Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Shetani hawezi kutuma mtu kuona mgonjwa, never.
Hivi Chadema kwa nini hamjampongeza mshindi wa kiti cha udiwani Rungwe ambaye ni mshndi pekee. Acheni ubaguzi mtu kashinda nchi nzima peke yake hakuna upinzani ulioshinda zaidi ya yeye kutompongeza hadi saa hii kama ukawa au upinzani ni kitu gani
 
Ukienda nchi yeyote cha kwanza unatakiwa kuripoti ubalozini na kujiandikisha akina mbowe na hilo group LA dereva na hao wala ruzuku ya Chadema na michango ya kuuguza Lisu walipofika walienda ubalozi kuripoti? Na kujisajili passport zao na uwepo wao na uwepo wa mgonjwa Nairobi kama sheria zinavyotaka?
Kwani hospitali angeenda kumuona Mbowe au mgonjwa?

Lisu kajiandikisha leo ubalozini?
 
Mama ana busara sana. Boss wake lazima anajua. She is very smart lady...she will never try to outshine her boss
 
Kwa hiyo Pindi Chana alikuwa anamsubiri mama Samia!? Mbona serikali hii ina chuki sana na unafki mwingi?!!!


Pindi Chana angeenda kufuata nini wakati mlishatangaza hamtaki msaada kutoka serikalini na mahusiano na watu wa serikali

So kama ni chuki wahoji kwanza Lisu mwenyewe, Familia yake na CHADEMA


 
Kwani hospitali angeenda kumuona Mbowe au mgonjwa?

Lisu kajiandikisha leo ubalozini?
Mgonjwa yeyote mahututi huwa na escort MTU anayemsindikiza ni wajibu wa msindikizaji kwenda ubalozini kuripoti akiwa na documents za mgonjwa na yeye awe anajitibia private au kwa gharama za serikali.
 
Kwa sababu imekuwa kama ndoto mtu karibu ana miezi mitatu kitandani leo ndio unaenda kumtembelea, kwa hulka ya mtanzania na kibinadamu ni kama ajabu vile.
Majukumu jamani.... wewe ndugu zako wote unawatembelea??
 
Ofcoz amejiongeza..ametumia busara ya kibinadamu..japokua alienda Nairobi Kwa mualiko..lakini akaona si vibaya akaua ndege wawili Kwa jiwe moja.
 
Leo ndo nmeamin kwamba intelijensia ya cdm hovyo sn, imekuaje wakaruhusu?
 
..kilichomfanya mtu fulani asiende Nairobi ni uwepo wa Tundu Lissu huko.

.isingeleta picha mbaya sana kiongozi wa Tz kwenda Kenya na wasipite kumjulia hali Tundu Lissu.

..sasa msifikiri watu hawa wana huruma na Tundu Lissu kwani msimamo wao wa kumnyima matibabu uko palepale.

NB.

..kuna mwingine nimemsoma anadai msafara uliompeleka Lissu walipaswa kuripoti kwanza ubalozini.

..mimi nasema hapana. Walipaswa kuripoti HOSPITALI ili kumpatia matibabu ya haraka.
 
wapi ofisin kwa sizonje hapatamaniki huko . ni mwendo wa mateke . viti havitamaniki
Si nasikia analea??? Leo nyumba ndogo ikikaa vibaya itachezea kichapo...
 
CCM OYEE,
AKILI ZA KAWAIDA TUU BILA POVU..
MAKAMU WA RAIS KAMUAKILISHA NANI NCHINI KENYA!
JIULIZE HAPO PIA SI KAMUAKILISHA HUYO HUYO....AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
 
Back
Top Bottom