuna mareefu yasiyo na ncha ndugu yangu kwa kusema hivo yeye sio kwamba ataishi milele naye ataingia kwenye jeneza la saizi yake when the time comes ..halafu watu watakusahau hata kukumbuka jina lako litasahaulika kama hukuepo vile mana unaumiza wengi
 
Ama ukweli sisi Watanzani ni watu wajinga sana. Hivyo mnafikiria Raisi hana hiyo ratiba ya makamu wake, na siajabu wameipanga wote. This is a planned visit.
Sio watanzania wote bali hayo makarai tu. Ndio maana yanatwangwa kwenye uchaguzi kwa sababu yanapenda propaganda potofu za da'Mange. Na yataendelea kugalagazwa chaguzi zijazo kama hayatajitafakari kwa kina.
 
Aisee nanusaa jambo kubwa kutokea juu ya uamzi huu
 
Wamerudi wamenenepa.unataka kusema hawa ulowataja wananjaa yachakula kule ndo walikuwa wananakula vizuri .watu walikuwa wanamuuguza nduguyetu kapigwa marisasi kibao .ww unaropoka eti wamerudi wamenenepa .
Hivi wakiambiwa watu wenye akilitimamu watoke mbele naww utatoka ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…