Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kachaguliwa kama Raisi alivyochaguliwaHivi huyu hawezi kutumbuliwa?[emoji275]
Huu ndio utu na ubinaadamu, Mungu ambariki sana huyu mama.Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Novemba 28, 2017 amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyelazwa Hospitali ya Nairobi nchini hapa.
Msafara wa Samia umefika hospitalini hapa saa 11.43 jioni akiwa ameambatana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk Pindi Chana.
Mwananchi lililokuwapo hospitalini hapo wakati Mama Samia, Balozi Chana na maofisa wengine wakiwasili hospitalini hapo.
Lissu amelazwa hospitalini hapo akiuguza majeraha ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 aliposhambuliwa Septemba 7 akiwa nyumbani kwake, Area D mjini Dodoma.
Makamu wa Rais amefika hospitalini akiwa njiani kurudi Tanzania baada ya asubuhi kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Rais Uhuru Kenyatta.
Samia anakuwa kiongozi mkuu wa kwanza wa Serikali ya Tanzania kumtembelea Lissu hospitali tangu alipolazwa usiku wa Septemba 7.
Kura zao chache sana, hazifikii hata zile za kibamba.Amtumbuwe aone moto.... ndio atawajua wazanzibar ni kina nani...
Kweli huyu maza huwa ana upendo na busara sana sema mfumo unamfanya kuonekana wa ajabu,same to Kassim Majaliwa!!!Katika hali ya kawaida huwa namuona Mama Samia kama anasifa nyingi sana za kuwa ni Top Tz maana hakuna sehemu anayopwaya ikifika kutumia busara. Nategemea kumuona 2020 akitupigania baada ya kuongozwa na mzalendo wa kweli JPm.
Huyu Dada ana mambo ya ajabu sana!!!Ina maana kumbe tuna balozi huko? mbona sikuzote hakwenda?
tena pindi chana huyu si mtu w asingida huyu na lissu si ndugu yake kabisa au ?
Ina maana kumbe tuna balozi huko? mbona sikuzote hakwenda?
tena pindi chana huyu si mtu w asingida huyu na lissu si ndugu yake kabisa au ?
Da Mange siyo? Ha ha haaaa!!!Ngoja nimskilize Kamanda Mbowe atasema nn kuhusu hii ishu.....
Da Mage hajapost Inst bado?
Maisha ya kufikili ni mabaya sanaNimeelewa why "sijibiwi hivyo" hajaenda Kenya leo