Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Spika jitahidi nawe uende kabla mgonjwa hajaruhusiwa, tena Ni poti wako huyo.
 
kwa mujibu wa ITV

"Mhe. Samia Suluhu Hassan amemfikishia salamu za pole kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye amemtakia matibabu mema na kupona haraka ili arejee nyumbani na kuendelea na majukumu yake".
 
Sijui aliomba ''go-ahead'' ya kufika hapo maana bwana yule akili zake anazifahamu mwenyewe.
 
Pindi Chana mnafiki tu, siku zote yuko Nairobi hajaenda akiogopa kutumbuliwa Leo kajikinga kwenye mgongo Wa Samia ili ionekane hakwenda rasmi ila alimsindikiza mkubwa wake. Tunakuchana Wewe Pindi Chana mnafiki mkubwa.


Wachane kwanza tobo mwenyewe, Familia yake, na CHADEMA ambao hawakushirikiana na ubalozi walipoingia Kenya

Na kwa kukataa ku socialize na watu wa serikali

 
Hongera Mama Samia kweli nimeamini mama ni mama
 
hahahahahaha bawacha bhana kwani makamo wa Rais amemuwakilisha nani kenya? mnafikiri hiyo ziara haikupangwa?
bila amejuzwa matokeo ya kata 43
 
Safi sana Mama,utu kwanza siasa baadae.
Ningemsifu kama safari yake ingekuwa ni ya kwenda kumwona Lissu tu. Kilichofanyika hapo ni kujivua aibu. Aende kwa lingine, halafu arudi bila kuona mgonjwa; asingeeleweka.
 
.
.


..kuna mwingine nimemsoma anadai msafara uliompeleka Lissu walipaswa kuripoti kwanza ubalozini.

..mimi nasema hapana. Walipaswa kuripoti HOSPITALI ili kumpatia matibabu ya haraka.
Sikatai sijasema Lisu alitakiwa kupelekwa kujiandikisha ubalozini akiwa na madrip hapana.Lisu alibebwa ndege ya hospitali yenye manesi na madaktari akiwa na genge LA watu kibao Ndani ya ndege na wala ruzuku na michango ya Lisu kibao waliokata miezi Nairobi akina mke wa Lisu, Mbowe Msigwa,Lema,dreva wa Mbowe,dreva wa Lisu,Msemaji wa.chadema hemed nk hao wote hakuwepo hata mmoja wa kubeba passport za wenzie wote na document za Lisu azipeleke kusajili ubalozini? Akina Msigwa na Mbowe wamerudi wamenenepa na vitambi walishindwa kupeleka documents miezi yote walikuwa wanafanya nini?Kaka yake Lisu pia kaenda kule tena mwanadheria mwingine ni Mdogo wake Lisu mhadhiri wa UDSM ameenda kule walushindwa kupeleka documents ubalozini? Balozi hapati taarifa barabarani.Chadema genge LA wahuni
 
Asilimia kuwa ya Wazanzibar wanaubinaadamu sana hawa wenzetu. Hawajazoea ukatili ni wanyenyekevu wanaojali utu hongera sana makamu wetu wa rais.
 
Hapo mwisho umesemaje???
 
Paskali sikuamini inapokuja kwa wapinzani, sikuamini, sikuamini, sikuamini Pascal Mayalla
 
TL amemshukuru sana rais lakini nyie makarai mnapiga kelele na kupayuka hovyo huku mmejificha nyuma ya keyboard. Kazi mnayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…