TL amemshukuru sana rais lakini nyie makarai mnapiga kelele na kupayuka hovyo huku mmejificha nyuma ya keyboard. Kazi mnayo.
Mama amefanya jambo la kiungwana sana.
And what about you?Tell me… Is being stupid a profession or are you just gifted?
Na mahojiano ya Lisu na Financial Times yzmechapushwa leo mkuu.Moja ya sababu ya uchwara kuhofia kwenda Kenya leo na pia kuhofia kuzomewa na Wakenya kufuatia masakata ya ng’ombe na vifaranga.
Ina maana kumbe tuna balozi huko? mbona sikuzote hakwenda?
tena pindi chana huyu si mtu w asingida huyu na lissu si ndugu yake kabisa au ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sijaona hiyo hbr ndo maana nkaomba uleteMke wangu anitume na wewe unitume, nimeshakuambia ni Financial Times inatosha.
Wala hatofukuzwa ..... katumwa kwenda.
Atabembelezwa na queen mpya mama ma gemstones!nasikia kajaa tele mjengoni na kichanga chake!Uzuri hawezi kutumbuliwa...... Jamaa atakuwa kanuna leo hata tonge halitashuka!!
Yah inawezekana hizi ndizo personal problems, hawezi kukutana na mtu anayemtuhumu.Siri imevuja, ndio maana alisema hataenda kwa sababu zake binafsi...
Ninaimani kabisa endapo kama angeenda asingeweza kamwe kufanya alichofanya huyo mama..
Na ni lazima suala hilo lingezua mjadala mkubwa na mzito sana...
Uko sahihi kabisa, na baada ya kumuona Lissu,nafsi yake imeumia sana sanaMimi nimefarijika kiasi kuona kiongozi namba mbili kitaifa kwenda kumuona Mh Lissu.
Ila nina ulakini na kumuona kwake kwa sababu moja tu,ambayo hakuwa na dhamira ya dhati ya kwenda kumuona Lissu hospitali bali alichepuko baada ya kumaliza mambo yake ya msingi yaliyompeleka huko.
Kama nimekosea nisamehe bure.
Tuwekee na hapa hayo mahojianaNa maji jirani ya Lisu na Financial Times yzmechapushwa leo mkuu.
Tokea alhamis ikulu ilitoa press release ilijulikana yeye ndiye angehudhuria ratiba imebadilika kwa tweet yake ya leo usiku.Ama ukweli sisi Watanzani ni watu wajinga sana. Hivyo mnafikiria Raisi hana hiyo ratiba ya makamu wake, na siajabu wameipanga wote. This is a planned visit.
Mbona nimeyaweka tayari nichelewe tena.Tundu Lissu says John Magufuli is trying to turn country into a dictatorshipTuwekee na hapa hayo mahojiana
Hata mimi nimejiuliza hilo swali kuhusu huyo balozi wetu huko nairobi...Hivi balozi huyo ndiyo Mara yake ya kwanza kwenda hapo kumtembelea lissu!
Ova