Hivi Chadema kwa nini hamjampongeza mshindi wa kiti cha udiwani Rungwe ambaye ni mshndi pekee. Acheni ubaguzi mtu kashinda nchi nzima peke yake hakuna upinzani ulioshinda zaidi ya yeye kutompongeza hadi saa hii kama ukawa au upinzani ni kitu ganiShetani hawezi kutuma mtu kuona mgonjwa, never.
Kwani hospitali angeenda kumuona Mbowe au mgonjwa?Ukienda nchi yeyote cha kwanza unatakiwa kuripoti ubalozini na kujiandikisha akina mbowe na hilo group LA dereva na hao wala ruzuku ya Chadema na michango ya kuuguza Lisu walipofika walienda ubalozi kuripoti? Na kujisajili passport zao na uwepo wao na uwepo wa mgonjwa Nairobi kama sheria zinavyotaka?
Kwa hiyo Pindi Chana alikuwa anamsubiri mama Samia!? Mbona serikali hii ina chuki sana na unafki mwingi?!!!
Lol.Mbona Pombe akitembelea aliyemshonea viatu utotoni mnaleta breaking news?
Hivi huyu hawezi kutumbuliwa?[emoji275]
Sizonje hana mamlaka hayo... vinginevyo huyu mama leo tungepata breaking news...Hivi huyu hawezi kutumbuliwa?[emoji275]
Mgonjwa yeyote mahututi huwa na escort MTU anayemsindikiza ni wajibu wa msindikizaji kwenda ubalozini kuripoti akiwa na documents za mgonjwa na yeye awe anajitibia private au kwa gharama za serikali.Kwani hospitali angeenda kumuona Mbowe au mgonjwa?
Lisu kajiandikisha leo ubalozini?
Majukumu jamani.... wewe ndugu zako wote unawatembelea??Kwa sababu imekuwa kama ndoto mtu karibu ana miezi mitatu kitandani leo ndio unaenda kumtembelea, kwa hulka ya mtanzania na kibinadamu ni kama ajabu vile.
Anaweza kupata ugonjwa wa "kolapshen"Huyu mama leo amemuongezea frustration mtakatifu wa chato!
Si nasikia analea??? Leo nyumba ndogo ikikaa vibaya itachezea kichapo...wapi ofisin kwa sizonje hapatamaniki huko . ni mwendo wa mateke . viti havitamaniki
Kwahiyo leo kashirikiana na serikali vichwa vingine mbona hola.Aende kufanya nini wakati jitu lenyewe lilikataa kushirikiana na serikari?
Mkuu hivi unafikiri angefika Kenya akarudi bila kumuona Lissu dunia si ndio ingesahihisha yale majibu iliyoyapigia mistari kabisa?Huyu mama akirudia ugombea wenza 2020 atakua na bahati sana.
TL anaweweseka tu. Ni kawaida kwa mgonjwa kufanya hivyo.Hii ni habari mbaya kwa baba jesika ukizingatia TL amemtaja baba j kama suspect number moja.