Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe

Nani mwenye mashaka na Lisu?? Mimi namuamini bwana Lisu 101%bashite ni hataree saana.
 
naunga mkono hoja ya kwamba muungwana yafaa apite hospitali husika Dodoma akacheki, yawezekana utaratibu wake wa fikra umeshake kidogo, na ndiyo maana haelewani kabisa na hata na viongozi waandamizi ndani ya chama chakeπŸ’

You think is stupid like the guy? Hivi milembe ni sawa na Mirembe?
 
πŸŽ―πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 

Makonda anadai tarehe 7 SEPT 2017 hakuwepo Dodoma, alikuwa Dar Es Salaam. Sasa inabidi tupate majibu yasiyo na shaka kama ni kweli, au uongo.

Makonda anaweza kuwa amehusika, lakini sio lazima kwamba alikuwepo Dodoma. Pia Makonda anaweza kuwa alikuwepo na hakuhusika. Na anaweza kuwa alikuwepo Dodoma, na alihusika.

Vilevile Makonda anaweza kuwa alikuwa Dar Es Salaam, ktk shughuli zake kama RC, na baadae akapanda ndege kwenda Dodoma kuwahi "shughuli" ya Tundu Lissu. KInachotakiwa ni ushahidi usiokuwa na mashaka.
 
Anasema hataki kumjibu, wakati tayari ameishamjibu na kumtaja jina . Uungwana angekaa kimya. Kama kuna ya ndani zaidi wataanzia hapo alipojitetea nao kuonyesha wanayoyajua. Waungwana walisema kunyamaza ni jibu.
Mimi nafikiri Watanzania wanaomuamini huyu Zerobrain BASHITE ndiyo wapumbavu. Waache waendelee kutumika. Mtu aliyeshindwa hata kupata D mbili kwenye NECTA hawezi kuwa na fikra chanya. Ukiangalia tu sura ya Bashite na alivyojaza msambwanda hakuna namna anaweza kuwa na akili kichwani
 

Hope atakuwa na majibu kwenye court of law kwa sasa ataspin tu kama kawaida!
 
Nyie kweli ni Viongozi wa uma gentleman πŸ’
Ndrugu zango,
sio kwa ubaya Lakini...

kibaraka ana mental issues ni muhimu akapata usaidizi mapema. Atashambuliwa na kuumizwa na waandamizi wenzake wakidhani yuko fit kumbe mungwana na anapitia mental instability πŸ’
 
Mtu akupe tuhuma nzito kama hzo ukae kimya kwamba ndo uungwana.Lissu kama ana ushahidi auweke hadharani na wengine tumuamini tofauti na hapo namuona kama mtu mwenye msongo.

Makonda anaweza kuwa alikuwa Dsm, halafu akapanda ndege kwenda Dodoma kuwahi "shughuli" ya Tundu Lissu. Majibu yake sio ya uhakika kwa asilimia 100%.
 
Hahaah ndio makonda asuggest medical care? Anyway tulisharusu nchi kuongozwa na mediocre hamna namna tunasoma na kuchitchat hapa siku ziende tu
nadhani hata mabwenyenye wanaomfadhili huko magharibi, wanaweza kushughulika nae coz baadae inaweza kua mbaya na mzigo mkubwa zaidi gentleman, kwa maoni yangu Lakini πŸ’
 
naunga mkono hoja ya kwamba muungwana yafaa apite hospitali husika Dodoma akacheki, yawezekana utaratibu wake wa fikra umeshake kidogo, na ndiyo maana haelewani kabisa na hata na viongozi waandamizi ndani ya chama chakeπŸ’
Mkuu hapo umeharibu kabisa umahiri wako wa thread. Nakushauri usijihusishe na kumfagilia Bashite. Bashite ananuka damu za watu wasio na hatia aliowaua kwa kutumwa na Magufuli. Huyu ni mhalifu mwenye bahati tu.

Lakini iko siku atakuja kujibu tuhuma za mauaji, utekaji na uvamizi wa kutumia silaha. Hii ni pamoja na unyang"anyi wa mali binafsi za wafanyabiashara
 
Nasubiri awajibu na Wamarekani waliomkataza kwenda nchini kwao...
Ameshawajibu.
Amesema walimzuia kwenda marekani kwasababu alipinga ushoga. Pia ameongeza kwamba marekani sio mbinguni sio lazima kwenda.
 
nadhani hata mabwenyenye wanaomfadhili huko magharibi, wanaweza kushughulika nae coz baadae inaweza kua mbaya na mzigo mkubwa zaidi gentleman, kwa maoni yangu Lakini πŸ’

Mama yetu pia si kaenda kwa mabwanyenye haohao leo? Au hao wengine hawezi kushughulika na mama yetu kwa kuwa kuna chawa nyuma yake? Wakimfadhili mama ni partners wakifadhili usiowapenda ni bwanyenye?
 
Wewe Bashite ambaye jimbo tu moja la Uchaguzi uliangushwa unajilinganisha na mtu ambaye alipata kura 1.6M( kwa mujibu wa NEC yenu)..you are not serious
 
hayo mengine yote umesema sina hakika na kwahivyo sina haki hata ya kueleza au kushauri chochote...

Ila kwa mawaidha yake dhidi ya huyo mungwana kiongozi msaidizi wa Chadema Taifa, ambae tunaheshimiana sana, kwakweli na naunga mkono mawaidha ya RC, bila haya, wala aibu kwamba yafaa na yatakikana kiongozi huyo muandamizi wa Chadema akachunguzwe hiyo habari muhimu sana.

Fikra kua na afya ndiyo kila kitu kwa binadamu, ndrugu zango,
Ikianza kuharibika hiyo inakua ndiyo basi tena. Dalili zisizo za kitabibu ziko wazi kabisa ndrugo zango wadau πŸ’
 
Watu wako bize wanafatilia upkoaji kko

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…