Ukiwa CCM, "ndugu" zako wanakuwa wanaCCM wenzako tu; the rest "mashetani"!Ina maana kumbe tuna balozi huko? mbona sikuzote hakwenda?
tena pindi chana huyu si mtu w asingida huyu na lissu si ndugu yake kabisa au ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa CCM, "ndugu" zako wanakuwa wanaCCM wenzako tu; the rest "mashetani"!Ina maana kumbe tuna balozi huko? mbona sikuzote hakwenda?
tena pindi chana huyu si mtu w asingida huyu na lissu si ndugu yake kabisa au ?
Pindi Chana ni mbena mkuu... njombe line...Ina maana kumbe tuna balozi huko? mbona sikuzote hakwenda?
tena pindi chana huyu si mtu w asingida huyu na lissu si ndugu yake kabisa au ?
Aende kufanya nini wakati jitu lenyewe lilikataa kushirikiana na serikali?Ina maana kumbe tuna balozi huko? mbona sikuzote hakwenda?
tena pindi chana huyu si mtu w asingida huyu na lissu si ndugu yake kabisa au ?
Mbona Pombe akitembelea aliyemshonea viatu utotoni mnaleta breaking news?Kwa hiyo kutembelea wagonjwa imekua breaking news siku hizi!!?
Mimi ni Mkristo ila tumezidi kwa Roho mbaya na kudhuru .. Waisilamu Swafi wana utu na wanachukia sana kumhudumu mtu..wanapenda haki na wanathamini sana wengine.. Nilikuwa Pemba nilijifunza mengi sana..Mama Samia Suluhu ni Muislam safi, hayupo katika kundi la wanafiq, mama Samia Suluhu ni mcha Mungu mzuri. Hawezi kwa namna yoyote, kwa jinsi anavyoiheshimu imani yake akahujumu chochote kuhusiana na afya ya Lissu. Nina amani kwa hili. Ni ishara njema kama taifa tukiwa na ushirikiano
Msilogwe kumuamini mwanaccm yeyote hata awe na cheo gani , Huyu mama aliyoyafanya kwenye BMK hatuwezi kuyasahau .Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Novemba 28, 2017 amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyelazwa Hospitali ya Nairobi nchini hapa.
Msafara wa Samia umefika hospitalini hapa saa 11.43 jioni akiwa ameambatana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk Pindi Chana.
Mwananchi lililokuwapo hospitalini hapo wakati Mama Samia, Balozi Chana na maofisa wengine wakiwasili hospitalini hapo.
Lissu amelazwa hospitalini hapo akiuguza majeraha ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 aliposhambuliwa Septemba 7 akiwa nyumbani kwake, Area D mjini Dodoma.
Makamu wa Rais amefika hospitalini akiwa njiani kurudi Tanzania baada ya asubuhi kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Rais Uhuru Kenyatta.
Samia anakuwa kiongozi mkuu wa kwanza wa Serikali ya Tanzania kumtembelea Lissu hospitali tangu alipolazwa usiku wa Septemba 7.
Aisee kwa hiyo Gari letu brand name yake ni Sizonje na Dereva wetu ni Lissu The Great?I wish niione sura ya gari letu font ford baada ya dereva wetu kuonana uso kwa uso na Mama Suluhu!!!
Btw Mama kacheza baada ya ukakasi wa kupokelewa na balozi wetu na huku kwenye uzi pale Nyayo stadium kufanywa kama nobod!!
Nyie @ kitu ni siasa tuuu!! Kwani kumsalimia kunahusu nn na kusema utu nani hana utu nchi hii?Safi sana Mama,utu kwanza siasa baadae.
Na CCM imeambulia NGAPI(kwa mujibu wa sanduku la kura-SIYO kwa mujbu wa watangaza matokeo)?Kati ya kata 40 na kitu chadema imeambulia moja
Inawezekana alienda sio mpaka watamgaze balozi mtu mdogoIna maana kumbe tuna balozi huko? mbona sikuzote hakwenda?
tena pindi chana huyu si mtu w asingida huyu na lissu si ndugu yake kabisa au ?
Ukienda nchi yeyote cha kwanza unatakiwa kuripoti ubalozini na kujiandikisha akina mbowe na hilo group LA dereva na hao wala ruzuku ya Chadema na michango ya kuuguza Lisu walipofika walienda ubalozi kuripoti? Na kujisajili passport zao na uwepo wao na uwepo wa mgonjwa Nairobi kama sheria zinavyotaka?Hivi huyo Barozi amewahi kwenda kumuona au kagongea lifti ya mama?
Kama hajawahi kwenda kilichompeleka leo ni nn?
Kuna wakati huwa nawakubali sana waislamu, in short siyo waoga!.......sijasema Bakwata nimesema waislamu nieleweke vizuri hapo!Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Novemba 28, 2017 amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyelazwa Hospitali ya Nairobi nchini hapa.
Msafara wa Samia umefika hospitalini hapa saa 11.43 jioni akiwa ameambatana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk Pindi Chana.
Mwananchi lililokuwapo hospitalini hapo wakati Mama Samia, Balozi Chana na maofisa wengine wakiwasili hospitalini hapo.
Lissu amelazwa hospitalini hapo akiuguza majeraha ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 aliposhambuliwa Septemba 7 akiwa nyumbani kwake, Area D mjini Dodoma.
Makamu wa Rais amefika hospitalini akiwa njiani kurudi Tanzania baada ya asubuhi kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Rais Uhuru Kenyatta.
Samia anakuwa kiongozi mkuu wa kwanza wa Serikali ya Tanzania kumtembelea Lissu hospitali tangu alipolazwa usiku wa Septemba 7.